zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,152
- 28,883
Mnafiki tu huyo angekua serikalini lazima angeunga mkono Kila kitu Cha Mama Samia. Hao viongozi wa CCM sio wa kuwaamini sijui kwanini hamjifunzi tu.Hapa ndipo tunapofeli TZ. Kosa ni kurudia kosa. Kosa si kufanya kosa. Malaika tuwapate kutokea wapi?
Aluta continua.
Hata Mpina naye ni suala la muda tu akipewa uwaziri mtarudi hapa kulia Lia kawasaliti.