Wapoti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 2,824
- 1,100
Mafunzo ya polisi Yana mapungufu makubwa, haiwezekani kila wakati wakawa wanaporwa Silaa na mbaya zaidi intelejensia yao imeshindwa kudhibiti uporaji wa Silaa, wajitazame upya.
Wanafundishwaga kudhibiti maandamano tu kwa hilo 100%