Polepole na udhalilishaji wa wabunge wa CHADEMA

Polepole na udhalilishaji wa wabunge wa CHADEMA

Mkuu kwa wana ccm neno samhani huwa ni msamiati mgumu sana kwao maana wanajiona ni miungu watu
Wewe huna tofauti na Polepole, alivowadhalilisha hao Dada zetu wa CDM, nawe umewadhalilisha Dada zetu wa CCM.

Ndugu tumia akili unapochangia.

Polepole anatakiwa aombe radhi hadharani.
 
Mkuu kwa wana ccm neno samhani huwa ni msamiati mgumu sana kwao maana wanajiona ni miungu watu
Ndugu Mmawia, mimi ni nwana CCM na ninapokosea ninaomba msamaha, na kuna wengi hata viongozi wa ccm wanafanya hivyo. Tusichanganye watu wote kwa makosa ya wachache.

Raisi mstaafu Mwinyi, alipokuwa waziri wa mambo ya ndani enzi za nyerere, watu wake wa magereza walifanya makosa ya kurundika watu pahali padogo na watu walikufa, aliamua kujiuzulu, na hiyo ni namna ya kuomba msamaha na kutubu.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100% lkn pia kwa hawa wateuliwa wa awamu hii bado sijaona jasili wa kukosea akajishusha na kuomba msamaha
Ndugu Mmawia, mimi ni nwana CCM na ninapokosea ninaomba msamaha, na kuna wengi hata viongozi wa ccm wanafanya hivyo. Tusichanganye watu wote kwa makosa ya wachache.

Raisi mstaafu Mwinyi, alipokuwa waziri wa mambo ya ndani enzi za nyerere, watu wake wa magereza walifanya makosa ya kurundika watu pahali padogo na watu walikufa, aliamua kujiuzulu, na hiyo ni namna ya kuomba msamaha na kutubu.
 
Umesahau methali isemayo samaki mmoja akioza uozesha tenga zima?
Nina uhakika baadhi ya wazazi wako au ndugu zako wapo wana CCM, jee nao ni washirika wa Shetani.
 
Polepole sijui anakwama wapi? Amekuwa haeleweki nini mpango wake katika uenezaji wa ilani ya chama. Nae ajifunze kwa Dr.Bashiru aoni jamaa kabadilika mihemko imeisha sasa
 
Udhaifu wa Wabunge na Viongozi wa Chadema ndio unaowapa kiburi hao akina Polepole kuendelea kuwatukana.
Kwa nini Chadema hawajifunzi kutoka Polisi?
Kila wanapotaja jina la Magufuli, nje ya kumsifia, wanakamatwa na Polisi na kupelekwa Mahakamani.
Kwa nini ninyi Chadema mnashindwa kumfungulia kesi ya udhalilishaji Polepole?
Kwa nini mmekubali kuwa Mahakama zetu ni mahali pa ninyi kushitakiwa tu, lakini ninyi hamuendi kufungua mashitaka?
Kazi yenu imekuwa kulialia tu!
Angalieni tangia Bernard Membe ampeleke Mahakamani Cyprian Musiba, mmesikia au mmeona huyo Musiba akiropoka tena juu ya Membe?
Polisi wanawanyima vibali vya mikutano, au wanawazuia kufanya mikutano ya ndani, KINYUME CHA SHERIA, badala ya kumfungulia kesi huyo OCD "in his/her personal capacity, for his/her unlawful performance of duty', kwa kuvunja Sheria za nchi, kazi yenu ni kulalamika tu!
Hata Waziri George Mkuchika anapowaeleza kuwa msikubali kukamatwa ovyo ovyo, na ikitokea, muwafungulie mashtaka hao wanaowaweka mahabusu " unlawfully", mimi naona hamuelewi hata kidogo!
Binafsi, mnanishangaza sana.
Mawakili wenu kazi yao ni kuwatetea tu, kuwafungulia mawashitaka hao akina Polepole na Jeshi la Polisi hawawezi?
What is wrong with you?
I really miss Hon. Tundu Antipas Lissu.
I'm sorry for loosing my temper, but Chadema has to be proactive, not always reactive!
Huu ndio mchango bora wa mwezi.
Wauone viongozi wore wa upinzani.
Zitto kabwe, John Mnyika, MBOWE et al...

Wapinzani pelekeni Hawa watu mahakamani as individuals!!!
 
Polepole sijui anakwama wapi? Amekuwa haeleweki nini mpango wake katika uenezaji wa ilani ya chama. Nae ajifunze kwa Dr.Bashiru aoni jamaa kabadilika mihemko imeisha sasa
Kuna utofauti mkubwa kati ya Dr Bashiru na Polepole kuanzia kwenye akili na kipato
 
Sikujua kama Polepole ni mshamba kiasi hiki !
Sio mshamba yule washamba hawajui tu mambo ya mjini ila si wajinga wqla wapumbavu na wako vzr kwa wanayoyajua
Pole pole kumwita mshamba ni kumsitiri yule bwege mpumbavu na asiye na adabu.
Washamba mbona wastaarab tu !
 
Huu ndio mchango bora wa mwezi.
Wauone viongozi wore wa upinzani.
Zitto kabwe, John Mnyika, MBOWE et al...

Wapinzani pelekeni Hawa watu mahakamani as individuals!!!
Ninakushukuru sana Misterdennis kwa kuwafikishia ujumbe Viongozi wa Kambi ya Upinzani.
Itapendeza sana tukiona comments zao hapa kwenye Jamvi kwa sababu hakuna Mtanzania mwenye uzalendo na nchi yetu anayefurahishwa na hiki kinachoendelea cha Viongozi wa Upinzani kuhamishia makazi yao ama Mahabusu, ama Mahakamani.
 
Ninakushukuru sana Misterdennis kwa kuwafikishia ujumbe Viongozi wa Kambi ya Upinzani.
Itapendeza sana tukiona comments zao hapa kwenye Jamvi kwa sababu hakuna Mtanzania mwenye uzalendo na nchi yetu anayefurahishwa na hiki kinachoendelea cha Viongozi wa Upinzani kuhamishia makazi yao ama Mahabusu, ama Mahakamani.
Hakuna kiongozi wa chama cha upinzani anaamua kuishi mahabusu au kuwa mtumwa wa kwenda mahakamani bali ni juhudi za watawala kuhakikisha shughuli za upinzani hazifanyiki
 
Hilo swali ungelipeleka baraza la kiswahili labda tungepata mwanzo wa kuhoji uhalali wa hiyo methali
Kwa hivyo, mmoja wenu nyumbani akiugua ukichaa au maradhi yoyote, basi nyumba nzima pia mnaugua hayo maradhi.
 
Najua yupo humu jamvini naona atakuja na mapovu yake
Sio mshamba yule washamba hawajui tu mambo ya mjini ila si wajinga wqla wapumbavu na wako vzr kwa wanayoyajua
Pole pole kumwita mshamba ni kumsitiri yule bwege mpumbavu na asiye na adabu.
Washamba mbona wastaarab tu !
 
Ifikie mahali watanzania kwa umoja wetu tuseme hapana kwa kitendo cha katibu mwenezi wa CCM Polepole kusema kuwa wabunge wa viti maalum cdm ili wapate nafasi hiyo ni lazima washiriki ngono na mwenyekiti wa CHADEMA

Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa wanawake wote wa Tanzania na popote pale ulimwenguni.

Watanzania tuupinge kwa nguvu zetu.
By mbunge Upendo Peneza bungeni Dodoma

View attachment 1075013
....halafu watu wakisema mtu hapati u-DC au u-RC au uwaziri shurti alale na aliyemteua - hivi huyu Polepole atakuwa na moral authority ya kuwalaumu wanaosema haya??!!
 
Back
Top Bottom