Polepole na udhalilishaji wa wabunge wa CHADEMA

Polepole na udhalilishaji wa wabunge wa CHADEMA

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,246
Ifikie mahali watanzania kwa umoja wetu tuseme hapana kwa kitendo cha katibu mwenezi wa CCM Polepole kusema kuwa wabunge wa viti maalum cdm ili wapate nafasi hiyo ni lazima washiriki ngono na mwenyekiti wa CHADEMA

Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa wanawake wote wa Tanzania na popote pale ulimwenguni.

Watanzania tuupinge kwa nguvu zetu.
By mbunge Upendo Peneza bungeni Dodoma

FB_IMG_1555589652040.jpeg
 
Bahati mbaya binaadamu husongwa na tabia zake mwenyewe . Wanadhani wanavyofanya kwa wabunge wao wa CCM ndivyo na vyama vingine wanavyo fanya. Ni majuzi tu mbunge wa CCM amepigwa talaka bungeni humo kwa kuendekeza umalaya.

Nashauri katiba ibadilishwe na nafasi hizi zigombewe direct toka kwa wananchi kama wenzetu wa Kenya wanavyofanya. Ili kuondoa wenye mamlaka ndani ya vyama kuvitumia vibaya.
 
Bahati mbaya binaadamu husongwa na tabia zake mwenyewe . Wanadhani wanavyofanya kwa wabunge wao wa CCM ndivyo na vyama vingine wanavyo fanya. Ni majuzi tu mbunge wa CCM amepigwa talaka bungeni humo kwa kuendekeza umalaya.

Nashauri katiba ibadilishwe na nafasi hizi zigombewe direct toka kwa wananchi kama wenzetu wa Kenya wanavyofanya. Ili kuondoa wenye mamlaka ndani ya vyama kuvitumia vibaya.
Umesema kweli mkuu nakumbuka mbunge wetu wa jimbo mojawapo hapa dsm kalimwa taraka kisa umalaya lkn huyo polepole hayaoni hayo
 
Kwa ninavyo wajuwa wabunge wa ccm watalifumbiaa macho na kulifanya kuwa ni tatizo la cdm kumbe hapa ni fully udhalilishaji wa kina mama wote bila kujali itikadi za vyama
Pole Pole anakoelekea sasa amepitiliza.
Haiwagusi CHADEMA,bali wabunge wanawake.
Wakilinyamazia hili wabunge wote kwa ujumla wao,watakuwa wamepungukiwa pakubwa sana vichwani
 
Ifikie mahali watanzania kwa umoja wetu tuseme hapana kwa kitendo cha katibu mwenezi wa CCM Polepole kusema kuwa wabunge wa viti maalum cdm ili wapate nafasi hiyo ni lazima washiriki ngono na mwenyekiti wa CHADEMA

Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa wanawake wote wa Tanzania na popote pale ulimwenguni.

Watanzania tuupinge kwa nguvu zetu.
By mbunge Upendo Peneza bungeni Dodoma

View attachment 1075013

Ina maana hata yeye kupata ukatibu mwenezi wa CCM alifanyiwa, ndiyo maana anafikiri kila mtu ni kama yeye.
 
Atakuwa anakumbuka jinsi alivyo ukwaa huo ukatibu wake ndiyo maaana analitumia sana hilo neno mjinga sana yule
Inamaana hata yeye kupata ukatibu mwenezi wa CCM alifanyiwa, ndiyo maana anafikiri kila mtu ni kama yeye
 
Atakuwa anakumbuka jinsi alivyo ukwaa huo ukatibu wake ndiyo maaana analitumia sana hilo neno mjinga sana yule

Anapaswa awe na adabu maana watu wakianza kuvichua yao, hapatakali. Angengkuwa mpinzani ndiye kasema hivyo, MAABUSE INGEMUHUSU. Ila wao wanajiona wako sawa tu kutoa hayo matusi.
 
Wanajiona wapo juu ya sheria
Anapaswa awe na adabu maana watu wakianza kuvichua yao, hapatakali. Angengkuwa mpinzani ndiye kasema hivyo, MAABUSE INGEMUHUSU. Ila wao wanajiona wako sawa tu kutoa hayo matusi.
 

Ila Mheshimiwa Upendo ni kazuri juu mpaka chini. Na kichwani pia yuko sawa.
 
Back
Top Bottom