Polepole: Wanatakatisha pesa kwa kununua magari ya kifahari na kujenga nyumba Masaki

Polepole: Wanatakatisha pesa kwa kununua magari ya kifahari na kujenga nyumba Masaki

Utakatishaji fedha huwa unafanyikaje??
Zipo njia nyingi sana
Wapo wanaowapa wauzaji wa bidhaa za bei kubwa zenye pato kubwa kama Maduka ya dhahabu, madini mengine.
Na kwa huku hata kwa wauzaji wa saa ghali wapo wanaoweka huko

Kuna wakati msako ulifanyika nje walikamata maduka yakiwa na mifuko ya hela ambazo sio zao bali zimewekwa na watakatishaji.

Sasa mtu Umenunua magari 50 hayakuzalishii chochote hapo umewekeza au

Nafikiri labda hawajui po kuzipeleka Ndio maana unakuta Waafrika wengi huweka majumbani tu mpaka wanapokamatwa

Watakatishaji wengine huwa wanaziweka kwenye visiwa vya nje au nchi ambazo ni Tax free
Ila kila mmoja ana maana yake
Wewe ungezipata ungeziweka wapi?
 
Zipo njia nyingi sana
Wapo wanaowapa wauzaji wa bidhaa za bei kubwa zenye pato kubwa kama Maduka ya dhahabu, madini mengine.
Na kwa huku hata kwa wauzaji wa saa ghali wapo wanaoweka huko

Kuna wakati msako ulifanyika nje walikamata maduka yakiwa na mifuko ya hela ambazo sio zao bali zimewekwa na watakatishaji.

Sasa mtu Umenunua magari 50 hayakuzalishii chochote hapo umewekeza au

Nafikiri labda hawajui po kuzipeleka Ndio maana unakuta Waafrika wengi huweka majumbani tu mpaka wanapokamatwa

Watakatishaji wengine huwa wanaziweka kwenye visiwa vya nje au nchi ambazo ni Tax free
Ila kila mmoja ana maana yake
Wewe ungezipata ungeziweka wapi?
Ni sawa
Hp kaongelea saa, na vitu vya thamani km ulivyorleza hapo...etc
Pia kujenga hayo majumba ya kifahari ambayo ni apartments....
 
Ni sawa
Hp kaongelea saa, na vitu vya thamani km ulivyorleza hapo...etc
Pia kujenga hayo majumba ya kifahari ambayo ni apartments....
Kweli ila wakati mwingine huwa wanatapeliwa sana
Hapo inakuwa mwizi kaibiwa

Huwezi kuandika kila kitu kwa jina lako
Maana unaweza kukuta unabanwa au utawala kubadilika.

Ukiwa na mabolioni ya mchongo hata hazina raha kwa kweli
Lakini ndio maisha kila mmoja na lwake au sio
 
Kweli ila wakati mwingine huwa wanatapeliwa sana
Hapo inakuwa mwizi kaibiwa

Huwezi kuandika kila kitu kwa jina lako
Maana unaweza kukuta unabanwa au utawala kubadilika.

Ukiwa na mabolioni ya mchongo hata hazina raha kwa kweli
Lakini ndio maisha kila mmoja na lwake au sio
Duh
SS nimeelewa kule Kwa mange alivyoelezea jinsi hao vijana wenye nchi wanavyotumia majina ya watu Fulani Fulani kumiliki assets,etc

Na jinsi ambavyo wananunua nyumba,maeneo huko masaki Kwa kutumia cash hawataki kukuingizia bank pesa....
Ila hii nchi 🙌🤔
 
Ni sawa
Hp kaongelea saa, na vitu vya thamani km ulivyorleza hapo...etc
Pia kujenga hayo majumba ya kifahari ambayo ni apartments....
Unamaanisha saa kama hii hapa👇
Screenshot_20250829_214314_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom