Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,367
- 2,404
Inahitaji akili ya juu unapopanga jambo kama hilo. Kama Polepole angerudisha band nyuma kidogo (2020-Uchaguzi wa wabunge), na kumuona Polepole wa wakati ule akajilinganisha na Polepole wa 2025, kweli asingesema maneno hayo.
Kitu sahihi cha kufanya katika hali hiyo ni kuingiza maneno hayo katika kinywa cha mtu mwingine, vinginevyo ataonekana yeye mwenyewe kuwa ni MUHUNI NAMBA 1.
Sasa kalishalikorogo, hana cha kufanya ispokuwa kuogelea bahari asiyeimudu akiwa PANGONI. Kwa sasa ana mambo matatu tu ya kufanya.
Kitu sahihi cha kufanya katika hali hiyo ni kuingiza maneno hayo katika kinywa cha mtu mwingine, vinginevyo ataonekana yeye mwenyewe kuwa ni MUHUNI NAMBA 1.
Sasa kalishalikorogo, hana cha kufanya ispokuwa kuogelea bahari asiyeimudu akiwa PANGONI. Kwa sasa ana mambo matatu tu ya kufanya.
- Kuomba ukimbizi ughaibuni
- Kuomba msamaha katika Press ile ile aliyejitokeza
- Kutokomea kusikojulikana.