Kuna ukweli mwingi katika hili lakini pia baadhi ya police pia ni washirika wakuu wa majambazi na ujambazi
Ndiyo na shangaa hakulisemea hilo!
Hata wateja nao wanaopiga foleni ndani ya Benki nao ni sehemu ya tatizo! .
Lakini siku hizi kwa uwapo wa TCRA na matumizi ya Simu kama kweli Polisi ina Wapelelezi makini na waaminifu ushiriki wa Wafanyakazi wa Benki au Wateja ndani ya Benki kuwasiliana na Majambazi kufanyia kazi ni rahisi.
Kuondokana na Ujambazi Kitengo cha Upelelezi cha Polisi kinatakiwa kifanyiwe Marekebisho makubwa ili kuleta Ufanisi.
Kuna haja Idara hii iwe kwenye Makundi /Grade-kupitia hizi grade Mishahara yao uwe unaendana na hadhi na mazingira ya Makundi hayo.Hili litasaidia kupima ufanisi na kuhakikisha Uchunguzi na ukusanyaji wa Vielelezo na ufanikishaji wa Mtuhumiwa kuhukumiwa-kupitia mafanikio hayo ndiyo kutako msaidia askari kupanda vyeo na Mishahara yenyewe.
Lakini pia kuwe na kitengo itakayojumuisha Polisi,Usalama wa Taifa ,Magereza na JTWZ ya kufanya Ukaguzi ndani ya Operation ya Kitengo hicho-labda baada ya muda tutaweza kufika mahali tukajipongeza wenyewe kwa kazi nzuri
https://www.google.com/url?sa=t&rct...mmary/&usg=AFQjCNHL2L2_RWlXkd0vHBK-nphlmJfEfA
Classifying Crimes - Murder, Felony, Misdemeanor ...
- Murder 1 – Death or life in prison
- Murder 2 – Life
- Felony 1 – More than 10 years
- Felony 2 – Not more than 10 years
- Felony 3 – Not more than 7 years
- Misdemeanor 1 – Not more than 5 years
- Misdemeanor 2 – Not more than 2 years
- Misdemeanor 3 – Not more than 1 years
- Summary – Not more than 90 days