Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,192
Hiyo ndiyo habari ya kiuchunguzi inayosambaa Duniani kwa kasi mno!

Mapolisi elfu 2 ya Kenya ni mehu/machizi.

====

Mkuu wa huduma ya kitaifa ya Polisi nchini Kenya, Inspekta Jenerali Hilary Mutyambai amesema takriban maafisa 2,000 wa Polisi nchini humo hawana uwezo wa kiakili kufanya kazi yao huku akiongeza kuwa wamebaini visa hivyo "vya kushangaza" baada ya kuwafanyia uchunguzi wa kimatibabu maafisa wote wa Polisi.

Hata hivyo, Inspekta Mutyambai amesema shughuli ya kuwaondoa kazini baadhi ya maafisa wa polisi walioathiriwa imeanza kwa kuzingatia umuhimu wa kuwa na polisi walio sawa kiakili huku akibainisha kuwa sio rahisi kwa sababu ya taratibu za kina zinazohusika.
 
Bora hata wao mapolisi tu ndio vichaa sasa kuna nchi nyingine barani Pangea walishawahi kupata rais kichaa
 
Mkuu wa huduma ya kitaifa ya Polisi nchini Kenya, Inspekta Jenerali Hilary Mutyambai amesema takriban maafisa 2,000 wa Polisi nchini humo hawana uwezo wa kiakili kufanya kazi yao huku akiongeza kuwa wamebaini visa hivyo "vya kushangaza" baada ya kuwafanyia uchunguzi wa kimatibabu maafisa wote wa Polisi.
.
Hata hivyo, Inspekta Mutyambai amesema shughuli ya kuwaondoa kazini baadhi ya maafisa wa polisi walioathiriwa imeanza kwa kuzingatia umuhimu wa kuwa na polisi walio sawa kiakili huku akibainisha kuwa sio rahisi kwa sababu ya taratibu za kina zinazohusika.

Taarifa: itvtz
 
Mkuu wa huduma ya kitaifa ya Polisi nchini Kenya, Inspekta Jenerali Hilary Mutyambai amesema takriban maafisa 2,000 wa Polisi nchini humo hawana uwezo wa kiakili kufanya kazi yao huku akiongeza kuwa wamebaini visa hivyo "vya kushangaza" baada ya kuwafanyia uchunguzi wa kimatibabu maafisa wote wa Polisi.
.
Hata hivyo, Inspekta Mutyambai amesema shughuli ya kuwaondoa kazini baadhi ya maafisa wa polisi walioathiriwa imeanza kwa kuzingatia umuhimu wa kuwa na polisi walio sawa kiakili huku akibainisha kuwa sio rahisi kwa sababu ya taratibu za kina zinazohusika.

Taarifa: itvtz
good.
 
Kwa mujibu wa idhaa ya kiswahili ya BBC.matangazo ya jioni 20/04/2022.

IGP Hilary Mutyambhai wa nchini Kenya,ameyasema hayo wakati akiongea katika kongamano la maaskofu na makasisi wa kikristo nchini humo.

Jambo ambalo amesema limepelekea maafisa wengi kukumbwa na matukio ya kujitoa uhai kwa siku za hivi karibuni.

Hii imekaaje wadau?
 
Wa Tanzania sasa...🤦🏿‍♂️

20220417_132629.jpg
 
Back
Top Bottom