Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 7,658
- 3,746
Poleni na kifo ila mimi sijalia.
Nalia na ndugu wa Ali kibao, nalia na ndugu wa Mdude, nalia na wamama hospitali wanapambania afya zao na za watoto wao, nalia na watanzania wanapambana usiku na mchana ila wanakutana na kodi za ajabu kwenye kila kitu.
Nalia na waTanzania walio na wanaouawa.
Nalia na waTanzania walitekwa enzi hizo hakuna CCTV kila mahala na cameras, kwahiyo iliishia kuwa "TLP wanatafuta umaarufu", "CUF wanatafuta umaarufu", "CHADEMA wanatafuata umaarufu", "wanajiteka hao" . Ubaya nilikuwa naamini sana vyombo vya dola pamoja na waandishi pamoja na vituo vyao, nikiamini ni kweli hakuna utekaji. Nalia na nyie, mnisamehe.
Nalia na wachimba madini wadogo mnaotapeliwa kila siku na wasiojulikana, msiwaze kuna kuna Docuseries inafanyiwa kazi tutaiachia waTanzania waone kwa macho yao wanachofanyiwa wenzao na watu waliopewa mamlaka ya kusimamia ulinzi wao.
Nalia na vitu vingi chini ya huu ukoloni, ila uzuri mahakama itaanza kufanya kazi huru. Haki itatendeka hapa hapa.
Nalia na ndugu wa Ali kibao, nalia na ndugu wa Mdude, nalia na wamama hospitali wanapambania afya zao na za watoto wao, nalia na watanzania wanapambana usiku na mchana ila wanakutana na kodi za ajabu kwenye kila kitu.
Nalia na waTanzania walio na wanaouawa.
Nalia na waTanzania walitekwa enzi hizo hakuna CCTV kila mahala na cameras, kwahiyo iliishia kuwa "TLP wanatafuta umaarufu", "CUF wanatafuta umaarufu", "CHADEMA wanatafuata umaarufu", "wanajiteka hao" . Ubaya nilikuwa naamini sana vyombo vya dola pamoja na waandishi pamoja na vituo vyao, nikiamini ni kweli hakuna utekaji. Nalia na nyie, mnisamehe.
Nalia na wachimba madini wadogo mnaotapeliwa kila siku na wasiojulikana, msiwaze kuna kuna Docuseries inafanyiwa kazi tutaiachia waTanzania waone kwa macho yao wanachofanyiwa wenzao na watu waliopewa mamlaka ya kusimamia ulinzi wao.
Nalia na vitu vingi chini ya huu ukoloni, ila uzuri mahakama itaanza kufanya kazi huru. Haki itatendeka hapa hapa.