Polepole ni wazi anaungana na Lissu juu ya uwezekano wa kuwepo watu wanaongooza Serikali kwa mlango wa nyuma

Rais mwenyewe tangu kateuliwa hajawahi kutoa maagizo, ni mtoa maombi tupu. Huelewi nini sasa hapo?
 
CCM imeondokewa na watu wa uwezo wa Polepole, Bashiru na JPM lazima ombwe lionekani ukweli una tabia ya kujitetea. Na washukuru Mungu JPM akisaidia na hawa niliowataja waliwakongoroa CDM vilivyo.
Nimesoma kama mara 3 lakini kama sijakuelewa umeandika nini lakini sio issue ndio makada walivyo maana hata huko bungeni kusoma tu shida.
 
Polepole akili zimeanza kurudi lini?
Katika video iliyoko You tube, Humphrey Polepole anaongelea hatari ya kutokea kikundi cha watu wanaongoza serikali kwa mlango wa nyuma na anaonya kikundi hicho ndio kinaweza kuwa kinaamua kila kitu na serikali kubaki kama mwanasesere tu.

Polepole ametoa mfano wa kuwa na CCM A na CCM B ambapo amesema CCM B ndio itakuwa inaamua kila kitu huku CCM A wakibaki kama wanasesere.

Ametoa mfano wa nchi kama Angola na Congo ambazo zimekuwa na vikundi vya aina hiyo katika serikali na ameonya nguvu za aina hiyo zinawe kutokea hata hapa Tanzania.

Polepole anasisitiza tuwe macho na tusi-relax kwasababu jambo hili linaweza kutokea hapa nchini.

Kauli hii ya Polepole inanifanya nikumbuke kauli ya Lissu kuwa kuwa watu ndio wanafanya maamuzi na Mama anakuwa mtazamaji (maamuzi kawaachia watu wengine).

Kwahiyo, mpaka hapa, nasema tusubiri muda utakuja kuthibitisha au kufichua yaliyofichika.

Msikilize hapa chini kwenye hii clip ambapo anaongelea swala hili kwa kirefu:


e ameanza
 
Huu ni upuuzi sana. Hata kama kikundi kipo na nchi inaenda sawa kina shida gani. Alizoea one man show . Aache ujinga.
 
Ni propaganda na wivu tu.

mama ndiye anaongoza nchi; hakuna hiko kikundi cha nyuma ya pazia mnachokisema.
 
Yote haya yanafanyika baada ya JPM kufariki dunia, ni kwa gharama kubwa sio ndogo ilibidi msiba mkubwa utokee. Lakini hayadumu yote ya binadamu.
 
Hamia Chadema uendelee na katiba mpya,zamani nilikuwa siipendi ktba mpya lkn baada awamu ya nne,tano na hii, hapana nahitaji katiba mpya.
Na nimeona madhara ya kuwa na chama kimoja chenye nguvu, vikuwa viwili raha sana.
 
Huu ni upuuzi sana. Hata kama kikundi kipo na nchi inaenda sawa kina shida gani. Alizoea one man show . Aache ujinga.

Siku kukitokea kakikundi kama kale kagine 'Mungu wa Mbinguni atuepushe ' na nchi ikaenda sawa uunge mkono ukisema ni sawa.
 
Back
Top Bottom