Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,246
Ifikie mahali watanzania kwa umoja wetu tuseme hapana kwa kitendo cha katibu mwenezi wa CCM Polepole kusema kuwa wabunge wa viti maalum cdm ili wapate nafasi hiyo ni lazima washiriki ngono na mwenyekiti wa CHADEMA
Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa wanawake wote wa Tanzania na popote pale ulimwenguni.
Watanzania tuupinge kwa nguvu zetu.
By mbunge Upendo Peneza bungeni Dodoma
Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa wanawake wote wa Tanzania na popote pale ulimwenguni.
Watanzania tuupinge kwa nguvu zetu.
By mbunge Upendo Peneza bungeni Dodoma