King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Mkuu niamini ,wateule wa JIWE wanapiga pesa hatari,kwenda Bungeni ili wawe na uhakika wa Kupata fedha za uhakika na mikopo mikubwa! Huku wanapiga za MADILI.mkuu kote huko njaa tupu ndio mana juzi kati kipindi cha uchaguzi wote walikimbilia kwenye ubunge si unaona DED gaita kalitapika lile V8