Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Morogoro, SSP Zauda Mohamed amesema baadhi ya madereva hao wamekuwa hawazingatii sheria, Kanuni na taratibu.
Ameyasema hayo wakati akitoa elimu kwa madereva wa magari ya Serikali Mkoani Morogoro ambapo amewataka wale wanaoendesha viongizi wakubwa Serikalini kuacha kuvunja Sheria za barabarani kwa makusudi jambo ambalo linahatarisha usalama wa maisha, mali na miundombinu ya barabara.
Aidha, SSP Zauda amesema sababu nyinginze zinazosababisha ajali za barabarani ni sababu za kibinaadamu, ubovu wa magari na changamoto za miundombinu za barabara.
Ameyasema hayo wakati akitoa elimu kwa madereva wa magari ya Serikali Mkoani Morogoro ambapo amewataka wale wanaoendesha viongizi wakubwa Serikalini kuacha kuvunja Sheria za barabarani kwa makusudi jambo ambalo linahatarisha usalama wa maisha, mali na miundombinu ya barabara.
Aidha, SSP Zauda amesema sababu nyinginze zinazosababisha ajali za barabarani ni sababu za kibinaadamu, ubovu wa magari na changamoto za miundombinu za barabara.