Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Aghairi au aahirishe, hiyo ulioandika wewe umekosea kidogo, usione vibaya, wamenizowea hapa kutembeza kifimbo kwa uchafuzi wa lugha.
wewe mwenyewe umekosea sio Wamenizowea ni Wamenizoea. Upoo mamaa wa gambaz?!