Boya wewe.Hapa Stockholm kuna mtaa unaitwa Morogoro Mafwele aje nitampa assist amkamate.
Hujui dunia mkuuGwajima mbona yupo na imeshindikana??
Yule Dr. Malisa mbona yupo na imeshindikana?
Boya mwenyewe ulimuua bure Thadei Ole Mushi ulifikiri utalipwa mabilioni, umelipwa hela mbuzi imekwisha umerudi kwenye uchawa, bwege wewe.Boya wewe.
Nasikia pale morogoro ndio kikao Cha mpangokazi wa jpm namna utawala wake utakavyokua ulipangwa pale!!System within a system inside
Wapi wewe? Wakati nakuona hapa:-Ole wenu mjaribu kumpindua samia wangu, ntawapiga mpaka mkome.
Nina baiskeli imeandikwa SASHA 2025, nitawajia huko huko kwa kasi ya radi, ni mwendo wa kuchochea pedo.
Cc: Lucas Mwashambwa chiembe Tlaatlaah
Wapi wewe? Wakati nakuona hapa:-View attachment 3416225Ole wenu mjaribu kumpindua samia wangu, ntawapiga mpaka mkome.
Nina baiskeli imeandikwa SASHA 2025, nitawajia huko huko kwa kasi ya radi, ni mwendo wa kuchochea pedo.
Cc: Lucas Mwashambwa chiembe Tlaatlaah
Mimi ndo huyo dada mwenye kalio kubwa la mviringo.Wapi wewe? Wakati nakuona hapa:-View attachment 3416225
Cuba ni hoehae mjomba, mshahara wa daktari Cuba ni $40 (Arobaini) kwa mweziItakuwa kweli maana Cuba hapawezi KUWA na pazia la kichovu kama Lile.
Nipe kazi dada.Boya mwenyewe ulimuua bure Thadei Ole Mushi ulifikiri utalipwa mabilioni, umelipwa hela mbuzi imekwisha umerudi kwenye uchawa, bwege wewe.
Paranja litapita kila hoteliMorogoro leo polisi watazagaa kumsaka Balozi
mbona google location inaonyesha yuko chato?View attachment 3416174
Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam.
Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.
kwani hana mji dar? au atafikia kwa dada yakeParanja litapita kila hoteli
wewe, sikuhizi hakuna kuaminiana ukiona hata mende chukua panga mkateMnajua nacheka nini'?!!!!
Ni vile kuona hii minyumbu inavyohangaishwa na kajitu kama polepole. Inafurahisha sana Kwakweli🤣🤣🤣🤣
Utamwelewaje wakati mamorcard yako inasoma kilobytes wakati tupo gigabyte?Sijawai muelewa