Pole sana Dada

Pole sana Dada

Shikamoo mke wangu
Mke wa ujana wangu
Mama wa watoto wangu
Faraja ya moyo wangu
Kimbilio la nafsi yangu
Msaada wa shida zangu
sababu ya furaha yangu
Kumbatio la huba langu
Blanketi la baridi yangu
Labeka mume wangu......
 
shida ni nyie bana.mfano hai nilikuwa na dem tumekaa miaka 3 nikijua kabisa nitamuoa nikawa nafwatilia mawasiliano yake bila yeye kujua nikagundua analiwa na libaba limoja linafanya kaz ppf na hilo libaba ni rafik na kaka yake uyo demu.Nikamwacha uyo demu.Utasema mimi ndio namakosa?au mimi nimempotezea mda?

Kwa lugha nyepesi tuseme wanawake wanaume wote ngoma droo hakuna aliezidi mwenzie,

Wenye nia nzuri hawakutani na wenye nia nzuri wenzao, hii formula sijui ikoje.
 
Pole sana dada yetu, haukujua maisha sio lazima elimu ya chuo, pole sana dada yetu, uliwajibu vibaya wanaume wema, ukawakumbatia mashetani wa kiume, pole sana dada yetu, ulipenda sana wanaume masharobaro ukajidanganya kuwa wanaweza majukumu, pole sana dada yetu. Hukutaka kumuuliza Mola akupe Mme kwa muda wake ila ukampangia Mola muda wa yeye kukupatia mme, ooh! Pole sana dada yetu, usikate tamaa japo wamekuharibu, pole sana dada yetu, mrudie Mola akupe pumziko, pole sana dada yetu, akupe Mme mwema umpende, Hongera sana dada yetu.
 
IMETISHA HII HADI NIMEOGOPA KIDOGO DUH DADA ZETU WANA CHANGAMOTO HAPA KWELI
Jambo ambalo ulishindwa kulifahamu Dada yetu, ni kuwa huu ulimwengu waoaji ni wachache sana katika. Wengi ni mafukara sana, wengi ni wazinzi sana sio waoaji, wako mashoga sio waoaji, Wapo walioathirika sio waoaji, Wapo ambao ni wagonjwa wasio weza kuhimimili ndoa.............. Na walolewaji mko wengi Sana.
 
Inaonekana Luna MTU alishawahi kukukataa na lei anapitia hayo
 
Ufukaraaa wa wanaume,
Ushoga wa wanaume,
afya mbovu ya wanaume,
Uzinzi wa wanaume,
Uathirika wa HIV Kwa wanaume,
Rate ya wafungwa wengi jela ni wanaume.


Wanawake wanazidi kuongezeka daily why mungu hayuko fair? hv dada zangu hapa hom wataolewa kweli au ndo ushakuwa mzigo wangu kuwahudumia bwana ebu niangalie kwa jicho la tatu!
 
sa we tatizo lako nn,usifiwe wajua kuhutubia au?????
 
Back
Top Bottom