warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,256
Kuna member humu amesema jamaa ni 2in1
Kuna member humu amesema jamaa ni 2in1
Ya kurutubishaDuuuuuu mkuuu mbolea gani hiyo ya kupndia au kukuzia?
Kwa ninavyo wajuwa wabunge wa ccm watalifumbiaa macho na kulifanya kuwa ni tatizo la cdm kumbe hapa ni fully udhalilishaji wa kina mama wote bila kujali itikadi za vyama
Hata Mbowe alikula matapishi yake kwa LowasaTangu alivyo amua Kula matapishi yake pale alipo kubali uteuzi wa udc ndiyo alipo jishushia heshima yake wakati alikuwa anazipiga vita nafasi za udc kuwa ni matumizi ya hovyo ya rasilimali fedha
Hii kashfa ni ya muda mrefu sana.. Nadhani ina kaukweli fulani hivi.. Tatizo CDM hawapendi kusemwa. Wao wanajiona wapo perfect kwenye kila kitu.. Sio sahihi!
Kuna Wabunge wa Viti Maalum wengi wamo kwenye mahusiano na viongozi waandamizi wa chama mpaka wengine kuzaa nao.
Polepole anawasaidia muepukane na hii rushwa ya ngono enyi wanawake. Anachokosea ni kudhani CCM hakuwezi kuwepo tabia hii.. Sio sahihi!
Yeye mwenyewe aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya then katibu mwenezi wa ccm! Nasema akiteuliwa kwa maana ya kuwa hana tofauti na wabunge wa kuteuliwa na ambao majority ni wanawake! Na katika kufanana huku kwa kuteuliwa basi, wanafanana kwa mengi na mojawapo ni hilo linalomuuma roho kwani haamini kama hayo ndio malipo ya kuteiliwa!
Narejea kauli ya JK kuwa," ukitaka kula, sharti uliwe"! Possibly alipitia njia hiyo!
Yule jamaa kazaliwa mwaka gani mana hata akaeleweki,Kuna watu wanamuita ni kijana wengine wanamuita mzee sasa sijui yupi ni sahihi
Dawa ya vibaka wa siasa za kuropoka ropoka hovyo hovyo ni kuwaburuza mahakamani, si unaona lile tink tank mchumia tumbo mwenye vigazeti uchwara vya kufungia mihogo ana adabu siku yuko kimya baada ya kuburuzwa mahakamani anadaiwa fidia,alipe fidia au aende jela
Well said, ni kinyonga mzuri tu huyu mzee kijana.Anaitwa mzee kijana