Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Inamaana anaona wivu?kaona Mama Samia analindwa na walinzi wakike na yeye kaiga.
awe makini asije kuiga kuvaa ushungi.
Inamaana anaona wivu?kaona Mama Samia analindwa na walinzi wakike na yeye kaiga.
awe makini asije kuiga kuvaa ushungi.
Hizo enzi ameondoka nazo jiwewacha tusubiri tuone - leo wangapi wamehamia CCM kuunga juhudi.....
Mwaka ule nadhani 1995, Rehema Nchimbi ndiye aliyetumika kumuwekea sumu Ippy Malecela wakiwa UVCCM.. Ippi Malecela alikufa, damu yake bado inamlilia Rehema Nchimbi na ndugu yake Emmanuel Nchimbi😹😹 Muda wowote kuanzia sasa tutegemee Rehema Nchimbi kutangazwa katibu Mkuu!! Kina baba tuwezeshwe,,,
kaona Mama Samia analindwa na walinzi wakike na yeye kaiga.
awe makini asije kuiga kuvaa ushungi.
Hawajakemea suala la kutenganisha kofia mkuu?Na pad kabisa.
Hahahaaaa! Umenikumbusha mishemishe za ushirombo.Bwashee ukoo ushirombo unakunywa mbege nini?
Kwani kulikuwa na ulazima wa kusema wanawake
Picha na video zitakuwa kichwani mwa mleta mada!Bila picha mkuu?
Kama vipi tupia ka-video
Mhhh hivi kimbunga jobo imekuwaje kwaniMwaka ule nadhani 1995, Rehema Nchimbi ndiye aliyetumika kumuwekea sumu Ippy Malecela wakiwa UVCCM.. Ippi Malecela alikufa, damu yake bado inamlilia Rehema Nchimbi na ndugu yake Emmanuel Nchimbi
Weka pichaKatibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole anazungumza na waandishi wa habari muda huu akiwa ameambatana na wasaidizi wake ambao wote ni wanawake.
Taarifa kamili inakuja.
Kwanini ukusubiri iliupate hbr kamili ulikuwa naalaka gani?Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole anazungumza na waandishi wa habari muda huu akiwa ameambatana na wasaidizi wake ambao wote ni wanawake.
Taarifa kamili inakuja.
Ahaaa kamanda tindo mbona unakuwa muhuni? Vipi hali ya kisiasa hapa bongo?Na pad kabisa.
Kazi kweli kweli yaani taarifa zako zina episode.Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole anazungumza na waandishi wa habari muda huu akiwa ameambatana na wasaidizi wake ambao wote ni wanawake.
Taarifa kamili inakuja.
Polepole Ni MPUSH?Sasa hivi haitamsaidia kitu kama alishindwa kuvuma kipindi cha msukuma mwenzake.
Alhamisi 29 Aprili 2021
Dodoma Tanzania
KATIBU Mwenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) leo Aprili 29, amezungumza na wanahabari kuelekea mkutano mkuu wa CCM utakaofanyika kesho Aprili 30, jijini Dodoma..
Hao Wasaidizi ( ambao ni Wanawake ) wazingatie sana tu Matumizi ya Condoms muda wote wawapo Dodoma au Dar es Salaam.Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole anazungumza na waandishi wa habari muda huu akiwa ameambatana na wasaidizi wake ambao wote ni wanawake.
Taarifa kamili inakuja.
Soon ataonyeshwa mlango kama kaka yake Bashiru.Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole anazungumza na waandishi wa habari muda huu akiwa ameambatana na wasaidizi wake ambao wote ni wanawake.
Taarifa kamili inakuja.