Polepole: Msinishauri kuhusu maisha, mimi sina malengo

Polepole: Msinishauri kuhusu maisha, mimi sina malengo

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
17,564
Reaction score
27,634
20250810_211100.jpg
Jamaa yupo yupo tu. Kasema msimshauri kuhusu maisha hana malengo
 
Kwa wasiomjua Polepole, wanadhani ni sauti mpya ya mabadiliko.
Kwa tuliomwona alipokuwa na nguvu tunajua huu ni mchezo wa kusaka huruma na kujinufaisha kisiasa
Anatafuta jukwaa jipya, baada ya kupoteza lile la zamani Bwana Slow Slow ni Fisi
20250810_212304.jpg
aliye jivika ngozi ya kondoo
 
Kwa wasiomjua Polepole, wanadhani ni sauti mpya ya mabadiliko.
Kwa tuliomwona alipokuwa na nguvu tunajua huu ni mchezo wa kusaka huruma na kujinufaisha kisiasa
Anatafuta jukwaa jipya, baada ya kupoteza lile la zamani Bwana Slow Slow ni Fisi View attachment 3437836aliye jivika ngozi ya kondoo
..wewe ridhika na makombo unayotupiwa na wanaokutuma..umshambulie Polepole, huna tofauti na mbwa koko asiye na pa kuishi..Polepole sio saiz yako!
 
Kwa wasiomjua Polepole, wanadhani ni sauti mpya ya mabadiliko.
Kwa tuliomwona alipokuwa na nguvu tunajua huu ni mchezo wa kusaka huruma na kujinufaisha kisiasa
Anatafuta jukwaa jipya, baada ya kupoteza lile la zamani Bwana Slow Slow ni Fisi View attachment 3437836aliye jivika ngozi ya kondoo
Kuna watu wanamuona kama masihi wao, soon watashangazwa
 
Back
Top Bottom