Polisi apigwa mapanga, SMG yanyakuliwa

Polisi apigwa mapanga, SMG yanyakuliwa

imetokea jana kama saa mbili usiku maeneo ya yombo lelini,nimepita mida ya saa nne na nusu usiku nikakuta habari hiyo na landcruser la police limepaki,leo asubuhi wakati natoka maeneo hayo polisi kibao wapo eneo la tukio.

Mwenye habari zaidi atujuze hasa hali ya polisi aliyepigwa panga na kunyang'anywa smg!!
waambieni serikali wafungue machinjio
mmeyafunga. Watu waende wapi sasa?
 
Mafunzo ya polisi Yana mapungufu makubwa, haiwezekani kila wakati wakawa wanaporwa Silaa na mbaya zaidi intelejensia yao imeshindwa kudhibiti uporaji wa Silaa, wajitazame upya.
Ngoja nimsaidie mama kiFimbocheza FF....
Silaa =silaHa!
 
Huu uzembe umezidi sasa polisi ananyang'wa SMG kwa kizembe tumechoka na huu uzembe .
 
Kweli aisee, na inaonekana wenaowachukia Polisi wengi wao ni CHA KUFIA NINI. Yaani hana cha kupoteza hata nchi ikipinduliwa leo. Wanatamani vita/machafuko/ujambazi labda watatokea huko.

Hadi muda huu naandika haya ni kwasababu kuna watu wanakesha kazini. Tusiangalie mapungufu tu, hata mafanikio ni muhimu kuyasema.

umenena vema mkuu
 
I like this kind of comment

usemacho ni kweli..sera na mipango mibovu ya nchi inayopelekea mtu kufanya maamuzi ambayo hakuwahi kufikiria..askari wengi wameajiriwa sio kwakuwa wanaipenda kazi, ni matokeo ya kukosa kitu au kazi ya kufanya, matokeo yake anaenda kazini lakini akili haipo kazini..kwanini asiporwe silaha kirahisi?
 
Sikatai unavyowachukia polisi, una sababu zako!

Ninachotaka mimi tusiishie kuwachukia polisi tu...twende mbele na kujiuliza ni nini kinasababisha haya? Tuichukie mifumo ya uendeshaji nchi, tuwachukie watunga sera maana ubovu wa watendaji wa huku chini ni matokeo ya ubovu wa sera na mifumo!

Mkuu umejuaje nawachukia na umetumia kipimo gani kujua na wachukia?
Hapo chini umenena la maana kuwa tatizo ni mfumo ila kuna polisi wanafanya kazi kwa weledi ingawa wako kwenye mfumo.
 
usemacho ni kweli..sera na mipango mibovu ya nchi inayopelekea mtu kufanya maamuzi ambayo hakuwahi kufikiria..askari wengi wameajiriwa sio kwakuwa wanaipenda kazi, ni matokeo ya kukosa kitu au kazi ya kufanya, matokeo yake anaenda kazini lakini akili haipo kazini..kwanini asiporwe silaha kirahisi?

Umeongea point muhimu sana.
 
usemacho ni kweli..sera na mipango mibovu ya nchi inayopelekea mtu kufanya maamuzi ambayo hakuwahi kufikiria..askari wengi wameajiriwa sio kwakuwa wanaipenda kazi, ni matokeo ya kukosa kitu au kazi ya kufanya, matokeo yake anaenda kazini lakini akili haipo kazini..kwanini asiporwe silaha kirahisi?

Ni kweli mkuu, hii hali ipo karibia kila ofisi ya serikali. It's saddening.


Mkuu umejuaje nawachukia na umetumia kipimo gani kujua na wachukia?
Hapo chini umenena la maana kuwa tatizo ni mfumo ila kuna polisi wanafanya kazi kwa weledi ingawa wako kwenye mfumo.

Soma maneno yako...

Wangekua wanafanya kazi zao kwa haki wasinge kua wana chukiwa na kila RAIA.
 
Police na smg, kwanini alikuwa peke yake.....?
 
Ni kweli mkuu, hii hali ipo karibia kila ofisi ya serikali. It's saddening.




Soma maneno yako...

Ndio hawapendwi na raia wengi kwa uonevu wao. Kukosoa kitu sio kukichukia Bali ni warekebishe mapungufu yao na wafanye kazi kwa weledi.
 
waambieni serikali wafungue machinjio
mmeyafunga. Watu waende wapi sasa?


Maajabu,machinjio yamefungwa lakini nyama nyingi sana kwenye mabucha na supu mpaka za utumbo kibao sijui watoa nyama wapi!!!??
 
Lkn wakipigwa wao tunawaita legelege. Wakipiga tutasema wanatumia nguvu/ubabe. Nahisi kuaminishana uongo hapa
wanapopiga watu ambao hawana silaha ,hawana nia mbaya na wameonyesha kukubaliana na polisi huo ni ubabe, ila wanapopigwa na mtu mwenye silaha kama panga na polisi ana smg huo ni ulegelege
 
Wewe unashabikia jambazi kumiliki silaha ??? Hujawaona wakiwa kazini ndio maana. Kumbuka Jambazi sio binadamu na wakizirusha kwenye umati wa watu hawataangalia kama wanakuua wewe au ndugu yako

Wote sawa tu tena bora jambazi anakushambulia mmoja kuliko polisi 50 mtu mmoja kama wanagombania mpira wa kona
 
Back
Top Bottom