Polepole adai yuko Morogoro, apigilia msumari kauli zake

Polepole adai yuko Morogoro, apigilia msumari kauli zake

Daa hawa watu
 

Attachments

  • VID-20250720-WA0000.mp4
    9.7 MB
View attachment 3416174

Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam.

Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.
CCM nendeni mka shitaki mahakamani sio mnapayukwa tu
 
View attachment 3416174

Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam.

Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.

Kuna watu wanataka kupindua meza 🤣
 
Aisee Kijana anasumbua wazee.

ndani ya mitaa ya Rostov - Russia.
 
Mutungi yupo wapi?asipoangalia ccm itasababisha machafuko nchini,futa hiki chama cha kijani,usikae ofini na kula kodi zetu tu
 
Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.
Nimemsikiliza Mzee Butiku leo nikabidi nitulie kwanza maana yeye mwenyewe anakubariana na Polepole kwamba taratibu hazikufuatwa ila tu ndio hivyo wametumia nguvu ya mtu mmoja kudhihirisha wote wamekubariana na jambo hilo
 
Gwajima mbona yupo na imeshindikana??
Yule Dr. Malisa mbona yupo na imeshindikana?
Kwani Gwajima anatafutwa wala yeye ndo kaamua tu sizani serikali alisema inamafuta sema Automatically Afrika lazima Gwajima ajifiche anajua amegusa watawala
 
Yule tumbili sijui ngedere Kafulia anatakiwa aingie kwenye 18 za Generali Ulimwengu , tuone kama atachomoa.
Off cause Generali Ulimwengu hawezi kufanya mahojiano exclusive na yule ngedere vile anajua ni Chawa wa kiwango chalami hana tofauti na Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom