Solwa Yangu
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 223
- 113
Ha haa, pole sana dada!Ahsante nshapoa
Ha haa, pole sana dada!Ahsante nshapoa
Sasa mkuu hapo si ndio unamuumiza zaidi.Ukikutana na mdada alochezea bahati na ukaruhusu akuelezee historia yake utamuonea huruma sana...lakini mwisho wa siku unajilia vyako anabwaga manyanga tu.
Fanyia kazi ujumbe mubashara huoNiweke tu akiba ya maneno mana jua bado halijazama kwakweli.
i gues mis natafuta tu uyoHaki huuu uz nna uhakika kuna,dem akiuona anaweza kuzimia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ahsante nshapoaHa haa, pole sana dada!
Tobaaaaa,mis natafuta ukuje..mie napita sijaona.i gues mis natafuta tu uyo
una miaka mingapi ww?Tobaaaaa,mis natafuta ukuje..mie napita sijaona.
Ukiwa na miaka 50 uwe na pesa zako.....Wanaume tuna bahati sana na mambo ya ndoa. Hata uwe na miaka 50 utaona mtoto wa kike anatafuta mume wa miaka 50. Lakini huoni mwanaume anatafuta mchumba wa miaka 50.