Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Haha poleni sana vikongwe nyieHahaha!, gaal, nimesoma huku nakauka mbavu..lol
Pole zetu sisi au yeye anayekosa usingizi kwa kufikiria vitu visivyomhusu? Masimango kama kaombwa hela ya lunch vile. 🙁
Anatulilia hapa hajaombwa hela, akiombwa si atazimia kabisa...Pole zake mbona!
Ngoja atoto aje 😀
Hahahaaaa!!! Khaah! Hiki kichambo balaa!!
Pole dada kui na Heaven Sent