Pole Mzee John, tulikushauri upumzike ukagoma

Wakuu zangu ikiwa hamjui kitu ni bora sana mkae kimya kusikilizia..Mimi binafsi siamini kwamba mzee Malecela ametupwa nje ya hizo kura za maoni, isipokuwa umefanyika mchezo ili mwanaye kijana Lusinde kuingia ktk serikalini. Kumbukeni kwamba mzee Lusinde na Malecela ni ndugu hawa! hivyo yawezekana kabisa Mzee aliingia ili kuondoa Upinzani wa Lusinde kwa mtu mwignine isipokuwa yeye mwenyewe. Nikiwa na maana, kama mzee Malecela asingegombea basi nafasi yake ingevuta vijana wengi kugombea hivyo kuifanya nafasi ya Lusinde kuwa ngumu kupita..

Kwa nini nasema hivi, wanapopigana ndugu wawili ni rahisi watu kufikiria tu kwa mapana ya ndugu hao lakini kama mzee asingegombea watu wangezungumzia zaidi kama wameachiana madaraka. lakini maadam mzee mawazidi karata basi nyote mnafikiria kwamba kashindwa hali yawezekana kabisqa imepangwa kuwa hivyo na mzee nafasi yake ipo ktk viti maalum. Nasikia vimeongewzeka hadi 100... ama kweli nchi ya Wadanganyika hii..
Chama kimoja kuamua mfumo na ukubwa wa bunge hata baada ya bunge lenyewe kufungwa..

Hi Mkandara!

Nimefualtilia wanasema huyu hana uhusiano kabisa na Lusinde ambaye ni ndugu yake Malecela, eti jina limekuwa moja lakini ni lusinde mwingine!

Wengine wansemaje je ni kweli?
 
Hi Mkandara!

Nimefualtilia wanasema huyu hana uhusiano kabisa na Lusinde ambaye ni ndugu yake Malecela, eti jina limekuwa moja lakini ni lusinde mwingine!

Wengine wansemaje je ni kweli?
Haaa haaa haaa! well sina uhakika lakini Ukoo wa kina Lusinde sehemu hiyo ni mmoja tu hawa hawana mila kama za Wachagga au Wakurya kutumia jina fulani maarufu kwa kabila zima!
Pengine wanajaribu kufunika kombe mwanaharamu apite..
 
Sasa ndio ataona umuhimu wa mgombea binafsi! Yeye alisema kuwa wananchi wa Mtera ndio watakaoamua na kusahau kuwa yuko chini ya mamlaka ya chama ambacho kinafanya maamuzi kabla ya wale wa Mtera.
 
Hivi yule mwanae ambae ni memba huku mbona simsikii akifuata nyayo? Anasemaje kuhusu anguko la mzee wake
 
Swali kwa Mzee JSM. Je utakuwa msitari wa mbele kwenye kampeni za CCM kuhakikisha mnashinda uchaguzi ujao kwa kishindo hasa kwenye jimbo la mtera kuhakikisha linaendelea kuwa la CCM? Je hutakuwa na kinyongo chochote baada na mambo haya yote kukutokea?
 
hakuna mzee mchakarikaji kama jonh ndani ya ccm, hachoki kutafuta madaraka
 
Field Marshall we rudi tu janvini yaliyompata mzee ni ajali za kisiasa!!


Mzee John Malecela lost the election. Plain and simple. Na amejiabisha mwenyewe.

Field Marshall Es atamlaumu tena Nyerere? Mwalimu alipoandika kitabu kuhusu ubovu wa CCM, Field Marshall Es alisema Nyerere aliandika kitabu hicho kumpinga Malecela. Akaanza hata kumtukana Nyerere hapa Jamii Forums kwa sababu hiyo ambayo siyo sababu ya ukweli. Nyerere hakuandika kitabu hata kuhusu Kambona, mpinzani wake mkubwa aliyejaribu kumpindua na kumuua. So why Malecela? That's utter nonsense.

Malecela siyo CCM na CCM siyo Malecela. CCM is bigger than Malecela. Nyerere hakuandika kitabu kumshambulia Malecela. Aliandika kuhusu chama kinacho ipotosha nchi, chama ambacho kimeoza.

Wapiga kura wa Mtera ndiyo ambao walioamua kwamba hawataki kuwakilishwa tena bungeni na Mzee Malecela. Lakini hata ilipokuwa wazi kwamba Tingatinga ameshindwa katika preferential polls, Field Marshall Es aliandika na kudai kwamba wapinzani wa Malecela katika uchaguzi huo wamemwibia kura. Na kwa sababu ya wizi huo, ndiyo maana hata watoto wa Malecela mwenyewe wako "on the ground," as Field Marshall Es put it, kuhakikisha kwamba Mzee wao hadanganywi. With all the power and influence Malecela has in CCM, nani angethubutu kumdanganya na kumwibia kura?

Tatizo moja kubwa ambalo tunalo nchini ni kwamba kuna watu wanaojiona kama wana "natural right" or "divine mandate" to rule na kuwa viongozi wa nchi yetu because of what they are na pia kwa sababu they are members of certain families. Field Marshall Es aliwahi hata kuandika hapa Jamii Forums na kusema kwamba alilelewa Ikulu. Kusema"nililelewa Ikulu" ni ndoto tu. Hakulelewa Ikulu. Alilelewa Ikulu lini? Hakutuambia. Those are delusions of grandeur. She was so determined to enter Ikulu, through Malecela, that she even dreamt about it and may be even convinced herself that she was really reared there. Tangu lini? Utotoni? Hakuna ukweli wowote kwamba Field Marshall Es alilelewa Ikulu just as there is no truth in her claim she has a number of college degrees. Amewahi hata kujisifu hapa na kusema "sisi tuliosomea international politics" vyuoni. What international politics? What college? Anashindwa hata ku spell na kutumia correctly simple English words hata baada ya kuishi Merikani miaka mingi sana, according to her own testimony kwamba ameishi huko miaka mingi. College graduate gani huyo ambaye hajui hata simple English? Hizo ni ndoto tu kama zile za kwamba alilelewa Ikulu na kwamba Malecela atakuwa raisi wa Tanzania.

Nilikuwa nakuja hapa Jamii Forums kwa muda mrefu sana kabla ya kujiunga na nimesoma mengi sana kuhusu Watanzania wenzetu wanajiona kama walizaliwa kuwa viongozi wetu na ambao wanafikiri ni wao tu, na ndugu zao, wanaoweza kuongoza nchi yetu.

Watanzania wote tuishi kama wananchi wa kawaida. Hakuna hata mmoja kati yetu who is better than other people. This country does not belong to only a few people. Ukweli ni kwamba Malecela lost. Muda wake umepita. Concede defeat.

Field Marshall Es amewahi kutuaga hapa zaidi ya mara moja bila kwenda popote. Kila anaposema hivyo, anarudi tena hapa Jamii Forums. Na baada ya matokeo ya kura kule Mtera, aliandika kwa hasira na kusema "Kwaherini ya kuto onana tena."

Lakini bado yupo hapa. Hajaenda popote. Na ana haki kama sisi wote kuwa hapa Jamii Forums. Lakini hata akiingia tena Jamii Forums kwa jina lingine, Field Marshall Es will always be Field Marshall Es. Kubadilisha jina hakubadilishi mawazo na msimamo. Ataendelea kumtetea Malecela. Na watu watajua ni huyo huyo kwa sababu maandishi ya mtu yeyote, believe it or not, yana signature embedded in it even if you don't see it. The trail leads right back to you. Anybody with common sense can follow it.

Pia Field Marshall Es ana haki ya kumtetea Malecela. Lakini ni lazima iwe kwa sababu za ukweli. Kumbuka kwamba the leadership of this country is not meant to be the exclusive domain of a privileged few. And when it's time to go, it's time to go.

Kwaheri Mzee Malecela. You have served the nation well ingawa umejiabisha mwenyewe kwa kujaribu kung'ang'ania ubunge. It shouldn't have happened that way, considering your lofty status as a former minister of foreign of affairs na waziri wa wizara zingine through the decades; pia as a former prime minister and former vice president. You have had it all except the presidency. Wengi wetu tungependa ungeondoka after seeing the writing on the wall kama Mzindikaya na wengine. But you obviously did not want to see it or you simply refused to read it and see signs of the times.

In spite of all that, I hope that history will be kind to you and you will be remembered as a statesman.

Thank you for serving the nation and God bless you.
 
Hawa wazee hawashindwi mpaka tone la damu limwagike.
Wait and see... Anasubiri huruma za muungwana, maana hawezi tena. Si viti vimekuwa 100!!!
 
Mnakumbuka Mzee Msekwa alivyogalagazwa kwenye uchaguzi wa spika (uliomwingiza Sitta kwenye kiti)? Kila mtu alidhani ndo anguko lake.. Sasa hivi anakula kiulaiinii kwenye umakamu mwenyekiti CCM. I tell you, John will rise again.
 
Mzee wa mambo ya Ngosweeeeeeee umeangukia pua budaaa:becky:, unataka kuwa mbunge mpaka ufie kenye viti vya mjengoni?. We kaa nyumbani ulee vitukuu na vilembwe babu, ulishasema wewe ni tingatinga wacha wenye vyaupepo vyao wapite.Omba Mungu sana ili JK apite angalau atakukingunge urudi mjengoni.Byeeeee.
 
Na yeye anaona aibu hawezi rudi mgombea wake kabwagwa Ubungo chaliiiiiiii

Bila shaka Field Marshall Es ana uchungu sana baada ya kuona kwamba Mzee John Samweli Malecela amebwagwa vibaya sana huko Mtera mwezi huu. Lakini hakuwa na haya au aibu hata kidogo wakati wa kura za maoni aliposema kwamba Mzee Malecela anaongoza katika kura hizo ingawa ni kijana Lusinde aliyekuwa mbele wakati huo na hatimaye akamwangusha Tingatinga, na aliposema Lusinde anapendelewa. Hiyo ni dharau ya Field Marshall Es kwa wananchi na wapiga kura wa Mtera kama vile alivyo wadharau Watanzania wenye elimu ya juu Marekani, Uingereza na nchi zingine aliposema hapa jamvini kwamba - Inajiita misomi wakati ni failures. Inaosha ****** ya wazee katika nursing homes - kwa sababu hawakufanikiwa kupata kazi katika sehemu walizo somea.

Huo pia ni wivu kwa sababu Field Marshall Es hana elimu kama ya Watanzania hao anao wadharau. Lakini dharau hiyo pia inatokana na kuwa mtu ambaye anajiona yuko katika ukoo fulani, ukoo wa matajiri au ukoo wa viongozi na wa watawala wa nchi, ambao ni bora kuliko wananchi wengine.

Kushindwa kwa Mzee Malecela liwe ni fundisho kubwa, na onyo, kwa wale wote wanaofikiri kwamba wataongoza nchi hii milele. Pia liwe ni onyo kubwa kwa ndugu zao na marafiki zao ambao wanajiona ni watu bora kuliko wananchi wengine kwa sababu wako katika kambi la viongozi na watawala wa nchi yetu.

Tunahitaji mabadiliko ya katiba. Kati ya mabadiliko hayo iwe term limits. Wabunge wasiruhusiwe zaidi ya two or three terms. Pia viongozi wote wasiwe zaidi ya umri wa miaka sabini na tano. Halafu viongozi wengine waondolewe ikiwa wamekuwa madarakani miaka ishirini na tano au thelathini hata ikiwa bado hawajafikia umri wa miaka 75.

Lakini sitegemei mabadiliko ya aina hiyo au mengine yoyote yatakayo waridhisha wananchi kutoka chama cha mafisadi.
 
Wakuu zangu ikiwa hamjui kitu ni bora sana mkae kimya kusikilizia..Mimi binafsi siamini kwamba mzee Malecela ametupwa nje ya hizo kura za maoni, isipokuwa umefanyika mchezo ili mwanaye kijana Lusinde kuingia ktk serikalini. Kumbukeni kwamba mzee Lusinde na Malecela ni ndugu hawa! hivyo yawezekana kabisa Mzee aliingia ili kuondoa Upinzani wa Lusinde kwa mtu mwignine isipokuwa yeye mwenyewe. Nikiwa na maana, kama mzee Malecela asingegombea basi nafasi yake ingevuta vijana wengi kugombea hivyo kuifanya nafasi ya Lusinde kuwa ngumu kupita..

Kwa nini nasema hivi, wanapopigana ndugu wawili ni rahisi watu kufikiria tu kwa mapana ya ndugu hao lakini kama mzee asingegombea watu wangezungumzia zaidi kama wameachiana madaraka. lakini maadam mzee mawazidi karata basi nyote mnafikiria kwamba kashindwa hali yawezekana kabisqa imepangwa kuwa hivyo na mzee nafasi yake ipo ktk viti maalum. Nasikia vimeongewzeka hadi 100... ama kweli nchi ya Wadanganyika hii..
Chama kimoja kuamua mfumo na ukubwa wa bunge hata baada ya bunge lenyewe kufungwa..


....and you really believe that?? Mkuu, mzee ameshindwa loudly and clear tusianze kutafuta visababu vya kujaribu ionekane kuwa kushindwa kwake ni tofauti na kushindwa kwa wengine! Kama ni hivyo, kwa nini basi alikata rufaa kupinga matokeo?? ili kuendelea kuficha isionekane kuwa amemuachia kijana wake?? Dont make me laugh.
 
John Malecela alikuwa ni mmoja wa viongozi wetu maarufu tangu alipokuwa balozi wetu UN. It's just too bad he tarnished his image by trying to perpetuate himself in office, only to be tossed out by a political neophyte.

May be one of our political pundits will write a biography tentatively entitled, "The Rise and Fall of John Malecela."

And is it true that Field Marshall Es - of questionable credentials - was one of his political advisers as someone has implied here?

Don't forget another political heavyweight, Joseph Mungai, who also has disgraced himself. Both, he and Malecela, have been political heavyweights since the early seventies when they were cabinet members under Nyerere. And both failed miserably in the preferential polls.

There is a lesson to be learnt here. It's a textbook case.
 
It is a good lesson. The two disgraced leaders were some of the most prominent politicians in Tanzania for decades. So, there is a lesson to be learned from their failure to retain power.

And it's not a question of bad political advice from their advisers and colleagues. Waliamua wao wenyewe kugombea tena ubunge. I don't believe that Field Marshall Es is one of John Malecela's political advisers. But she has earned her political credentials - if they are credentials at all - from her status as a conduit of information from some political heavyweights in CCM directed against their adversaries within the same party. And she has been fed that information for partisan purposes for years, not an an agent of change but as a tool of a number of CCM stalwarts who have a lot of power in the country.

Ni mabadiliko makubwa. But it's wrong to believe that what happened to Malecela and Mungai is going to happen to Kikwete. The downfall of Malecela and Mungai does not herald the dawn of a new era in Tanzanian politics in terms of bringing about fundamental change. Vyama vya upinzani bado haviko tayari kusaidia kutuletea mabadiliko kama hayo katika uongozi wa nchi yetu and across the spectrum. We still have a long way to go. Sidhani hata 2015 kuna chama cha upinzani kitakacho shinda na kuingia Ikulu. The opposition is too weak, too divided, and too disorganised, to capture Ikulu.

Sitaki CCM wabaki madarakani. But that is the harsh reality we have to face kwamba watashikilia usukani kwa miaka mingi ijayo. Labda kuna uwezekano kuwa na mabadiliko 2020 ikiwa vyama vya upinzani vitaweza ku mobilise forces kila mahali nchini and mount a formidable challenge against CCM. Lakini ni muhimu vianze sasa kujitayarisha na kujaribu to level the playing field which is clearly tilted against them.

Na sijui kwa nini watu wanategema kwamba Dr. Slaa atashinda na ataingia Ikulu wakati hata electoral commission yenyewe - the final arbiter in all disputed elections - bado iko mikononi mwa CCM.

Kwahiyo kushindwa kwa Malecela na Mungai hakumaniishi kwamba Kikwete na CCM watang'olewa na vyama vya upinzani kutoka madarakani. After all, the political opponents who trounced Malecela and Mungai in the preferential polls are CCM members themselves determined to perpetuate CCM in power. That is another lesson that has to be learned from the downfall of these two political heavyweights.
 
John Malecela alikuwa ni mmoja wa viongozi wetu maarufu tangu alipokuwa balozi wetu UN. It's just too bad he tarnished his image by trying to perpetuate himself in office, only to be tossed out by a political neophyte.

May be one of our political pundits will write a biography tentatively entitled, "The Rise and Fall of John Malecela."

And is it true that Field Marshall Es - of questionable credentials - was one of his political advisers as someone has implied here?

Don't forget another political heavyweight, Joseph Mungai, who also has disgraced himself. Both, he and Malecela, have been political heavyweights since the early seventies when they were cabinet members under Nyerere. And both failed miserably in the preferential polls.

There is a lesson to be learnt here. It's a textbook case.

It is a good lesson. The two disgraced leaders were some of the most prominent politicians in Tanzania for decades. So, there is a lesson to be learned from their failure to retain power.

And it's not a question of bad political advice from their advisers and colleagues. Waliamua wao wenyewe kugombea tena ubunge. I don't believe that Field Marshall Es is one of John Malecela's political advisers. But she has earned her political credentials - if they are credentials at all - from her status as a conduit of information from some political heavyweights in CCM directed against their adversaries within the same party. And she has been fed that information for partisan purposes for years, not an an agent of change but as a tool of a number of CCM stalwarts who have a lot of power in the country.

Ni mabadiliko makubwa. But it's wrong to believe that what happened to Malecela and Mungai is going to happen to Kikwete. The downfall of Malecela and Mungai does not herald the dawn of a new era in Tanzanian politics in terms of bringing about fundamental change. Vyama vya upinzani bado haviko tayari kusaidia kutuletea mabadiliko kama hayo katika uongozi wa nchi yetu and across the spectrum. We still have a long way to go. Sidhani hata 2015 kuna chama cha upinzani kitakacho shinda na kuingia Ikulu. The opposition is too weak, too divided, and too disorganised, to capture Ikulu.

Sitaki CCM wabaki madarakani. But that is the harsh reality we have to face kwamba watashikilia usukani kwa miaka mingi ijayo. Labda kuna uwezekano kuwa na mabadiliko 2020 ikiwa vyama vya upinzani vitaweza ku mobilise forces kila mahali nchini and mount a formidable challenge against CCM. Lakini ni muhimu vianze sasa kujitayarisha na kujaribu to level the playing field which is clearly tilted against them.

Na sijui kwa nini watu wanategema kwamba Dr. Slaa atashinda na ataingia Ikulu wakati hata electoral commission yenyewe - the final arbiter in all disputed elections - bado iko mikononi mwa CCM.

Kwahiyo kushindwa kwa Malecela na Mungai hakumaniishi kwamba Kikwete na CCM watang'olewa na vyama vya upinzani kutoka madarakani. After all, the political opponents who trounced Malecela and Mungai in the preferential polls are CCM members themselves determined to perpetuate CCM in power. That is another lesson that has to be learned from the downfall of these two political heavyweights.
 
Wakuu zangu ikiwa hamjui kitu ni bora sana mkae kimya kusikilizia..Mimi binafsi siamini kwamba mzee Malecela ametupwa nje ya hizo kura za maoni, isipokuwa umefanyika mchezo ili mwanaye kijana Lusinde kuingia ktk serikalini. Kumbukeni kwamba mzee Lusinde na Malecela ni ndugu hawa! hivyo yawezekana kabisa Mzee aliingia ili kuondoa Upinzani wa Lusinde kwa mtu mwignine isipokuwa yeye mwenyewe. Nikiwa na maana, kama mzee Malecela asingegombea basi nafasi yake ingevuta vijana wengi kugombea hivyo kuifanya nafasi ya Lusinde kuwa ngumu kupita..

Kwa nini nasema hivi, wanapopigana ndugu wawili ni rahisi watu kufikiria tu kwa mapana ya ndugu hao lakini kama mzee asingegombea watu wangezungumzia zaidi kama wameachiana madaraka. lakini maadam mzee mawazidi karata basi nyote mnafikiria kwamba kashindwa hali yawezekana kabisqa imepangwa kuwa hivyo na mzee nafasi yake ipo ktk viti maalum. Nasikia vimeongewzeka hadi 100... ama kweli nchi ya Wadanganyika hii..
Chama kimoja kuamua mfumo na ukubwa wa bunge hata baada ya bunge lenyewe kufungwa..

devil's advocate?
 
Back
Top Bottom