kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,019
- 11,960
Wanakuundia zengwe na kukutumbuaWapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Wanakuundia zengwe na kukutumbuaWapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Nadhani na yeye ana familia. Ni vyema kuwa na moyo wa kujitolea kwa manufaa ya taifa. Tuwaombee wasichoke.Hakuna kitu muhimu hapa duniani kama familia yako! Kila kitu tunachokifanya ni kwaajili ya familia. Hata kama hiyo familia ina mtu mmoja tu _ Wewe!
Kwanza Polepole hana mandate na watumishi wa serikali.Wapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Hakuna muda wa kustarehe na familia hapa kwani hata yeye pole pole anafamilia pia lakini anapiga kazi muda wwte...nakuunga mkono mh.pole pole piga simu hata sa 8 usiku
Tafuta na Chupa kabisa ipasue kisha isage sage na uvimeze Vipande vyote Ufe kabisa ili uondokane na 'Kero' zangu hapa JF sawa? Na mtanikoma!Mfyuuuuuuu
Hiv bado ana nafasi ya katibu mwenezi au tayari ni mbunge.Mbunge kumpigia mtendaji usiku ni ukiukwaji wa haki za kiajira. shughuli zote za serikali mwisho saa 12 jioni,isipokuwa zile za ulinzi na usalama wa maisha na mali za raiaKatibu mwenezi wa CCM na Mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubashara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi...
Siyo lazima kula bata tu. Kuna mengi ya kufanya ya binafsi nje ya muda wa kazi.Labda waliopigiwa simu hawana familia na hua hawali Bata.
Ukimainisha Nini?Anytime kwa maana yeye ni askari au.Huko ndo kukurupuka.Hakuna mfanyakazi bongo anayefanya kazi 24 hrs.Kwamba yy ni robot na halali au.Au maana ya 24 hrs unamainisha nn?Mtumishi wa umma anatakiwa awe tayari kufanya kazi any time.
Hujui maana ya neno anytime?Ukimainisha Nini?Anytime kwa maana yeye ni askari au.Huko ndo kukurupuka.Hakuna mfanyakazi bongo anayefanya kazi 24 hrs.Kwamba yy ni robot na halali au.Au maana ya 24 hrs unamainisha nn?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tafuta na Chupa kabisa ipasue kisha isage sage na uvimeze Vipande vyote Ufe kabisa ili uondokane na 'Kero' zangu hapa JF sawa? Na mtanikoma!
Hata ingekuwa saa 4 asubuhi, Polepole hana mandate na watumishi wa serikali.Hiv bado ana nafasi ya katibu mwenezi au tayari ni mbunge.Mbunge kumpigia mtendaji usiku ni ukiukwaji wa haki za kiajira. shughuli zote za serikali mwisho saa 12 jioni,isipokuwa zile za ulinzi na usalama wa maisha na mali za raia
Unajitafutia laana bure wewe banyamulenge.Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Kwa uchache japo umesema huzioni hizo kazi:Hizo kazi zenyewe kila wakati wanajisifu kuzichapa mbona hatuoni positive outcome kwa raia wa kawaida?!
Wanadhani kuongea sana na kuteka vyombo vyote vya habari ndio maendeleo ya nchi, wacha waendelee kujidanganya, wanajua fika hao watazamaji wameshawachoka.
Wala huzimi simu
Unasema ulipo network shida inakatikatika
Huku unaikata mwenyewe hadi anashika adabu
Waende tu...Wenzio wanaweza kwenda hadi kampuni ya simu kuwauliza mtu fulani naumber .....Alikuwa Eneo gani ambalo mtaandao unasumbua?
Na Kuna Simu yeyote amepokea au kupiga siku hiyo na Muda huo au karibu na huo?
Makampuni ya simu yanatoa tuu taarifa chaaap!?
Hahahah
Inavyoonyesha watu wengi humu hawalitambui hilo. Uwajibikaji wa serikali dunia nzima unafuata protocol zake, sio kila MTU ni msemaji au kila mtu waweza mhoji na au kila MTU ni mhojaji.Kwanza Polepole hana mandate na watumishi wa serikali.
Na hata watumishi wa ccm pia hana mandate nao, ni katibu mkuu na mwenyekiti.
Au hupokei tu. Kesho yake sasa, "Ilikua charging nyumbani. Mimi Nilikua nje ya nyumba tumetoka na wageni"Wala huzimi simu
Unasema ulipo network shida inakatikatika
Huku unaikata mwenyewe hadi anashika adabu