Polepole umepuuzwa vya kutosha, chukua hatua

Polepole umepuuzwa vya kutosha, chukua hatua

ruby garnet

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2017
Posts
2,922
Reaction score
3,912
Sina mengi Sana Wana JF
Bandiko langu ni kumsihi ndugu yetu Kwanza atubu waliyofanya na Magufuli ya kinyume na katiba.
Pili hadi sasa hivi press zake si kitu Kwa CCM, uliahidi mama asipokusikia maboya yatafanya kazi yake. Kwa sasa press zako si kitu kabisa. Chagua moja kukaa kimya au maboya yafanye kazi yake yaliyotengenezewa.
 
Polepole nadhani alitangulizwa na giants fulani waliotarajia Samia atatetemeka baada ya kuona press ya kwanza, lkn mwanamke mzanzibari akakaza.

Press ya pili mwanamke mzanzibari akaendelea kukaza mpk hivi leo amechukua fomu.

Sasa je, Polepole na wenzake watafanya nn? Kama mbinu zimewaishia basi Polepole imekula kwake.
 
Sina mengi Sana Wana JF
Bandiko langu ni kumsihi ndugu yetu Kwanza atubu waliyofanya na Magufuli ya kinyume na katiba.
Pili hadi sasa hivi press zake si kitu Kwa CCM, uliahidi mama asipokusikia maboya yatafanya kazi yake. Kwa sasa press zako si kitu kabisa. Chagua moja kukaa kimya au maboya yafanye kazi yake yaliyotengenezewa.
Kama Polepole atatubu Samia naye atatubu? Si wote walikua na JPM?
 
Polepole nadhani alitangulizwa na giants fulani waliotarajia Samia atatetemeka baada ya kuona press ya kwanza, lkn mwanamke mzanzibari akakaza.

Press ya pili mwanamke mzanzibari akaendelea kukaza mpk hivi leo amechukua fomu.

Sasa je, Polepole na wenzake watafanya nn? Kama mbinu zimewaishia basi Polepole imekula kwake.
Ningekuwa na wewe vitani ningegeuka nikamalizana na wewe kwanza alafu nikaanza mapambano ya pekee. Yaani leo mtu kachukua fomu tayari mshaanza kumshambulia HP ...mbona mnakuwa kama waisraeli wakitoka misri, yaani walimsahau Mungu aliyewatoa kwa Farao, akawavusha Jordani lakini bado waliona Mungu anazingua. Kwanini mwakata tamaa bado asubuhi hivi?
 
Sina mengi Sana Wana JF
Bandiko langu ni kumsihi ndugu yetu Kwanza atubu waliyofanya na Magufuli ya kinyume na katiba.
Pili hadi sasa hivi press zake si kitu Kwa CCM, uliahidi mama asipokusikia maboya yatafanya kazi yake. Kwa sasa press zako si kitu kabisa. Chagua moja kukaa kimya au maboya yafanye kazi yake yaliyotengenezewa.
Kwann hawana Uwezo wa Kumshughulikia Polepole?.

Nimewambia Jana na na Leo Narudia, Sarakasi za Samia Suluhu na genge lake, MWISHO WAKE NI HUU, HAWANA NAMNA YOYOTE YA KUWAWEZESHA KUVUKA HUU MWAKA.

HAWANA, NARUDIA HAWANA, NARUDIA TENA HAWANAAAAA !!.


Soon mtaielewa Nguvu iliyopo.
 
Tueleweshe basi,maana me naona kama mmepoteana.
Kuanzia April mnatupa matumaini wee ila wahuni mipango yao inaendelea kama kawaida tu,tuelewesheni mnavoelewa nyie roho zitulie.
 
Kwann hawana Uwezo wa Kumshughulikia Polepole?.

Nimewambia Jana na na Leo Narudia, Sarakasi za Samia Suluhu na genge lake, MWISHO WAKE NI HUU, HAWANA NAMNA YOYOTE YA KUWAWEZESHA KUVUKA HUU MWAKA.

HAWANA, NARUDIA HAWANA, NARUDIA TENA HAWANAAAAA !!.


Soon mtaielewa Nguvu iliyopo.
Tutakutag mkuu
 
Back
Top Bottom