Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

Kwa yaliyokutokea liwe Fundisho kwamba, wanapotekwa wengine tupige kelele pamoja.

Nitakutafuta nikupe pole ya Ana kwa Ana utakaporudi kuzika

Kwa Kukumbusha tu ni Kwamba Mh Temba ni miongoni mwa wasanii waliokuwa wanatumbuiza kwenye Kampeni za Samia 2025 huku akiwa kavalia fulana na Kofia ya SSH
Unaamini ni political killing?
 
Kwa yaliyokutokea liwe Fundisho kwamba, wanapotekwa wengine tupige kelele pamoja.

Nitakutafuta nikupe pole ya Ana kwa Ana utakaporudi kuzika

Kwa Kukumbusha tu ni Kwamba Mh Temba ni miongoni mwa wasanii waliokuwa wanatumbuiza kwenye Kampeni za Samia 2025 huku akiwa kavalia fulana na Kofia ya SSH
Screenshot_20251217-065939~2.png
 
Duh watu wameondoka na kichwa
Ukatili unazidi kupamba moto huko tz

Ova
Ila kuna watu wanamionekano ya ki binadamu ila ni devils. Kumkata binadam kichwa inahitaji ukatil wa hali ya juu sana

Ni km wale wa oct 29 , inahitaji ukatili sana .most of these kids wanakuaga ni ama walitelekezwa udogoni au hawajakulia kwenye malezi ya proper family
I feel sorry for them , I feel sorry for Samia too maana the universe is balanced
 
Ndugu yake Temba ametekwa na wale aliowapigia kampeni, Wamemchinja n.a. kaondoka n.a. kichwa
Wewe kigagula acha uongo
Huna chembe ya ushahidi, unalazimisha tu ukiulizwa, unarukaruka na maneno yasiyoeleweka , kuna watu wangapi humu wanauliza huyo ni nani na anafanya shughuli gani mpaka yamkute haya ?
Huna jibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom