Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,695
- 145,396
You are still stuck on ad hominem fallacy.Hapa ndio tunaweka kituo- Unafiki, hila za kisiasa na indiscipline speech... Kwa neno moja hawa ndio wanaitwa WAHUNI. Polepole naye yumo humo. Ni unafiki mkubwa eti uwe madarakani hukufanya hata moja kati ya haya unayoyalalamikia, aliingiwa na nini? Kilichomuingia tafuta jina lolote utalolipenda lakini maana ni moja tu.
Google that. It seems you do not understand what it is.
Yani umeshindwa kumtenganisha Polepole na hoja alizoibua. Umeshindwa kufanya abstract thought. Hili ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania wengi.
Watu wanaposema "even a broken clock can be right twice a day" unaelewa maana yake?