Polepole kasema nyuma yake wapo kina Mzee Warioba

Polepole kasema nyuma yake wapo kina Mzee Warioba

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Humphrey PolePole ni kama vile alikuwa akiwahutubia vijana wa bodaboda ambao wengi wao hawakuwepo wakati wa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete na namna walifanikiwa kuwa Marais wa Tanzania.

Pia alifanikiwa kutuambia kuwa nyuma yake wako pia akina Mzee Warioba na wazee wenzake wa kanda ile.

Na mwisho amefanikiwa kuonyesha kuwa kuna vita ya udini kwenye uongozi; hasa baada ya kuonyesha kuwa Mkapa alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya matangulizi wake Mzee Mwinyi (mwislam) na Magufuli alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya Jakaya (mwislamu). Kwenye hili Polepole alisema kuwa unapogombea kwa mara ya kwanza kura utakazopata sio za kwako, bali za Rais aliyekukabidhi kijiti. Hapa natofautiana nae kabisa, kwakuwa kwenye uchaguzi wa 1995 Mkapa alikuwa hajulikani ukilinganisha na mgombea wa upinzani; Lyatonga Mrema. Mwl Nyerere ndiye aliyemsaidia kupiga kampeni vinginevyo angedondoshwa; sio kwasababu ya udhaifu wa uongozi wa Mzee Mwinyi. Mwl Nyerere alidiriki kusema hawezi kulala nyumbani eti kwasababu ya ubaba wa taifa, wakati yuko jukwaani akasema "I can not let my country go to the dogs". Hivyo tatizo ni CCM kumsimamisha mgombea (Mkapa) ambae hajulikani kwa watu.

Magufuli alipata kura chache uchaguzi wa 2015 kwasababu Lowassa alikuwa na nguvu kuliko JPM, sio kwasababu ya uongozi wa JK ulikuwa mbaya. Hapa Humphrey anaongelea udini kwakuwa anafahamu kuwa uchaguzi wa 2020 JPM alishinda kwa kuwaengua wapinzani wote na kuiba kura.

Nijuavyo mimi Humphrey na wenzake wataashindana lakini hawatashinda hii vita ya udini.

Humphrey anawadanganya watoto wachanga kuwa mchakato wa katiba ulivunjika kwasababu ya rasimu ya katiba ilikuwa inawabana viongozi wabadhilifu ndiyo maana JK aliikataa. Huu ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine kwakuwa katiba mpya pendekezwa ingeanza kufanyakazi baada ya uongozi wa JK kumalizika na kuondoka madarakani; hivyo, JK hakuwa na sababu ya kuiogopa katiba ambayo ina masharti magumu kwa viongozi. Sababu ya kweli ya kuvunjika uwandishi wa katiba mpya ni Mzee Warioba na Polepole ambao walikuwa wanataka muungano wa serikali 3 badala ya serikali 01 ya sasa; hoja ambayo ilikuwa inahofiwa kuwa itakwenda kuvunja muungano hasa baada ya kuungwa mkono na UKAWA.

The main agenda sasa imefahamika kuwa ni UDINI, UDINI, UDINI kwakuwa kuna watu hawakutaka Samia (mwislamu) kuwa Rais baada ya JPM kufariki. Hii ni ajenda ya kidini kabisa, hakuna lingine hapo. Walimkataa hata kabla ya kujua ataongozaje atakapoapishwa. Sasa tuko tayari watanzania kwa hili.


View: https://youtu.be/0j3WOvqNL_A?si=LrrfTy6_Ek55Bzso
 
Humphrey PolePole ni kama vile alikuwa akiwahutubia vijana wa bodaboda ambao wengi wao hawakuwepo wakati wa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete na namna walifanikiwa kuwa Marais wa Tanzania.

Pia alifanikiwa kutuambia kuwa nyuma yake wako pia akina Mzee Warioba na wazee wenzake wa kanda ile.

Na mwisho amefanikiwa kuonyesha kuwa kuna vita ya udini kwenye uongozi; hasa baada ya kuonyesha kuwa Mkapa alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya matangulizi wake Mzee Mwinyi (mwislam) na Magufuli alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya Jakaya (mwislamu). Kwenye hili Polepole alisema kuwa unapogombea kwa mara ya kwanza kura utakazopata sio za kwako, bali za Rais aliyekukabidhi kijiti. Hapa natofautiana nae kabisa, kwakuwa kwenye uchaguzi wa 1995 Mkapa alikuwa hajulikani ukilinganisha na mgombea wa upinzani; Lyatonga Mrema. Mwl Nyerere ndiye aliyemsaidia kupiga kampeni vinginevyo angedondoshwa; sio kwasababu ya udhaifu wa uongozi wa Mzee Mwinyi. Mwl Nyerere alidiriki kusema hawezi kulala nyumbani eti kwasababu ya ubaba wa taifa, wakati yuko jukwaani akasema "I can not let my country go to the dogs". Hivyo tatizo ni CCM kumsimamisha mgombea (Mkapa) ambae hajulikani kwa watu.

Magufuli alipata kura chache uchaguzi wa 2015 kwasababu Lowassa alikuwa na nguvu kuliko JPM, sio kwasababu ya uongozi wa JK ulikuwa mbaya. Hapa Humphrey anaongelea udini kwakuwa anafahamu kuwa uchaguzi wa 2020 JPM alishinda kwa kuwaengua wapinzani wote na kuiba kura.

Nijuavyo mimi Humphrey na wenzake wataashindana lakini hawatashinda hii vita ya udini.

Humphrey anawadanganya watoto wachanga kuwa mchakato wa katiba ulivunjika kwasababu ya rasimu ya katiba ilikuwa inawabana viongozi wabadhilifu ndiyo maana JK aliikataa. Huu ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine kwakuwa katiba mpya pendekezwa ingeanza kufanyakazi baada ya uongozi wa JK kumalizika na kuondoka madarakani; hivyo, JK hakuwa na sababu ya kuiogopa katiba ambayo ina masharti magumu kwa viongozi. Sababu ya kweli ya kuvunjika uwandishi wa katiba mpya ni Mzee Warioba na Polepole ambao walikuwa wanataka muungano wa serikali 3 badala ya serikali 01 ya sasa; hoja ambayo ilikuwa inahofiwa kuwa itakwenda kuvunja muungano hasa baada ya kuungwa mkono na UKAWA.

The main agenda sasa imefahamika kuwa ni UDINI, UDINI, UDINI kwakuwa kuna watu hawakutaka Samia (mwislamu) kuwa Rais baada ya JPM kufariki. Hii ni ajenda ya kidini kabisa, hakuna lingine hapo. Walimkataa hata kabla ya kujua ataongozaje atakapoapishwa. Sasa tuko tayari watanzania kwa hili.


View: https://youtu.be/0j3WOvqNL_A?si=LrrfTy6_Ek55Bzso

Kinachonisikitisha sana Tanzania ni kuona Rais mjinga Samia anapingwa na Polepole mjinga.

Yani Polepole kashindwa kumpinga Samia kwa hoja za maana tu mpaka anajikita kwenye hoja za utamaduni, desturi, na ujinga kama huo, wakati tuna katiba na sheria?
 
Kinachonisikitisha sana Tanzania ni kuona Rais mjinga Samia anapingwa na Polepole mjinga.

Yani Polepole kashindwa kumpinga Samia kwa hoja za maana tu mpaka anajikita kwenye hoja za utamaduni, desturi, na ujinga kama huo, wakati tuna katiba na sheria?
Kama hata Mzee Warioba anajikita kwenye desturi na mila za chama badala ya katiba ya CCM na Katiba ya nchi taratibu anageuka kuwa mzee wa hivihivi tu. Hawa ni wazee ambao walikuwa hawawezi kumshauri Mwl Nyerere kwa chochote kile. Wangekuwa na ujasiri huu wanaojifanya kuwa nao leo basi Mwl asingeifuta Tanganyika na kuibakisha Zanzibar na wala asingeweza kuandika Katiba kama hii. mzee warioba ni muoga hadi sasa anaeshindwa kutoka hadharani kukemea, badala yake anatanguliza mhuni huyu eti ndiyo awasemee.
 
Kama hata Mzee Warioba anajikita kwenye desturi na mila za chama badala ya katiba ya CCM na Katiba ya nchi taratibu anageuka kuwa mzee wa hivihivi tu. Hawa ni wazee ambao walikuwa hawawezi kumshauri Mwl Nyerere kwa chochote kile. Wangekuwa na ujasiri huu wanaojifanya kuwa nao leo basi Mwl asingeifuta Tanganyika na kuibakisha Zanzibar na wala asingeweza kuandika Katiba kama hii. mzee warioba ni muoga hadi sasa anaeshindwa kutoka hadharani kukemea, badala yake anatanguliza mhuni huyu eti ndiyo awasemee.
Kwanza kabisa hatujamsikia Mzee Warioba anajikita kwenye desturi na mila kwa jambo ambalo lina vifungu vya sheria na katiba.

Hatujamsikia Mzee Warioba kasema ameongea nini na Polepole na kakubaliana naye nini na nini hajakubaliana naye.

Mzee Warioba alikuwa anasimamia sheria na katiba kumpinga Julius Kaizari Nyerere mwenyewe. Enzi hizo za chama kimoja Rais Nyerere Mungumtu, Waziri Mkuu Sokoine Mtume Wake.

Ulikuwepoa siku hizo? Unaelewa Nyerwre alivyokuwa anaogopwa? Warioba alimpinga.

Kuna siku jamaa mmoja alikuwa anashitakiwa na serikali, akashinda kesi mahakama ikamuachia. Nyerere akamwambia Warioba (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) mkamateni tena mrudie kumshitaki huyo. Warioba akamwambia Nyerere sheria haituruhusu kufanya hilo jambo, ni kosa la kumshitaki mtu mara mbili kwa kosa moja, ni double jeopardy. Nyerwre ikabidi apate sono la sheria kwa Warioba na kukaa kimya.

Tafuta video ya hotuba ya Warioba kwenye kuzindua kitabu cha Sokoine usikie Warioba alivyokuwa anabishana na Sokoine na Nyerere walipotaka kuvunja sheria kwenye vita dhidi ya walanguzi.

Usimchukulie Mzee Warioba poa kwa maneno ya secondhand ya Polepole.
 
Poverty in the midst of prentful.

Kama taifa,tumebarikiwa Kila kitu ila ni masikini wa kutupwa. Na waliotufikisha hapa ndiyo hao masisiem wanaoparangana Kila siku.

Kama taifa tumepata hasara kubwa sana kuwa na chama kama CCM. Hasara kubwa sana...!!
 
1754314900680.png
... ntu kachezea kamari Ubalozi, akitarajia Ikulu! BHANGI MBAYA!
 
Humphrey PolePole ni kama vile alikuwa akiwahutubia vijana wa bodaboda ambao wengi wao hawakuwepo wakati wa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete na namna walifanikiwa kuwa Marais wa Tanzania.

Pia alifanikiwa kutuambia kuwa nyuma yake wako pia akina Mzee Warioba na wazee wenzake wa kanda ile.

Na mwisho amefanikiwa kuonyesha kuwa kuna vita ya udini kwenye uongozi; hasa baada ya kuonyesha kuwa Mkapa alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya matangulizi wake Mzee Mwinyi (mwislam) na Magufuli alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya Jakaya (mwislamu). Kwenye hili Polepole alisema kuwa unapogombea kwa mara ya kwanza kura utakazopata sio za kwako, bali za Rais aliyekukabidhi kijiti. Hapa natofautiana nae kabisa, kwakuwa kwenye uchaguzi wa 1995 Mkapa alikuwa hajulikani ukilinganisha na mgombea wa upinzani; Lyatonga Mrema. Mwl Nyerere ndiye aliyemsaidia kupiga kampeni vinginevyo angedondoshwa; sio kwasababu ya udhaifu wa uongozi wa Mzee Mwinyi. Mwl Nyerere alidiriki kusema hawezi kulala nyumbani eti kwasababu ya ubaba wa taifa, wakati yuko jukwaani akasema "I can not let my country go to the dogs". Hivyo tatizo ni CCM kumsimamisha mgombea (Mkapa) ambae hajulikani kwa watu.

Magufuli alipata kura chache uchaguzi wa 2015 kwasababu Lowassa alikuwa na nguvu kuliko JPM, sio kwasababu ya uongozi wa JK ulikuwa mbaya. Hapa Humphrey anaongelea udini kwakuwa anafahamu kuwa uchaguzi wa 2020 JPM alishinda kwa kuwaengua wapinzani wote na kuiba kura.

Nijuavyo mimi Humphrey na wenzake wataashindana lakini hawatashinda hii vita ya udini.

Humphrey anawadanganya watoto wachanga kuwa mchakato wa katiba ulivunjika kwasababu ya rasimu ya katiba ilikuwa inawabana viongozi wabadhilifu ndiyo maana JK aliikataa. Huu ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine kwakuwa katiba mpya pendekezwa ingeanza kufanyakazi baada ya uongozi wa JK kumalizika na kuondoka madarakani; hivyo, JK hakuwa na sababu ya kuiogopa katiba ambayo ina masharti magumu kwa viongozi. Sababu ya kweli ya kuvunjika uwandishi wa katiba mpya ni Mzee Warioba na Polepole ambao walikuwa wanataka muungano wa serikali 3 badala ya serikali 01 ya sasa; hoja ambayo ilikuwa inahofiwa kuwa itakwenda kuvunja muungano hasa baada ya kuungwa mkono na UKAWA.

The main agenda sasa imefahamika kuwa ni UDINI, UDINI, UDINI kwakuwa kuna watu hawakutaka Samia (mwislamu) kuwa Rais baada ya JPM kufariki. Hii ni ajenda ya kidini kabisa, hakuna lingine hapo. Walimkataa hata kabla ya kujua ataongozaje atakapoapishwa. Sasa tuko tayari watanzania kwa hili.


View: https://youtu.be/0j3WOvqNL_A?si=LrrfTy6_Ek55Bzso

1995 Mkapa alishindwa na Mrema ambaye kwa wakati huo alikuwa maarufu sana kupindukia huku Mkapa akiwa hajui siasa za majukwaani. Wakati wa uchaguzi kulitokea vituko vingi sana baada ya kuonekana Mkapa hatashinda, baadhi ya vituko hivyo ni pamoja na kutopatikana karatasi za kupigia kura na vituo vya kupigia kura kutofunguliwa kwa wakati, mwisho wa yote ni uchaguzi kufutwa na kutangazwa kwa kurudia kwa awamu tofauti tofauti kulingana na eneo.
 
Kwanza kabisa hatujamsikia Mzee Warioba anajikita kwenye desturi na mila kwa jambo ambalo lina vifungu vya sheria na katiba.

Hatujamsikia Mzee Warioba kasema ameongea nini na Polepole na kakubaliana naye nini na nini hajakubaliana naye.

Mzee Warioba alikuwa anasimamia sheria na katiba kumpinga Julius Kaizari Nyerere mwenyewe. Enzi hizo za chama kimoja Rais Nyerere Mungumtu, Waziri Mkuu Sokoine Mtume Wake.

Ulikuwepoa siku hizo? Unaelewa Nyerwre alivyokuwa anaogopwa? Warioba alimpinga.

Kuna siku jamaa mmoja alikuwa anashitakiwa na serikali, akashinda kesi mahakama ikamuachia. Nyerere akamwambia Warioba (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) mkamateni tena mrudie kumshitaki huyo. Warioba akamwambia Nyerere sheria haituruhusu kufanya hilo jambo, ni kosa la kumshitaki mtu mara mbili kwa kosa moja, ni double jeopardy. Nyerwre ikabidi apate sono la sheria kwa Warioba na kukaa kimya.

Tafuta video ya hotuba ya Warioba kwenye kuzindua kitabu cha Sokoine usikie Warioba alivyokuwa anabishana na Sokoine na Nyerere walipotaka kuvunja sheria kwenye vita dhidi ya walanguzi.

Usimchukulie Mzee Warioba poa kwa maneno ya secondhand ya Polepole.
Anayasema hayo kwakuwa Mwl Nyerere hayupohai. Warioba alikuwepo wakati Katiba hii anaandikwa na kuwa hivi ilivyo sasa, alikuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu na Jaji wakati katiba hii ikiwa na tume ya uchaguzi hiihii na muungano wa serikali 2 hivihivi. Kwanini hakujiuzulu kuonyesha hasira zake juu ya katiba, tume na muungano wa serikali 2?

Mzee warioba ni mwoga bhana, anawashwawashwa.
 
Anayasema hayo kwakuwa Mwl Nyerere hayupohai. Warioba alikuwepo wakati Katiba hii anaandikwa na kuwa hivi ilivyo sasa, alikuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu na Jaji wakati katiba hii ikiwa na tume ya uchaguzi hiihii na muungano wa serikali 2 hivihivi. Kwanini hakujiuzulu kuonyesha hasira zake juu ya katiba, tume na muungano wa serikali 2?

Mzee warioba ni mwoga bhana, anawashwawashwa.
Actually Warioba alishajiuzulu u Waziri Mkuu uongozi wa Mwinyi. Ndiyo Malecwla akachaguliwa kuwa Waziri Mkuu. Kwa hiyo hoja ya Warioba hajajiuzulu si kweli. Labda mliambiwa tu Rais kabadili baraza la mawaziri kwa kumlindia heshima rais tu.

Na kuhusu katiba, hii katiba ingekuwa mbaya zaidi kama si juhudi za kina Warioba.

Huwezi kutegemea Warioba wa 1977 mpaka 1984 adai katiba ya 2025 mwaka 1977.

Kina Warioba ndio waliodai Bill of Rights mpaka Nyerere akaleta Bill of Rights Tanzania.

Unajua Bill of Rights ni nini? Unajua ilikuja mwaka gani Tanzania? Inajua Nyerwre alikataa kuiweka kwa miaka mingapi?

Uongozi ni kupokezana. Kwa nini unampa Warioba mzigo wa kumaliza matatizo yote ya Tanzania ya miaka ya uongozi wake na miaka yote iliyofuata?
 
Humphrey PolePole ni kama vile alikuwa akiwahutubia vijana wa bodaboda ambao wengi wao hawakuwepo wakati wa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete na namna walifanikiwa kuwa Marais wa Tanzania.

Pia alifanikiwa kutuambia kuwa nyuma yake wako pia akina Mzee Warioba na wazee wenzake wa kanda ile.

Na mwisho amefanikiwa kuonyesha kuwa kuna vita ya udini kwenye uongozi; hasa baada ya kuonyesha kuwa Mkapa alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya matangulizi wake Mzee Mwinyi (mwislam) na Magufuli alipata kura chache alipogombea kwa mara ya kwanza kwa makosa ya Jakaya (mwislamu). Kwenye hili Polepole alisema kuwa unapogombea kwa mara ya kwanza kura utakazopata sio za kwako, bali za Rais aliyekukabidhi kijiti. Hapa natofautiana nae kabisa, kwakuwa kwenye uchaguzi wa 1995 Mkapa alikuwa hajulikani ukilinganisha na mgombea wa upinzani; Lyatonga Mrema. Mwl Nyerere ndiye aliyemsaidia kupiga kampeni vinginevyo angedondoshwa; sio kwasababu ya udhaifu wa uongozi wa Mzee Mwinyi. Mwl Nyerere alidiriki kusema hawezi kulala nyumbani eti kwasababu ya ubaba wa taifa, wakati yuko jukwaani akasema "I can not let my country go to the dogs". Hivyo tatizo ni CCM kumsimamisha mgombea (Mkapa) ambae hajulikani kwa watu.

Magufuli alipata kura chache uchaguzi wa 2015 kwasababu Lowassa alikuwa na nguvu kuliko JPM, sio kwasababu ya uongozi wa JK ulikuwa mbaya. Hapa Humphrey anaongelea udini kwakuwa anafahamu kuwa uchaguzi wa 2020 JPM alishinda kwa kuwaengua wapinzani wote na kuiba kura.

Nijuavyo mimi Humphrey na wenzake wataashindana lakini hawatashinda hii vita ya udini.

Humphrey anawadanganya watoto wachanga kuwa mchakato wa katiba ulivunjika kwasababu ya rasimu ya katiba ilikuwa inawabana viongozi wabadhilifu ndiyo maana JK aliikataa. Huu ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine kwakuwa katiba mpya pendekezwa ingeanza kufanyakazi baada ya uongozi wa JK kumalizika na kuondoka madarakani; hivyo, JK hakuwa na sababu ya kuiogopa katiba ambayo ina masharti magumu kwa viongozi. Sababu ya kweli ya kuvunjika uwandishi wa katiba mpya ni Mzee Warioba na Polepole ambao walikuwa wanataka muungano wa serikali 3 badala ya serikali 01 ya sasa; hoja ambayo ilikuwa inahofiwa kuwa itakwenda kuvunja muungano hasa baada ya kuungwa mkono na UKAWA.

The main agenda sasa imefahamika kuwa ni UDINI, UDINI, UDINI kwakuwa kuna watu hawakutaka Samia (mwislamu) kuwa Rais baada ya JPM kufariki. Hii ni ajenda ya kidini kabisa, hakuna lingine hapo. Walimkataa hata kabla ya kujua ataongozaje atakapoapishwa. Sasa tuko tayari watanzania kwa hili.


View: https://youtu.be/0j3WOvqNL_A?si=LrrfTy6_Ek55Bzso



Mambo magumu yanajibiwa Kwa lugha nyepesi

Mtu ambae amewahi kula kiapo Kwa Marais 3 anajibiwa na mtu ambae ajawahi hata kula kiapo cha kumpa mtu dhamana mahaka ya mwanzo
 
K
Kinachonisikitisha sana Tanzania ni kuona Rais mjinga Samia anapingwa na Polepole mjinga.

Yani Polepole kashindwa kumpinga Samia kwa hoja za maana tu mpaka anajikita kwenye hoja za utamaduni, desturi, na ujinga kama huo, wakati tuna katiba na sheria?
Angalau yeye amethubutu,nani mwingine ana uthubutu wa polepole
 
Kama hata Mzee Warioba anajikita kwenye desturi na mila za chama badala ya katiba ya CCM na Katiba ya nchi taratibu anageuka kuwa mzee wa hivihivi tu. Hawa ni wazee ambao walikuwa hawawezi kumshauri Mwl Nyerere kwa chochote kile. Wangekuwa na ujasiri huu wanaojifanya kuwa nao leo basi Mwl asingeifuta Tanganyika na kuibakisha Zanzibar na wala asingeweza kuandika Katiba kama hii. mzee warioba ni muoga hadi sasa anaeshindwa kutoka hadharani kukemea, badala yake anatanguliza mhuni huyu eti ndiyo awasemee.
Na alikuwa anachukiwa sana na Nyerere rafiki wa Nyerere alikuwa Kawawa
 
Wewe naye ni mweupe sana kichwani!!
Mambo ya udini umeyatoa wapi?
Halafu sasa hivi Muungano wetu ni wa Serikali Mbili na siyo Serikali moja kama unavyodanganya wewe kilaza!
 
Una hakika ni uthubutu na si hasira za kupigwa exile ubalozini?
Shule ya uongozi walimpia vita sana nakuambia akae kwa taharuki sasa alishakua na uthubutu na ndiyo maana akatupiwa cuba
 
Back
Top Bottom