Poleni sana vijana wangu wa TMAA

Davan

JF-Expert Member
Jun 15, 2020
1,126
1,405
Kuna classmate wawili, mwanajumuiya mmoja na wengineo.

Nimesikia agizo la rais juu ya kupunguziwa mishahara najua agizo hili litaathiri pakubwa mfumo wenu wa maisha.

Jambo la msingi mjipange kukabiliana na mabadiliko mapya ila msiache kazi maana kipindi hiki biashara ni ngumu mno.

Endeleeni kupambana hata mtaani kuna watu hata kazi hawana na maisha yanaenda.

Watumishi wengine pia tujipange lolote laweza tokea kipindi hiki.
 
Kuna classmate wawili, mwanajumuiya mmoja na wengineo.
Nimesikia agizo la rais juu ya kupunguziwa mishahara najua agizo hili litaathiri pakubwa mfumo wenu wa maisha. Jambo la msingi mjipange kukabiliana na mabadiliko mapya ila msiache kazi maana kipindi hiki biashara ni ngumu mno.
Endeleeni kupambana hata mtaani kuna watu hata kazi hawana na maisha yanaenda.
Watumishi wengine pia tujipange lolote laweza tokea kipindi hiki.
Hili halitaishia kwa watumishi waliokuwa TMAA pekee, litaenda pakubwa sana. Taasisi zinazolipa CEO na DG zaidi ya 12M zipo za kutosha.

Ila mzee mkubwa anafanya kazi kwa mihemko sana, hii ni hatari sana!!!
 
hii nchi ya jabu sana.

yaani kuna taasisi top officials wanalipwa 5mil net.
kuna taasisi nyingine za serikali hiyo hiyo watu wanalipwa 15ml net.

sasa mkuu,badala ya kuangalia namna ya kupandisha na hao wengine,anafikiri namna ya kiwashusha waliopo juu,anyway wanaolipwa mishahara mbuzi ni ujinga wao wenyewe.

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
 
Hili halitaishia kwa TMAA, litaenda pakubwa sana. Taasisi zinazolipa CEO na DG zaidi ya 12M zipo za kutosha.

Ila mzee mkubwa anafanya kazi kwa mihemko sana, hii ni hatari sana!!!
Inawezekana ukawa sahihi lkn ni kigezo kipi hutumika kuwapa mishahara minono wztumishi fulani wa umma na kuwapa wengine mishahara kondefu?Huoni kua hapo kuna shida?au wewe ni mmoja wa wsnufaika?
 
hii nchi ya jabu sana.

yaani kuna taasisi top officials wanalipwa 5mil net.
kuna taasisi nyingine za serikali hiyo hiyo watu wanalipwa 15ml net.

sasa mkuu,badala ya kuangalia namna ya kupandisha na hao wengine,anafikiri namna ya kiwashusha waliopo juu,anyway wanaolipwa mishahara mbuzi ni ujinga wao wenyewe.

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Wewe unalipwa vizuri kwa ajili ya ujanja wako?
 
Kwa hiyo mkiheshimiana Uchumi wako binafsi utapanda?
Kuna watu wanadharau sana boss, kisa ana mshahara wa mawinguni...utasikia anakwambia "wewe mimi mshahara wangu wa mwezi mmoja nawalipa mishahara nyie 10"emoji57]
 
Kuna taasisi zilipewa mamlaka ya kujipangia mishahara yaani bodi ikiridhia tu mzigo unapandishwa
 
Kuna classmate wawili, mwanajumuiya mmoja na wengineo.
Nimesikia agizo la rais juu ya kupunguziwa mishahara najua agizo hili litaathiri pakubwa mfumo wenu wa maisha. Jambo la msingi mjipange kukabiliana na mabadiliko mapya ila msiache kazi maana kipindi hiki biashara ni ngumu mno.
Endeleeni kupambana hata mtaani kuna watu hata kazi hawana na maisha yanaenda.
Watumishi wengine pia tujipange lolote laweza tokea kipindi hiki.
Maumivu zaidi kama huo mshahara umeukopea maana bank wataendelea kukata kiasi kile kile.
 
Back
Top Bottom