NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,848
- 2,557
Hapa naona ni UKAWA kwenda mbele na RAIA wema.
Maana post moja ya pili siasa.Uwezo wetu wa kufikiria ndio huo.
Polisi ataendelea kuwa polisi tu,na wao ni binaadam na timmings pia zipo.Mbona wanajeshi hata wale wenye weledi wa hali ya juu wa Marekani wanaingia kwenye mitego ya kitoto huko Iraq.
Polisi ataendelea kuwa polisi na heshima yake ipo pale pale.
Polisi ni kama mbwa wa boss. Akiambiwa kamata Huyo haraka keshaenda bila kujihoji. Tumechoka wacha wapigwe tu