Wakuu zangu ikiwa hamjui kitu ni bora sana mkae kimya kusikilizia..Mimi binafsi siamini kwamba mzee Malecela ametupwa nje ya hizo kura za maoni, isipokuwa umefanyika mchezo ili mwanaye kijana Lusinde kuingia ktk serikalini. Kumbukeni kwamba mzee Lusinde na Malecela ni ndugu hawa! hivyo yawezekana kabisa Mzee aliingia ili kuondoa Upinzani wa Lusinde kwa mtu mwignine isipokuwa yeye mwenyewe. Nikiwa na maana, kama mzee Malecela asingegombea basi nafasi yake ingevuta vijana wengi kugombea hivyo kuifanya nafasi ya Lusinde kuwa ngumu kupita..
Kwa nini nasema hivi, wanapopigana ndugu wawili ni rahisi watu kufikiria tu kwa mapana ya ndugu hao lakini kama mzee asingegombea watu wangezungumzia zaidi kama wameachiana madaraka. lakini maadam mzee mawazidi karata basi nyote mnafikiria kwamba kashindwa hali yawezekana kabisqa imepangwa kuwa hivyo na mzee nafasi yake ipo ktk viti maalum. Nasikia vimeongewzeka hadi 100... ama kweli nchi ya Wadanganyika hii..
Chama kimoja kuamua mfumo na ukubwa wa bunge hata baada ya bunge lenyewe kufungwa..
Hi Mkandara!
Nimefualtilia wanasema huyu hana uhusiano kabisa na Lusinde ambaye ni ndugu yake Malecela, eti jina limekuwa moja lakini ni lusinde mwingine!
Wengine wansemaje je ni kweli?