Polepole kufungwa au kunyongwa ikiwa tu...

Polepole kufungwa au kunyongwa ikiwa tu...

Katika hali ya kushangaz dada wa Pius mpweza aliekuwa msaidizi wa polepole ameibuka nakudai kaka yake haonekani. Wamemtafuta bila mafanikio yoyote, akitoa taarifa kutoka kwao kigamboni suzan kadai Pius aliaga anakwenda kazini lakini hakufika nyumbani wakati wa kurudi. Badae ,wafanya kazi wenzake nao walianza kumtafuta baada ya kutoonekana kazini lakini hakupatikana hata kwa njia za mawasiliano na juhudi kubwa imefanywa bila mafanikio.

Ikumbukwe siku za nyuma Pius aliekuwa msaidizi wa Humphrey polepole aliibuka na kudai polepole alikuwa akifanya zinaa na wanawake tofautitofauti na anapaswa kuwaomba msamaha wanawake hao kwani kawachezea sana, ilo lilikua ni Moja ya mambo alio kuwa anayasema kuhusu polepole na mambo mabaya yake ya siri.

Anadai BAADA ya hayo alianza kupokea vitusho kutoka kwa polepole kwa kupigiwa simu na kutumiwa jumbe kwamba ata potezwa asipo acha kumfatilia, lakini Pius hakuacha, pia alirekodi vitisho vyote nakuwaonesha wafanyakazi wenzake na ndugu na vimehifadhiwa hivo polepole asipo toa maelezo juu ya ndugu yao alipo wataweka wazi na wametoa masaa 24 tu polepole ajitokeze kufafanua kuhusu ndugu yao lasivyo hatua za kisheria zitafat.

Je huu ni michezo wa kumtia ndege tunduni ili iwe nafuu kumtafuta kwa udi na uvumba na kumshika bwana Humphrey polepole kama muuwaji au mtekaji?


Tusubiri muda waliotoa ndugu uishe tuone watafanya nini? Vyanzo le mutuz tv, bingo media


Nipen Deal of million dollars, kwishaaaaa
Kwani Polepole ni polisi? Aende akaripoti police sio kubwabwaja
 
Nipen deal of million dollars, kwishaa.
Maneno hayo yanamaanisha Nini boss
 
Kwani Polepole ni polisi? Aende akaripoti police sio kubwabwaja
Mbona unatoa jibu la madharau ili hali mtu kapotea hajulikani alipo? Ange kua kaka yako unge jibu hivi?


Nipen deal of million dollars, kwishaaa
 
Kwani Polepole ni polisi? Aende akaripoti police sio kubwabwaja
Kaka kuwa mwelewa yametolewa masaa24 huyo mtu apatikane au polepole akanushe


Nipen deal of million dollars, kwishaaa
 
Nipen deal of million dollars, kwishaa.
Maneno hayo yanamaanisha Nini boss
Hapana boss haya ni maneno tu Huwa nayatumia kwenye Uzi nazotoa humu kupata michongo mjini


Nipen deal of million dollars, kwishaaa
 
Hiyo movie watakua wameitengea budget ndoto maana inaonekana kama wametungiwa watoto...

Badala watoke hao Wanawake kulalamika anatoka mwanaume kulalamika si wangewalipa tu hata wanawake wawili watatu wakawamezesha script?

Lakini pia kama ni mtu katekwa Kwa Nini familia ndio itoe masaa 24 Ina maana nchi Haina jeshi la polisi?... ..watuombe radhi watazamaji haraka
 
Kashfa ya kunyandua wanawake wengi nayo ni ishu? Sana sana hapa ni kumpa sifa ya urijali kuwa ana nguvu nyingi za kiume. Mnakimbilia ngono kupakaza wakati hilo tendo ni burudani tosha kibayolojia, tafuteni kashfa zingine za ufisadi hii imebuma
 
Mtoa lawama ni nani?
Wanawake ambao jamaa ndo alikua chawa muunganishaji, mfano we ni demu, mi nitumwe kuunga we uchapwe na jamaa, mkosane we unipe mi lawama kuwa nilikuunga kwa mtu sio poa, mi nichoshwe na lawama nisukume mzigo kwa mlengwa AmBAR ni boss wangu wa zamani ye Tena anigeuzie kibao


Nipen deal of million dollars, kwishaa
 
Hiyo movie watakua wameitengea budget ndoto maana inaonekana kama wametungiwa watoto...

Badala watoke hao Wanawake kulalamika anatoka mwanaume kulalamika si wangewalipa tu hata wanawake wawili watatu wakawamezesha script?

Lakini pia kama ni mtu katekwa Kwa Nini familia ndio itoe masaa 24 Ina maana nchi Haina jeshi la polisi?... ..watuombe radhi watazamaji haraka
Sio kutekwa nahisi jamaa anaweza jificha pia


Nipen deal of million dollars, kwishaaa
 
Hiyo trick siyo tishio kwa polepole ni tishio kwa huyo jamaa anaye tumika ...huyo jamaa kaamua kushirikiana na chui dhidi ya simba huku wote hao ,simba na chui ...yeye ni chakula kwao....watanzania tumieni akili zenu vizuri kutambua michezo kuna michezo unachezeshwa ili ugeuzwe kafara ...huu mchezo unafanana na ule wa ben saa8
Achana na Hilo pia jamaa anaweza jificha pia, maana na mashaka na akili za jamaa


Nipen deal of million dollars, kwishaa
 
Huu uongo waambien wajinga werevu hii haiingii akilini polepole hayupo nchini kamutekaje pia hao watekaji wa siku nyingi je wamekufa?
 
Katika hali ya kushangaz dada wa Pius mpweza aliekuwa msaidizi wa polepole ameibuka nakudai kaka yake haonekani. Wamemtafuta bila mafanikio yoyote, akitoa taarifa kutoka kwao kigamboni suzan kadai Pius aliaga anakwenda kazini lakini hakufika nyumbani wakati wa kurudi. Badae ,wafanya kazi wenzake nao walianza kumtafuta baada ya kutoonekana kazini lakini hakupatikana hata kwa njia za mawasiliano na juhudi kubwa imefanywa bila mafanikio.

Ikumbukwe siku za nyuma Pius aliekuwa msaidizi wa Humphrey polepole aliibuka na kudai polepole alikuwa akifanya zinaa na wanawake tofautitofauti na anapaswa kuwaomba msamaha wanawake hao kwani kawachezea sana, ilo lilikua ni Moja ya mambo alio kuwa anayasema kuhusu polepole na mambo mabaya yake ya siri.

Anadai BAADA ya hayo alianza kupokea vitusho kutoka kwa polepole kwa kupigiwa simu na kutumiwa jumbe kwamba ata potezwa asipo acha kumfatilia, lakini Pius hakuacha, pia alirekodi vitisho vyote nakuwaonesha wafanyakazi wenzake na ndugu na vimehifadhiwa hivo polepole asipo toa maelezo juu ya ndugu yao alipo wataweka wazi na wametoa masaa 24 tu polepole ajitokeze kufafanua kuhusu ndugu yao lasivyo hatua za kisheria zitafat.

Je huu ni michezo wa kumtia ndege tunduni ili iwe nafuu kumtafuta kwa udi na uvumba na kumshika bwana Humphrey polepole kama muuwaji au mtekaji?


Tusubiri muda waliotoa ndugu uishe tuone watafanya nini? Vyanzo le mutuz tv, bingo media


Nipen Deal of million dollars, kwishaaaaa
Huyu Pius ni mpumbavu na wewe ni mpumbavu na wale wote wanye mamlaka wabinafsi wapumbavu.

Msituchoshe pumbavu nyinyi, msitufanye hatuna akili matrako nyinyi. Shenzi kabisa
 
  • Kicheko
Reactions: naa
Achana na Hilo pia jamaa anaweza jificha pia, maana na mashaka na akili za jamaa


Nipen deal of million dollars, kwishaa
Akijificha bado anachekelea mchezo mimi naongelea hasara inayo weza kumpata kwa kugeuzwa kafara ...kwa sababu mbili
1)kuleta uchochezi (fitina)
2)kufuta ushahidi
 
Huu uongo waambien wajinga werevu hii haiingii akilini polepole hayupo nchini kamutekaje pia hao watekaji wa siku nyingi je wamekufa?
Kaka mi sijui hii taarifa imesambaa tu, Inasemekana Pius ni kijana wa polepole Yani alikua msaidizi wake, Pius alikua anatoa Siri za polepole, jamaa KACHUKIA sasa kamtumia vitisho kuwa atampoteza, haija pita siku Pius kapotea kweli ndugu wakadai Wana ushahidi mtuhumiwa wa kwanza ni polepole

Nipen deal of million dollars, kwishaaa
 
Ccm bana akili fupi sasa amefanyaje tukio wakati hayuko bongo?🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: naa
Huyu Pius ni mpumbavu na wewe ni mpumbavu na wale wote wanye mamlaka wabinafsi wapumbavu.

Msituchoshe pumbavu nyinyi, msitufanye hatuna akili matrako nyinyi. Shenzi kabisa
Nawe unaesoma hapa ni mprumbavru, kubwa jingra kwanini usome upumbavu


Nipen deal of million dollars, kwishaa
 
Katika hali ya kushangaz dada wa Pius mpweza aliekuwa msaidizi wa polepole ameibuka nakudai kaka yake haonekani. Wamemtafuta bila mafanikio yoyote, akitoa taarifa kutoka kwao kigamboni suzan kadai Pius aliaga anakwenda kazini lakini hakufika nyumbani wakati wa kurudi. Badae ,wafanya kazi wenzake nao walianza kumtafuta baada ya kutoonekana kazini lakini hakupatikana hata kwa njia za mawasiliano na juhudi kubwa imefanywa bila mafanikio.

Ikumbukwe siku za nyuma Pius aliekuwa msaidizi wa Humphrey polepole aliibuka na kudai polepole alikuwa akifanya zinaa na wanawake tofautitofauti na anapaswa kuwaomba msamaha wanawake hao kwani kawachezea sana, ilo lilikua ni Moja ya mambo alio kuwa anayasema kuhusu polepole na mambo mabaya yake ya siri.

Anadai BAADA ya hayo alianza kupokea vitusho kutoka kwa polepole kwa kupigiwa simu na kutumiwa jumbe kwamba ata potezwa asipo acha kumfatilia, lakini Pius hakuacha, pia alirekodi vitisho vyote nakuwaonesha wafanyakazi wenzak

e na ndugu na vimehifadhiwa hivo polepole asipo toa maelezo juu ya ndugu yao alipo wataweka wazi na wametoa masaa 24 tu polepole ajitokeze kufafanua kuhusu ndugu yao lasivyo hatua za kisheria zitafat.

Je huu ni michezo wa kumtia ndege tunduni ili iwe nafuu kumtafuta kwa udi na uvumba na kumshika bwana Humphrey polepole kama muuwaji au mtekaji?


Tusubiri muda waliotoa ndugu uishe tuone watafanya nini? Vyanzo le mutuz tv, bingo media


Nipen Deal of million dollars, kwishaaaaa

Mipango tu na fitina kwa Pole pole; mtu anayetoa Siri zote hizo aogope na kujitokeza sababu ya Kulala na Multiple Women? Watu wa hovyo sana nyingi, nani, mwanaume gani halali na Multiple Women? Fools
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom