Pole sana Dada

Pole sana Dada

shida ni nyie bana.mfano hai nilikuwa na dem tumekaa miaka 3 nikijua kabisa nitamuoa nikawa nafwatilia mawasiliano yake bila yeye kujua nikagundua analiwa na libaba limoja linafanya kaz ppf na hilo libaba ni rafik na kaka yake uyo demu.Nikamwacha uyo demu.Utasema mimi ndio namakosa?au mimi nimempotezea mda?
yeye ndio kajipotezea
 
Lakini tuende mbele, turudi nyuma, wadada wa kibongo wakiishiwaga , Wanasumbua sana, ila ukiingia kwenye 18 zake wanajiona masofa.
 
Huu ujumbe ni mzito sana sana sana. Najua wale sugu watakuja kubisha... lakin wale wachache wenye hekima... watakuwa wameelewa.
Baadhi ya Wadada wa miaka hii.. pls punguzeni viburi.. ujeuri.. dharau uvivu.. hata kama ni mzuri.. hata kama una pesa.. mjiheshimu ndipo Mungu atawapa mume wa kuwapenda na kuwaheshimu. Otherwise mtachezewa na wanaume viruka njia.... kwa muda mrefu.

Kwa wanaume... kama binti ameji commit kwako pls usimchezee na kumuacha. Kama una mipango nae.. mtreat vizuri.. mpende. Lakin kama hauna.. ni bora usimguse labisa.. kuliko kuuchezea uke wake then kukimbia ukimuacha na majonzi .
duh! lazma utayalipa machoz yake sio sasa hat baadae nmeamua kumalizia mkuu
 
Haya mambo bwana mungu awasaidie wote mna wakati mgumu si me wala si ke kupata mtu sahihi wa kuishi nae kwa amani.wewe umebaki na pole dada hujajua kama una bomu gani umebeba zaidi kila mmoja amwombe mungu ampe mwenza sahihi na muda aliyopanga yeye .umri usimwumize mtu kichwa.
 
Back
Top Bottom