SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,767
Mpuuzi kweli kwani watu wote Tanzania wanaishi kwa teuzi zao za kimalaya?
Umefuatilia mchakato wa uteuzi? Unalikumbuka vyema tamko la "kuwashikisha adabu" waliopita kwenye kura za maoni kwa rushwa?Nani alisema ni kigezo cha rushwa tu ndicho kilitumika kupata wateuliwa. Kulikuwa na vigezo vingi vya kutumia kumpata anayestahili kuwakilisha wanaCCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Kutotumia rushwa kupa kura za wajumbe, kuwa na uwezo wa kuwakilisha vema na kwa umakini wananchi, uzalendo usio tiliwa shaka na mambo mengine kama hayo, ndiyo yalitumika kupata nafasi kuwakilisha CCM katika uchaguzi wa 28.10.2020. Kwa hiyo si kutotumia rushwa pekee kilikuwa kigezo cha kupata nafasi ya uwakilishi kwenye uchaguzi. Upo!?
tena wale waliopewa mamlaka wanaongoza na wanahubiri huo ujingaNchi hii ina wajinga wengi sana
Hakuna kitu najutia miaka yote niliopoteza ni kuamini CCM ni chama na siasa. Misingi ya chama imebomoka.Umefuatilia mchakato wa uteuzi? Unalikumbuka vyema tamko la "kuwashikisha adabu" waliopita kwenye kura za maoni kwa rushwa?
SWALI: Hao waliopita kwenye kura za maoni kwa rushwa wameshikishwa adabu?!
Kuna asiejua Magu anamalizia miaka 10 yake??Asiwatishe, anajuaje kama jiwe atashinda! He is nuts!
Teuzi gani hizo mkiwa bench OctoberKatibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.
Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Anawahadai wasiondoke kwa hasira za kukatwa na kuwapa matumaini kuwa Watapata uteuzi, na waliopo waende wapi,Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.
Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Waliwakata kwakua walitoa rushwa, Leo tena wanataka waje wawateue, Polepole ako na mapepo
Hana sifa, kuteuliwa tu na baba yake ndio kunamfaaMakonda akushiriki kigamboni atamuharibia dr faustine
Aise ungekuwa karibu ningekununulia supu ya kuku mzima, upo logic wewe ni among of great thinker pamoja na mshana
Huu ni ushenzi na ubeberu mpya unaoletwa na awamu hii. Walianza 2015 na sasa wanauthubutu wa kutuambia ambao hawata waunga waliochaguliwa watakosa fursa za kuteuliwa. Jiulize CCM ndani ya chama ina nafasi ngapi? Ni wazi wanategemea nafasi zilizopo serikalini na mashirika yake na wanataka watumie nafasi hizo kwanza kuwatisha waliowaacha (njaaa mbaya), pili kujaza makada wao kwenye serikali kuu na mashirika yake na kwa kufanya hivyo wanatubagua sisi tusio wana CCM. Haya ndio manyanyaso anayozungumzia Lissu.Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.
Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Haka kajamaa kamejishushia heshima sana, sasa ndio nini icho kaongea. Mbona ni kama anajipaka kinyesi usoni. Wewe mtu kashinda kura za maoni mkamkata sababu m'memuona hafai sasa teuzi gani atakayofit mtu wa aina iyo..? Halafu kwani yeye ni Mungu mpaka ajue watashinda ndio waanze kugawa nafasi na hizo teuzi kama maandazi.Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.
Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
wajumbe wamepuuzwa,lazima wa revenge kupitia ballot boxKatibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.
Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Si waliokatwa ni watoa rushwa au rais anateua na watoa rushwa ?Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.
Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Haka kajamaa kapumbavu kweli. Yani wameifanya nchi kama iko mfukoni mwao.
Bwashe basi sawa
nasubiri nione Makonda atapigaje kampeni Kinondoni