HAyupo Tanzania huyo,Morogoro leo polisi watazagaa kumsaka Balozi
Sio kwamba mm ni chichiemuKwa sasa utamuelewa tu hamna namna
SawaVichwa nazi hawawezi elewa
Walivyo mabumunda watajaa morogoro muda huo mhuni itakua yupo location nyingineMorogoro leo polisi watazagaa kumsaka Balozi
Thubutuu!Walivyo mabumunda watajaa morogoro muda huo mhuni itakua yupo location nyingine
Hahah hili litakuwa li BICHWA KOMWE hili..!Ole wenu mjaribu kumpindua samia wangu, ntawapiga mpaka mkome.
Nina baiskeli imeandikwa SASHA 2025, nitawajia huko huko kwa kasi ya radi, ni mwendo wa kuchochea pedo.
Cc: Lucas Mwashambwa chiembe Tlaatlaah
Thubutu tenaThubutuu!
Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.View attachment 3416174
Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam.
Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.
Gwajima mbona yupo na imeshindikana??HAyupo Tanzania huyo,
angekua hata migoma uko teyari wangesha lala nae mbele
Hakuna namna tuelekee the chanzo muda huuView attachment 3416174
Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam.
Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.
SawaView attachment 3416174
Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam.
Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.
Baada ya siku chache atakuja D'Salaam ambako amesema ataishi muda woteMorogoro leo polisi watazagaa kumsaka Balozi
Umawajua vizuri gwajima na malisa ni kina nani..Gwajima mbona yupo na imeshindikana??
Yule Dr. Malisa mbona yupo na imeshindikana?
View attachment 3416174
Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam.
Pia ameendelea kusisitiza madai yake yabuvunjifu wa katiba ya CCM na taratibu zake katika kumpata mgombea urais wa mwaka huu.
Kwani wanaopotezwa huwa wamefanya kosa specific?Kafanya kosa gani
Kwani Askofu Gwajima tu wapi?Polepoole ayuko tz for 99 percent