Polepole anafaa kwa Ukatibu Mkuu CCM

Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
Kukabidhi Chama Kwa Sukuma G itakuwa hatari kuliko unavyotarajia.
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
Msidanganye MAKONDA sio chochote ndani ya nchi hii , anabebwa tu, hivi hii nchi mnaifaham au mwaleta mzaa,

Japo ccm imekufa kitambo ila wapo watu mwaweza wapa cheo husika na kuleta angalau ka mvuto mfano
1 Mtaka
2, Makongoro Nyerere
3 , mzee wa Sukuma ndani n.k

Tatizo ccm hufikili kwa mawazo ya watu walewale ndo maana lichama linajifia
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
Ccm inakwenda kufa
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
Hawa wahalifu wa awamu ya nne wakamatwe sio vinginevyo!
 
Back
Top Bottom