Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,115
- 32,953
Kakihamia CCM makamanda tutaanza kukaita kamalaya.
Ila Mheshimiwa Upendo ni kazuri juu mpaka chini. Na kichwani pia yuko sawa.
Kakihamia CCM makamanda tutaanza kukaita kamalaya.
Ila Mheshimiwa Upendo ni kazuri juu mpaka chini. Na kichwani pia yuko sawa.
Musiba sasa kaamua kukimbilia yanga kutafuta huruma ya wana yangaWamburuze mahakamani wamdai fidia kule ndo iko Dawa ya kutibu vichaa vya waropokaji we uoni Musiba kapona kuropoka baada ya kuburuzwa mahakamani.Mahakamani bado wapo mahakimu wanaosali na sio wote ni makada.
Hahahahaaaaa mie sijamtaja mtu!Yule ni kati ya wabunge hasara kwa wana wa kinondoni
Ccm anaitwa Kaliua jimbo la SegereaNi wa chama gani?
Ha ha ha kwa hiyo tupekue mafaili ya pole pole kama hana historia ta kashfa za ngono?Bahati mbaya binaadamu husongwa na tabia zake mwenyewe . Wanadhani wanavyofanya kwa wabunge wao wa CCM ndivyo na vyama vingine wanavyo fanya. Ni majuzi tu mbunge wa CCM amepigwa talaka bungeni humo kwa kuendekeza umalaya.
Nashauri katiba ibadilishwe na nafasi hizi zigombewe direct toka kwa wananchi kama wenzetu wa Kenya wanavyofanya. Ili kuondoa wenye mamlaka ndani ya vyama kuvitumia vibaya.
Huyo kama alivyo kinyonga na mwendo wake wa polepole na kutoeleweka rangi yake halisi ndivyo alivyo Polepole huyu asiye na ndevu.Kuna watu wanamuita ni kijana wengine wanamuita mzee sasa sijui yupi ni sahihi
Hizi nafasi zisiwe hisani zigombewe ndani ya vyama na kisha kwa wananchi, kama zilivyo nafasi za majimbo. Wenzetu wa Kenya zinagombewa na ni kinyang'anyiro hasa !!. Na kwa njia hiyo mama ataona kuwa amepigania nafasi hiyo, na si hisani ya kiongozi yeyote ndani ya chama.Ha ha ha kwa hiyo tupekue mafaili ya pole pole kama hana historia ta kashfa za ngono?
Huyo kama alivyo kinyonga na mwendo wake wa polepole na kutoeleweka rangi yake halisi ndivyo alivyo Polepole huyu asiye na ndevu.