Polepole ni wazi anaungana na Lissu juu ya uwezekano wa kuwepo watu wanaongooza Serikali kwa mlango wa nyuma

Katika video iliyoko You tube, Humphrey Polepole anaongelea hatari ya kutokea kikundi cha watu wanaongoza serikali kwa mlango wa nyuma na anaonya kikundi hicho ndio kinaweza kuwa kinaamua kila kitu na serikali kubaki kama mwanasesere tu.

Polepole ametoa mfano wa kuwa na CCM A na CCM B ambapo amesema CCM B ndio itakuwa inaamua kila kitu huku CCM A wakibaki kama wanasesere.

Ametoa mfano wa nchi kama Angola na Congo ambazo zimekuwa na vikundi vya aina hiyo katika serikali na ameonya nguvu za aina hiyo zinawe kutokea hata hapa Tanzania.

Polepole anasisitiza tuwe macho na tusi-relax kwasababu jambo hili linaweza kutokea hapa nchini.

Kauli hii ya Polepole inanifanya nikumbuke kauli ya Lissu kuwa kuwa watu ndio wanafanya maamuzi na Mama anakuwa mtazamaji (maamuzi kawaachia watu wengine).

Kwahiyo, mpaka hapa, nasema tusubiri muda utakuja kuthibitisha au kufichua yaliyofichika
Hicho kikundi kitokee wapi? Wewe kwa akili yako Lisu na Polepole ni WA kuwaamini?

Lisu alichotarajia kimekwenda opp amesalia kutafuta kiki ilimradi asipotee..

Huyo mwingine anaugulia mauvu ya kutolewa kwenye vietel kabla hajafaidi sasa ndio wamekazana na uzushi ila wanapuuzwa..
 
Mama katika hili ndipo ananitia mashaka uwezo wake, huyu ni mwana CCM, yeye ndiye kamteuwa halafu kutwa yuko kwenye mitandandao kutoa mafumbo. Ok dogo analoweza kufanya kumchukulia hatua ndani ya CCM maana haijawahi kutokea au kama ilitokea mtu kwenda na msimamo wa mwenyekiti wa chama maana ndiye anabeba sera za chama kukosolewa hadharani wakati CCM sifa kubwa huwa wanajinadi mambo yao yanajadiliwa ndani ya vikao na ni kweli hilo limewafanya kuwa tofauti ila tunaona siku hizi wanakimbilia kwenye mitandao. CCM hawayaoni haya au ndio kuna A na B. Mimi nadhani kuna tatizo kubwa katika CCM na Mama kama kapwaya au watendaji wake katika CCM wamepwaya. Huko nyuma haya usingeweza kusikia ndani ya CCM utawekwa kikao kama hujaondoka na ugonjwa wa moyo.

CCM imeondokewa na watu wa uwezo wa Polepole, Bashiru na JPM lazima ombwe lionekani ukweli una tabia ya kujitetea. Na washukuru Mungu JPM akisaidiana na wawili hawa niliowataja waliwakongoroa CDM vilivyo.
 
Sukuma gang kwisha kabisa. Wao c walikula enzi zao. Leo zamu y wengine
 
Katika video iliyoko You tube, Humphrey Polepole anaongelea hatari ya kutokea kikundi cha watu wanaongoza serikali kwa mlango wa nyuma na anaonya kikundi hicho ndio kinaweza kuwa kinaamua kila kitu na serikali kubaki kama mwanasesere tu.

Polepole ametoa mfano wa kuwa na CCM A na CCM B ambapo amesema CCM B ndio itakuwa inaamua kila kitu huku CCM A wakibaki kama wanasesere.

Ametoa mfano wa nchi kama Angola na Congo ambazo zimekuwa na vikundi vya aina hiyo katika serikali na ameonya nguvu za aina hiyo zinawe kutokea hata hapa Tanzania.

Polepole anasisitiza tuwe macho na tusi-relax kwasababu jambo hili linaweza kutokea hapa nchini.

Kauli hii ya Polepole inanifanya nikumbuke kauli ya Lissu kuwa kuwa watu ndio wanafanya maamuzi na Mama anakuwa mtazamaji (maamuzi kawaachia watu wengine).

Kwahiyo, mpaka hapa, nasema tusubiri muda utakuja kuthibitisha au kufichua yaliyofichika.

Msikilize hapa chini kwenye hii clip ambapo anaongelea swala hili kwa kirefu:


Hawa wote magaidi tu. Acha watafunane hao malofa in Mkapa's voice
 
Katika video iliyoko You tube, Humphrey Polepole anaongelea hatari ya kutokea kikundi cha watu wanaongoza serikali kwa mlango wa nyuma na anaonya kikundi hicho ndio kinaweza kuwa kinaamua kila kitu na serikali kubaki kama mwanasesere tu.

Polepole ametoa mfano wa kuwa na CCM A na CCM B ambapo amesema CCM B ndio itakuwa inaamua kila kitu huku CCM A wakibaki kama wanasesere.

Ametoa mfano wa nchi kama Angola na Congo ambazo zimekuwa na vikundi vya aina hiyo katika serikali na ameonya nguvu za aina hiyo zinawe kutokea hata hapa Tanzania.

Polepole anasisitiza tuwe macho na tusi-relax kwasababu jambo hili linaweza kutokea hapa nchini.

Kauli hii ya Polepole inanifanya nikumbuke kauli ya Lissu kuwa kuwa watu ndio wanafanya maamuzi na Mama anakuwa mtazamaji (maamuzi kawaachia watu wengine).

Kwahiyo, mpaka hapa, nasema tusubiri muda utakuja kuthibitisha au kufichua yaliyofichika.

Msikilize hapa chini kwenye hii clip ambapo anaongelea swala hili kwa kirefu:


🤣🤣🤣ule ujinga wa Mimi sipendi siasa, mimi sina chama
 
Katika video iliyoko You tube, Humphrey Polepole anaongelea hatari ya kutokea kikundi cha watu wanaongoza serikali kwa mlango wa nyuma na anaonya kikundi hicho ndio kinaweza kuwa kinaamua kila kitu na serikali kubaki kama mwanasesere tu.

Polepole ametoa mfano wa kuwa na CCM A na CCM B ambapo amesema CCM B ndio itakuwa inaamua kila kitu huku CCM A wakibaki kama wanasesere.

Ametoa mfano wa nchi kama Angola na Congo ambazo zimekuwa na vikundi vya aina hiyo katika serikali na ameonya nguvu za aina hiyo zinawe kutokea hata hapa Tanzania.

Polepole anasisitiza tuwe macho na tusi-relax kwasababu jambo hili linaweza kutokea hapa nchini.

Kauli hii ya Polepole inanifanya nikumbuke kauli ya Lissu kuwa kuwa watu ndio wanafanya maamuzi na Mama anakuwa mtazamaji (maamuzi kawaachia watu wengine).

Kwahiyo, mpaka hapa, nasema tusubiri muda utakuja kuthibitisha au kufichua yaliyofichika.

Msikilize hapa chini kwenye hii clip ambapo anaongelea swala hili kwa kirefu:


Kwa mara ya kwanza kabisa Mh Polepole kasema ukweli. Serikali ya Rais Samia ni mwanasesere/msukule anayeongozwa na kikundi cha wahuni (MATAGA) alichokiacha mwendazake.
 
Mageuzi ya kuteka watu na kufadhili kundi la watu wasiojulikana?
was the best President kwa nchi yetu na kwa wakati husika

Kwa muda mfupi aliokaa madarakani amefanya mageuzi makubwa sana ktk nchi hii,,, we miss him
 
Back
Top Bottom