Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Lipi bora,Kumpongeza au kumtukana!!Huwa nachukia sana watu wanaopongeza MAREHEMU
Wakati akiwa hai kwanini hamsemi?
Bira nijipongeze sijui na kitu gani, watanipongeza nipokuwepo wala kusikia. Unafiki tu
Baada ya hapa Waunguja na Wapemba walikumbilia Ulaya na kuomba ukimbizi. Mkapa alitembelea Uingereza waandishi wa habari walimhoji kuhusu watu kukimbia kwa vitisho vya dola, alijibu si kweli na msiwapokee, Tanzania hatuna matatizo.
Baadhi ya mke na Mme wakiishi pamoja muda mrefu watu huwa wanadai wanafanana.hee,huyu mama hata sikuwahi kumtilia maanani,kumbe anafanana sana na BEN mumewe!!!!
UmenigusaYote Tisa kumi nimapokezi ya lissu
kama ww ni muongo na mnafiki mtu akikwambia ukweli huu utajisikiaje tena kwenye umati wa watuHuwa nachukia sana watu wanaopongeza MAREHEMU
Wakati akiwa hai kwanini hamsemi?
Bira nijipongeze sijui na kitu gani, watanipongeza nipokuwepo wala kusikia. Unafiki tu
Ana hakua akipendA kujichosha nafsi..! Undava undava tu...life goes onKati ya watu ambao hawajawahi kueleweka basi ni Ben na Anna.
Hio tabia hata Mimi naichukiaHuwa nachukia sana watu wanaopongeza MAREHEMU
Wakati akiwa hai kwanini hamsemi?
Bira nijipongeze sijui na kitu gani, watanipongeza nipokuwepo wala kusikia. Unafiki tu
Ndugu yangu, nipo japo kuna vimajukumu kidogo vilinibana!Umepotea sana mkuu
Baada ya msiba tutajaribu kumpata ili tumuajiri kuwanoa mabinti zetu huku maswagelo.
Tunasikia ni sensei mzuri sana.
(msiwe serious kupitiliza)
Tuna kazi ya kufanya mkuu.Ndugu yangu, nipo japo kuna vimajukumu kidogo vilinibana!
Pamoja na juhudi kubwa za mwanamke kutafuta usawa lakini bado jamii yetu inatawaliwa na mfumo dume.(sijui kama nitaeleweka na wengi)
Benjamin William Mkapa ...Ben ametwaliwa jana kutoka maidha haya...huu ni msiba mzito kwakuwa ndio rais wa tatu wa Tanzania tangu uhuru. Tunamkumbuka kwa mema na mabaya yake..hakuna mkamilifu...lakini mizania ya haki ndio itaamua ni aina gani ya kumbukumbu ametuachia.
Kwenye kila mwanaume mwenye mafanikio nyuma yake kuna mwanamke (japo pia wanawake wengi wamekuwa chanzo cha anguko la wanaume wengi)...mwanamke ni kama moto au kisu..inategemea unatumiaje...!!!!
Mafanikio ya Ben Mkapa RIP mpaka kufikia kuwa rais wa nchi hayawezi kukamilika bila ya kumtaja mkewe pekee wa ndoa takatifu ya kikristo mama Anna Mkapa na mwenyekiti mwanzilishi wa mfuko wa FURSA SAWA KWA WOTE...EOTF..
Ni mama huyu wa shoka .
Aliyempa mzee faraja kitandani
Aliyemshibisha mezani
Aliyemgh'arisha upenuni
Aliyempa tumaini jipya pale mzee alipochoka na kukata tamaa
Aliyemshika mkono pale mzee alipotaka kuanguka...
Kuna ya sirini kati yao..haya hayatuhusu..hata wewe una yako...hayo ni yako mwenyewe..kuna ya nuruni..tumeyaona ...tuyaenzi yale mazuri..na yale yasiyo mazuri yawe mwalimu wetu wa kutufunza kuwa watu wema na bora zaidi
Ben kalala...apumzike kwa amani..mwendo ameumaliza..kikomo chake cha kuwa kimefika tamati...msiba wake usitufanye tumsahau mwandani wake ,kipenzi na rafiki mama Anna Mkapa..naye anastahili pole nyingi kuliko marehemu
Anabaki mjane...wajane ni wengi kwakuwa wanaume tunakufa haraka kuliko wao...tuna maisha mafupi kwakuwa sisi tunatoa wao wanapokea
Mama atabaki peke yake..mkiwa na mwenye huzuni..yule rafiki na soulmate wake hatakuwapo tena kuonekana popote..sio chumbani sio sebuleni ..hata akitaka kusema wee Ben uko wapi hataweza tena.
Ni msiba mkubwa zaidi kwakwe kuliko mamia watakaoenda msibani kwa ajili ya show off za ukwasi, urembo umaridadi na umaarufu..ni msiba mkubwa kwakwe kuliko maelfu watakaotuma salam za rambirambi
Ni msiba mkubwa kwakwe kuliko makumi ya wanasiasa watakaoutumia kujipendekeza na kujipitisha huko na huko ili waonekane kwenye camera za waandishi wa habari
Mama yetu Mama Anna Mkapa nachukua nafasi hii kukupa pole nyingi sana...nakuombea kwa Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwandani wako....
TUKO PAMOJA MAMA JAPO HUTATUONA HAPO MSIBANI..View attachment 1516078
Jr
Ndugu yangu kwa ajili yako ntaweka muda wa ziada kabisa.Tuna kazi ya kufanya mkuu.
Pole sana mama Ana Mungu akupe faraja daima wewe na familia yako baba hayupo tena mtegemee Mungu tumaini letuPamoja na juhudi kubwa za mwanamke kutafuta usawa lakini bado jamii yetu inatawaliwa na mfumo dume.(sijui kama nitaeleweka na wengi)
Benjamin William Mkapa ...Ben ametwaliwa jana kutoka maidha haya...huu ni msiba mzito kwakuwa ndio rais wa tatu wa Tanzania tangu uhuru. Tunamkumbuka kwa mema na mabaya yake..hakuna mkamilifu...lakini mizania ya haki ndio itaamua ni aina gani ya kumbukumbu ametuachia.
Kwenye kila mwanaume mwenye mafanikio nyuma yake kuna mwanamke (japo pia wanawake wengi wamekuwa chanzo cha anguko la wanaume wengi)...mwanamke ni kama moto au kisu..inategemea unatumiaje...!!!!
Mafanikio ya Ben Mkapa RIP mpaka kufikia kuwa rais wa nchi hayawezi kukamilika bila ya kumtaja mkewe pekee wa ndoa takatifu ya kikristo mama Anna Mkapa na mwenyekiti mwanzilishi wa mfuko wa FURSA SAWA KWA WOTE...EOTF..
Ni mama huyu wa shoka .
Aliyempa mzee faraja kitandani
Aliyemshibisha mezani
Aliyemgh'arisha upenuni
Aliyempa tumaini jipya pale mzee alipochoka na kukata tamaa
Aliyemshika mkono pale mzee alipotaka kuanguka...
Kuna ya sirini kati yao..haya hayatuhusu..hata wewe una yako...hayo ni yako mwenyewe..kuna ya nuruni..tumeyaona ...tuyaenzi yale mazuri..na yale yasiyo mazuri yawe mwalimu wetu wa kutufunza kuwa watu wema na bora zaidi
Ben kalala...apumzike kwa amani..mwendo ameumaliza..kikomo chake cha kuwa kimefika tamati...msiba wake usitufanye tumsahau mwandani wake ,kipenzi na rafiki mama Anna Mkapa..naye anastahili pole nyingi kuliko marehemu
Anabaki mjane...wajane ni wengi kwakuwa wanaume tunakufa haraka kuliko wao...tuna maisha mafupi kwakuwa sisi tunatoa wao wanapokea
Mama atabaki peke yake..mkiwa na mwenye huzuni..yule rafiki na soulmate wake hatakuwapo tena kuonekana popote..sio chumbani sio sebuleni ..hata akitaka kusema wee Ben uko wapi hataweza tena.
Ni msiba mkubwa zaidi kwakwe kuliko mamia watakaoenda msibani kwa ajili ya show off za ukwasi, urembo umaridadi na umaarufu..ni msiba mkubwa kwakwe kuliko maelfu watakaotuma salam za rambirambi
Ni msiba mkubwa kwakwe kuliko makumi ya wanasiasa watakaoutumia kujipendekeza na kujipitisha huko na huko ili waonekane kwenye camera za waandishi wa habari
Mama yetu Mama Anna Mkapa nachukua nafasi hii kukupa pole nyingi sana...nakuombea kwa Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwandani wako....
TUKO PAMOJA MAMA JAPO HUTATUONA HAPO MSIBANI..View attachment 1516078
Jr