The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 6,179
- 14,064
Kuliwa aliwe mwingine Miguno atoe mwingine, Hizi ni Nyeghe au 😀
Kama ni kweli basi huyo jamaa hakujua kuwa wauaji wa serikali wanatafuta matukio kama hayo ...hapo kama jamaa kapotea ni mkono wa samia ili wajaribu kumtatanisha polepole ilitakiwa jamaa atambue kuwa wanao mtumia kumchafua Polepole wanaweza kumtumia kumuua yeye ili kumchafua Polepole kwa kuwa itatengeneza taswira kuwa Polepole ndiyo kausika moja kwa mojaKatika hali ya kushangaz dada wa Pius mpweza aliekuwa msaidizi wa polepole ameibuka nakudai kaka yake haonekani. Wamemtafuta bila mafanikio yoyote, akitoa taarifa kutoka kwao kigamboni suzan kadai Pius aliaga anakwenda kazini lakini hakufika nyumbani wakati wa kurudi. Badae ,wafanya kazi wenzake nao walianza kumtafuta baada ya kutoonekana kazini lakini hakupatikana hata kwa njia za mawasiliano na juhudi kubwa imefanywa bila mafanikio.
Ikumbukwe siku za nyuma Pius aliekuwa msaidizi wa Humphrey polepole aliibuka na kudai polepole alikuwa akifanya zinaa na wanawake tofautitofauti na anapaswa kuwaomba msamaha wanawake hao kwani kawachezea sana, ilo lilikua ni Moja ya mambo alio kuwa anayasema kuhusu polepole na mambo mabaya yake ya siri.
Anadai BAADA ya hayo alianza kupokea vitusho kutoka kwa polepole kwa kupigiwa simu na kutumiwa jumbe kwamba ata potezwa asipo acha kumfatilia, lakini Pius hakuacha, pia alirekodi vitisho vyote nakuwaonesha wafanyakazi wenzake na ndugu na vimehifadhiwa hivo polepole asipo toa maelezo juu ya ndugu yao alipo wataweka wazi na wametoa masaa 24 tu polepole ajitokeze kufafanua kuhusu ndugu yao lasivyo hatua za kisheria zitafat.
Je huu ni michezo wa kumtia ndege tunduni ili iwe nafuu kumtafuta kwa udi na uvumba na kumshika bwana Humphrey polepole kama muuwaji au mtekaji?
Tusubiri muda waliotoa ndugu uishe tuone watafanya nini? Vyanzo le mutuz tv, bingo media
Nipen Deal of million dollars, kwishaaaaa
Nahisi walishindwa kumkamata polepole kwa sababu ya kigezo hivo bomu lilikua linasukwa kitendo cha mwendokasi kureact tu, case closed, ilikua kosa kubwa sanaKama ni kweli basi huyo jamaa hakujua kuwa wauaji wa serikali wanatafuta matukio kama hayo ...hapo kama jamaa kapotea ni mkono wa samia ili wajaribu kumtatanisha polepole ilitakiwa jamaa atambue kuwa wanao mtumia kumchafua Polepole wanaweza kumtumia kumuua yeye ili kumchafua Polepole kwa kuwa itatengeneza taswira kuwa Polepole ndiyo kausika moja kwa moja
Huu ni mtego watanzania tegueniKatika hali ya kushangaz dada wa Pius mpweza aliekuwa msaidizi wa polepole ameibuka nakudai kaka yake haonekani. Wamemtafuta bila mafanikio yoyote, akitoa taarifa kutoka kwao kigamboni suzan kadai Pius aliaga anakwenda kazini lakini hakufika nyumbani wakati wa kurudi. Badae ,wafanya kazi wenzake nao walianza kumtafuta baada ya kutoonekana kazini lakini hakupatikana hata kwa njia za mawasiliano na juhudi kubwa imefanywa bila mafanikio.
Ikumbukwe siku za nyuma Pius aliekuwa msaidizi wa Humphrey polepole aliibuka na kudai polepole alikuwa akifanya zinaa na wanawake tofautitofauti na anapaswa kuwaomba msamaha wanawake hao kwani kawachezea sana, ilo lilikua ni Moja ya mambo alio kuwa anayasema kuhusu polepole na mambo mabaya yake ya siri.
Anadai BAADA ya hayo alianza kupokea vitusho kutoka kwa polepole kwa kupigiwa simu na kutumiwa jumbe kwamba ata potezwa asipo acha kumfatilia, lakini Pius hakuacha, pia alirekodi vitisho vyote nakuwaonesha wafanyakazi wenzake na ndugu na vimehifadhiwa hivo polepole asipo toa maelezo juu ya ndugu yao alipo wataweka wazi na wametoa masaa 24 tu polepole ajitokeze kufafanua kuhusu ndugu yao lasivyo hatua za kisheria zitafat.
Je huu ni michezo wa kumtia ndege tunduni ili iwe nafuu kumtafuta kwa udi na uvumba na kumshika bwana Humphrey polepole kama muuwaji au mtekaji?
Tusubiri muda waliotoa ndugu uishe tuone watafanya nini? Vyanzo le mutuz tv, bingo media
Nipen Deal of million dollars, kwishaaaaa
Mkuu tuwe wavumilivu ushahidi upo na ndugu wametoa masaa 24 polepole ajitokeze haraka kujibi shutuma la sivyo wanakichafua kumbuka hapo serikali haijahusika mpaka kufikia hapaHaya mambo ya kutokuongelea issues na kujikita kwenye hizi tamthiliya ndio shida yake sasa badala ya kuongelea kinachoongelea issue tunaongelea ni nani alisema nini na uchafu au usafi wake badala ya uzito wa kinachosemwa...
Na hili hata Polepole alilitaka kwa kufanya it is about him na sio about what he is saying at any given time au kwanini usemaje wake unakuja kutokana na hali ya hewa....
Anyway tusiache kuliongelea kila jambo at it's own merit (tupinge utekaji wakati huo huo tukiangalia shutuma zinazoletwa kama zina mashiko no matter hata kama aliyeleta ni mzinzi)
WAna MTANDAO MITAPELI wamekupa vijisenti, UNATUMIKA tu kama ZUZU halafu wao Wanaendesha Ma-BUGATTI.Katika hali ya kushangaz dada wa Pius mpweza aliekuwa msaidizi wa polepole ameibuka nakudai kaka yake haonekani. Wamemtafuta bila mafanikio yoyote, akitoa taarifa kutoka kwao kigamboni suzan kadai Pius aliaga anakwenda kazini lakini hakufika nyumbani wakati wa kurudi. Badae ,wafanya kazi wenzake nao walianza kumtafuta baada ya kutoonekana kazini lakini hakupatikana hata kwa njia za mawasiliano na juhudi kubwa imefanywa bila mafanikio.
Ikumbukwe siku za nyuma Pius aliekuwa msaidizi wa Humphrey polepole aliibuka na kudai polepole alikuwa akifanya zinaa na wanawake tofautitofauti na anapaswa kuwaomba msamaha wanawake hao kwani kawachezea sana, ilo lilikua ni Moja ya mambo alio kuwa anayasema kuhusu polepole na mambo mabaya yake ya siri.
Anadai BAADA ya hayo alianza kupokea vitusho kutoka kwa polepole kwa kupigiwa simu na kutumiwa jumbe kwamba ata potezwa asipo acha kumfatilia, lakini Pius hakuacha, pia alirekodi vitisho vyote nakuwaonesha wafanyakazi wenzake na ndugu na vimehifadhiwa hivo polepole asipo toa maelezo juu ya ndugu yao alipo wataweka wazi na wametoa masaa 24 tu polepole ajitokeze kufafanua kuhusu ndugu yao lasivyo hatua za kisheria zitafat.
Je huu ni michezo wa kumtia ndege tunduni ili iwe nafuu kumtafuta kwa udi na uvumba na kumshika bwana Humphrey polepole kama muuwaji au mtekaji?
Tusubiri muda waliotoa ndugu uishe tuone watafanya nini? Vyanzo le mutuz tv, bingo media
Nipen Deal of million dollars, kwishaaaaa
Kosa ni polepole kumtishia jamaa, mbona ange kausha tuu maana ana windwa ye hakujua Hilo?Kama ni kweli basi huyo jamaa hakujua kuwa wauaji wa serikali wanatafuta matukio kama hayo ...hapo kama jamaa kapotea ni mkono wa samia ili wajaribu kumtatanisha polepole ilitakiwa jamaa atambue kuwa wanao mtumia kumchafua Polepole wanaweza kumtumia kumuua yeye ili kumchafua Polepole kwa kuwa itatengeneza taswira kuwa Polepole ndiyo kausika moja kwa moja
Kama ni njama basi walioset trap hawapo smart kabisa.Katika hali ya kushangaz dada wa Pius mpweza aliekuwa msaidizi wa polepole ameibuka nakudai kaka yake haonekani. Wamemtafuta bila mafanikio yoyote, akitoa taarifa kutoka kwao kigamboni suzan kadai Pius aliaga anakwenda kazini lakini hakufika nyumbani wakati wa kurudi. Badae ,wafanya kazi wenzake nao walianza kumtafuta baada ya kutoonekana kazini lakini hakupatikana hata kwa njia za mawasiliano na juhudi kubwa imefanywa bila mafanikio.
Ikumbukwe siku za nyuma Pius aliekuwa msaidizi wa Humphrey polepole aliibuka na kudai polepole alikuwa akifanya zinaa na wanawake tofautitofauti na anapaswa kuwaomba msamaha wanawake hao kwani kawachezea sana, ilo lilikua ni Moja ya mambo alio kuwa anayasema kuhusu polepole na mambo mabaya yake ya siri.
Anadai BAADA ya hayo alianza kupokea vitusho kutoka kwa polepole kwa kupigiwa simu na kutumiwa jumbe kwamba ata potezwa asipo acha kumfatilia, lakini Pius hakuacha, pia alirekodi vitisho vyote nakuwaonesha wafanyakazi wenzake na ndugu na vimehifadhiwa hivo polepole asipo toa maelezo juu ya ndugu yao alipo wataweka wazi na wametoa masaa 24 tu polepole ajitokeze kufafanua kuhusu ndugu yao lasivyo hatua za kisheria zitafat.
Je huu ni michezo wa kumtia ndege tunduni ili iwe nafuu kumtafuta kwa udi na uvumba na kumshika bwana Humphrey polepole kama muuwaji au mtekaji?
Tusubiri muda waliotoa ndugu uishe tuone watafanya nini? Vyanzo le mutuz tv, bingo media
Nipen Deal of million dollars, kwishaaaaa
Kama taifa kuanza kujadili Polepole au Shutuma zinazomuhusu ni kupoteza rasilimali muda (ni yeye na mahakama) lakini kama taifa inabidi tukisikia lolote kuhusu mali za UMMA haliendi ndivyo sivyo ni jukumu letu kama walipa kodi kusikiliza; na ili kuepuka kuchezewa kila siku it is about time tukawa na full transparency kwenye mali za UMMAMkuu tuwe wavumilivu ushahidi upo na ndugu wametoa masaa 24 polepole ajitokeze haraka kujibi shutuma la sivyo wanakichafua kumbuka hapo serikali haijahusika mpaka kufikia hapa
Nipen deal of millions dollars, kwishaa