Poleni sana vijana wangu wa TMAA

Hili halitaishia kwa watumishi waliokuwa TMAA pekee, litaenda pakubwa sana. Taasisi zinazolipa CEO na DG zaidi ya 12M zipo za kutosha.

Ila mzee mkubwa anafanya kazi kwa mihemko sana, hii ni hatari sana!!!
Hapana, akisha lisokota akapewa mic, mambo huwa hivyo
Rais yupo sahihi kabisa kwanini wengine wapate mamilioni na huku wengine wanapata vi laki tu!!!
Mzee tengeneza nchi ili watu tuheshimiane.
Huo wivu mkuu
 
Hapana, akisha lisokota akapewa mic, mambo huwa hivyo

Huo wivu mkuu
As if zikipunguzwa kule analipwa yeye, effect ya uchumi wa mtu mmoja mmoja utaathirika pia coz kamzunguko katapungua...maana huyo ndo alikuwa ananunua nyanya chungu na michicha pale sokoni either frequency au quantity ya manunuzi itapungua jambo ambalo kuna watakaoathirika nalo pia.
 
Kama taasisi haizalishi, au inazalisha kidogo na kupoteza kiasi kikubwa cha mapito, hata ikifutwa kabisa sio mbaya. Kuna taasisi za hovyo sana, zinaishi kwa ruzuku ya serikali na ndio zinalipa mishahara minono. Niwakati wa serikali kujisahihisha. Ni wakati wa kuzifutilia mbali taasisi za hovyo ili watu watie akili.
 
Hili halitaishia kwa watumishi waliokuwa TMAA pekee, litaenda pakubwa sana. Taasisi zinazolipa CEO na DG zaidi ya 12M zipo za kutosha.

Ila mzee mkubwa anafanya kazi kwa mihemko sana, hii ni hatari sana!!!
Sawa 2 d
 
Umeongea point Kwa nini mwenye degree 2 TMAA apate mil 10, huku kwingine mil 1.5?. Hii ni kawaida kwenye mashirika ya Umma MTU hajasoma anamzidi mshahara mwenye elimu. Ndio maana morali ya kazi inakufa na majungu ndio mtaji WA kupatia vyeo.
Wewe rafiki yangu ukija sekta binafsi ndio utakata tamaa kabisa. Huku vyeti havina maana sana. Unaweza kuta CEO wa kampuni kubwa kabisa (TBL, Voda, Tigo etc.) hawana hayo madigirii mengi hivyo.....lakini mshahara wake sasa! Mara nyingi tu unaweza kujikuta unamzidi elimu boss wako.
 
Makusanyo yakiongezeka tena wajiongezee tena, yakiongezeka tena wajiongezee tena hawa wengine ambao sio wakusanyaji wabaki tu stagnant wakati wenzao wanapaa?
Kumbuka kujiongezea mishahara siyo kwamba ndiyo kutumia kiasi chote cha ongezeko la mapato
Na hili pato linaloongezeka linaenda kwenye serikali kuu ambayo ndiyo yenye jukumu la kujua hawa wengine wanaongezwa vipi mishahara
 
Kama taasisi haizalishi, au inazalisha kidogo na kupoteza kiasi kikubwa cha mapito, hata ikifutwa kabisa sio mbaya. Kuna taasisi za hovyo sana, zinaishi kwa ruzuku ya serikali na ndio zinalipa mishahara minono. Niwakati wa serikali kujisahihisha. Ni wakati wa kuzifutilia mbali taasisi za hovyo ili watu watie akili.
Kama zipi?
 
Jamani ninachojua mshahara huwa haushuki kulingana na labor law
Nasema uongo ndugu zangu
 
Rais yupo sahihi kabisa kwanini wengine wapate mamilioni na huku wengine wanapata vi laki tu!!!
Mzee tengeneza nchi ili watu tuheshimiane.
Usahihi kama angeangalia namna ya kuwaongezea hao wanaopata pungufu, hivi unajua kuna watu wanalipwa 350,000 kwa mwezi!!!
 
Wewe rafiki yangu ukija sekta binafsi ndio utakata tamaa kabisa. Huku vyeti havina maana sana. Unaweza kuta CEO wa kampuni kubwa kabisa (TBL, Voda, Tigo etc.) hawana hayo madigirii mengi hivyo.....lakini mshahara wake sasa! Mara nyingi tu unaweza kujikuta unamzidi elimu boss wako.
Huko ni nguvu yako tu ya kubagaini mshahara na ushawishi wako
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kumbuka kujiongezea mishahara siyo kwamba ndiyo kutumia kiasi chote cha ongezeko la mapato
Na hili pato linaloongezeka linaenda kwenye serikali kuu ambayo ndiyo yenye jukumu la kujua hawa wengine wanaongezwa vipi mishahara
Hiyo serikali kuu ni nani ?
Top wako vizuri hawajui magumu ya mwenye njaa. Ukilalamika wewe wa chini watakuita kiburi/mpinzani
 
Maumivu yake ni zaidi ya kuumwa jino kutoka scale za taasisi hadi TGS hili haliwezekani. Familia utaiambia nini?
nimecheka kwa nguvu naonekana hamnazo. zarau hizi.yaan tgs ndio wat wapo sass wewe yan unaona ndogo mpkka uumwe? wote tuwe tgts hamna namna
 
nimecheka kwa nguvu naonekana hamnazo. zarau hizi.yaan tgs ndio wat wapo sass wewe yan unaona ndogo mpkka uumwe? wote tuwe tgts hamna namna
Amini ninachokwambia mwenye scale ya TGS ukiona ameoa na anasomesha watoto shule za kulipia muheshimu sana jua huyo ana uwezo wa kufanya miujiza kuliko Mwamposa.
 
Back
Top Bottom