DOKEZO Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh Saguda awakata pesa za posho watumishi wa mahakama kwaajili ya msiba wa mama mkwe wa Jaji Mfawidhi bila ridhaa yao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
607
553
Habarini,
Haya mambo ya Umungu mtu ndani ya mahakama yamepitiliza kiasi kwamba watumishi wanafanyiwa mambo ya ajabu hasa kwenye maslahi yao kukatwa ovyo bila ridhaa zao.

Ni hivi majuzi tu Jaji Mfawidhi ambaye aliripoti Kanda ya Sumbawanga alifiwa na mama mkwe wake chakushangaza Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh. Saguda(Ex-Police/Msukuma) aliamrisha watumishi wote kukatwa posho zao kwaajili ya rambirambi ya msiba wa mama mkwe wa jaji mfawidhi huyo.

Kwakweli huu ni uonevu mambo ya kuchangia misiba au sherehe ni hiari ya mtu siyo kuchangishwa kwa lazima.

Watumishi hao wamekatwa Tshs. 50,000/= kwa 20,000/= kitu ambacho ni uonevu.

Tunaomba Jaji Mkuu na Waziri husika mkemee haya kwani double standard zimezidi ndani ya idara ya mahakama.
 
Habarini,
Haya mambo ya Umungu mtu ndani ya mahakama yamepitiliza kiasi kwamba watumishi wanafanyiwa mambo ya ajabu hasa kwenye maslahi yao kukatwa ovyo bila ridhaa zao.

Ni hivi majuzi tu Jaji Mfawidhi ambaye alilipoti Kanda ya Sumbawanga alifiwa na mama mkwe wake chakushangaza Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh. Saguda(Ex-Police/Msukuma) aliamlisha watumishi wote kukatwa posho zao kwaajili ya rambirambi ya msiba wa mama mkwe wa jaji mfawidhi huyo.

Kwakweli huu ni uonevu mambo ya kuchangia misiba au sherehe ni hiari ya mtu siyo kuchangishwa kwa lazima.

Watumishi hao wamekatwa Tshs. 50,000/= kwa 20,000/= kitu ambacho ni uonevu.

Tunaomba Jaji Mkuu na Waziri husika mkemee haya kwani double standard zimezidi ndani ya idara ya mahakama.
Kama unaona kuhani wenzako ni shida jitenge kwa kila kitu. Hutasumbuka hata kidogo.
 
Mmh sasa mwensetu elfu hamsini inauma kwenye msiba?? Ni kama umetoa sadaka dear

Potezea
 
Habarini,
Haya mambo ya Umungu mtu ndani ya mahakama yamepitiliza kiasi kwamba watumishi wanafanyiwa mambo ya ajabu hasa kwenye maslahi yao kukatwa ovyo bila ridhaa zao.

Ni hivi majuzi tu Jaji Mfawidhi ambaye alilipoti Kanda ya Sumbawanga alifiwa na mama mkwe wake chakushangaza Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh. Saguda(Ex-Police/Msukuma) aliamlisha watumishi wote kukatwa posho zao kwaajili ya rambirambi ya msiba wa mama mkwe wa jaji mfawidhi huyo.

Kwakweli huu ni uonevu mambo ya kuchangia misiba au sherehe ni hiari ya mtu siyo kuchangishwa kwa lazima.

Watumishi hao wamekatwa Tshs. 50,000/= kwa 20,000/= kitu ambacho ni uonevu.

Tunaomba Jaji Mkuu na Waziri husika mkemee haya kwani double standard zimezidi ndani ya idara ya mahakama.
Ila watanzania tuna laana. Hata hili nalo mnaombea msaada? Fedha yako inaibiwa bila ridhaa halafu unalialia badala kuidai? Unganane wote mdai hizo fedha, huyo siyo mama mkwe wenu wala mama mkwe wa Tanzania. Mijitu ina mishahara mikubwa halafu mnaiogopa?
 
Kama unaona kuhani wenzako ni shida jitenge kwa kila kitu. Hutasumbuka hata kidogo.
Umeelewa kilichoandikwa? Ni hivi: mishahara imekatwa bila ridhaa ya wafanyakazi. Halafu unatakiwa upashe ubonge wako moto. Rambirambi haikatwi kwenye mishahara ya wafanyakazi. Rambi rambi inatolewa msibani kama mtu anajisikia kutoa.
 
Mmh sasa mwensetu elfu hamsini inauma kwenye msiba?? Ni kama umetoa sadaka dear

Potezea
Swala siyo elfu 50 bali ni kukatwa bila ridhaa ya mtumishi na doubke standard,je,mtumishi wa chini akifiwa majaji huwa wanawachangia?

Hii ni nidhamu ya woga na kujipendekeza kwa viongozi wa juu na wakati mwingine huyo aliyefiwa hana taarifa na michango hiyo na haijulikani kama imefika au la!!
 
Mmh sasa mwensetu elfu hamsini inauma kwenye msiba?? Ni kama umetoa sadaka dear

Potezea
Sadaka haitolewi kwa kulazimisha na kupangiwa.Huyo hakimu bado ana mawazo kama kuruta kutoka CCP.Anatakiwa aoneshe uanasheria wake kwa kufuata haki,masikilizano na ushirikiano wa hoja.
 
.....na waliokatwa fedha zao hizi wamekaa kimya kama mikondoo, ipi push back ya kudai haki yao?,why wasifanye protest hapo kudai haki yao, haki huwezi kuipata humu JF, walitakiwa kuzuia gari ya hakimu huyo mpaka pesa iwe reversed, sio kulalama humu
 
Habarini,
Haya mambo ya Umungu mtu ndani ya mahakama yamepitiliza kiasi kwamba watumishi wanafanyiwa mambo ya ajabu hasa kwenye maslahi yao kukatwa ovyo bila ridhaa zao.

Ni hivi majuzi tu Jaji Mfawidhi ambaye aliripoti Kanda ya Sumbawanga alifiwa na mama mkwe wake chakushangaza Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh. Saguda(Ex-Police/Msukuma) aliamrisha watumishi wote kukatwa posho zao kwaajili ya rambirambi ya msiba wa mama mkwe wa jaji mfawidhi huyo.

Kwakweli huu ni uonevu mambo ya kuchangia misiba au sherehe ni hiari ya mtu siyo kuchangishwa kwa lazima.

Watumishi hao wamekatwa Tshs. 50,000/= kwa 20,000/= kitu ambacho ni uonevu.

Tunaomba Jaji Mkuu na Waziri husika mkemee haya kwani double standard zimezidi ndani ya idara ya mahakama.
Mathayo 24:15
Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


Mahakama zetu zimeruhusu chukizo la uharibifu lisimame kwenye hekalu la haki
 
.....na waliokatwa fedha zao hizi wamekaa kimya kama mikondoo, ipi push back ya kudai haki yao?,why wasifanye protest hapo kudai haki yao, haki huwezi kuipata humu JF, walitakiwa kuzuia gari ya hakimu huyo mpaka pesa iwe reversed, sio kulalama humu
Kaka wewe ni mtu wa mlengo wa misimamo mikali na migumu .

Actually wewe ni mimi na mimi ni wewe , uko na ujasiri usiosimulika na mimi niko hivyo pia .

But hii ni Tanzania ukiwa wa namna hii hawakawii kusema unavuta mjani .

But endelea watu wa kariba yetu hatukuwahi kuonewa na daima tunaheshimiwa sana kwenye jamii bila kusahau kuogopeka .

Finally wewe mleta mada ni lijinga na lizuzu tu yaani aliyekula hela yako yuko hapo ofisini unalete nyuzi ushubwada huku JF ilihali mtuhumiwa wako unaye .

Wake up haki haimbembelezwi bwana mdogo .

Ahsante , karibu yeyote kwa mashambulizi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom