Pole January Makamba

Pole January Makamba

Hivi mtu mlikiwa nae masaa yote pale kwanini haya maswala usimuulize pale pale nadhani angekupa majibu stahiki,sasa umeyaleta hapa kutaka kumdhalilisha au kutaka nini? Sijaelewa nia yakuleta haya hapa

kweli mkuu huyo mtu bwana haeleweki hata mimi sija muelewa
 
Hapo pa Shelukindo patamu,haya Makamba njo ujibu.
 
ngoja leo nikuache usikute beki tatu ndiyo kapost maana ni utumbo...
shadcole nae si mwana cdm,mbona mnageukana dugu moya?..

Sema yeye kasema ya moyoni,january kugombea urais si dhambi na hajavunja sheria.
Sasa sijui wasiwasi wenu unatoka wapi,eeh bana?.
Kama slaa ana wafuasi wengi na wanamkubali kama mnavyodai basi watampigia kura na atashinda,hamna sababu ya kupanick.
Sasa eti kwakua slaa anagombea urais watu wengine ndo wasigombee,kha...!!.
 
mhhhh kazi kwe kweli

Namimi ngoja nitangaza nia yangu ya kuwa rais wa JMT tena hapa hapa JF. Wengine wanatangaza makanisani, wengine misikitini, wengine hotelini. Acha namimi nitangaze hapa hapa JF

msiniulize sera wala nini - msitake kujua historia ya utendaji wangu; ndio kwani wao akina Makamba Jr na wengine mbona wanajitangaza bila hata kuwa na sera au vipaumbele! issue hapa ni kuwa rais tu baaaaasi!

Kikwete kweli umefanya urais kuwa rahisi kupita rahisi, mhhh
 
Umeshirk dhambi Kwendraàaa nawewe nipepo nngekua karbu yako Mungu wangu nngekupa bonge la kerebu nyau wewe
 
Hili suala la kila mtu anataka Urais litawatesa CCM.Ni kwa nini hawamuandai mrithi mmoja?!
 
shadcole nae si mwana cdm,mbona mnageukana dugu moya?..

Sema yeye kasema ya moyoni,january kugombea urais si dhambi na hajavunja sheria.
Sasa sijui wasiwasi wenu unatoka wapi,eeh bana?.
Kama slaa ana wafuasi wengi na wanamkubali kama mnavyodai basi watampigia kura na atashinda,hamna sababu ya kupanick.
Sasa eti kwakua slaa anagombea urais watu wengine ndo wasigombee,kha...!!.

craaaaaaaaaaap!
 
....
5......suala la tozo za simu ambalo ni mzigo wa dhambi kwa wananchi, limekushinda ukiwa kama naibu waziri wa wizara husika .....uoni ukiwa Raisi utaleta na kodi ya kusikiliza redio?

Watu kweli wanawaza na kutoa maswali magumu!
 
Hivi wewe ni mchungaji au mchungwaji nina wasiwasi na uelewa wako umesema ulikuwa nae kwenye kikao kwanini haya maswali yako ya kipuuzi hukumuuliza huko kwenye kikao au ulisubili upokee posho kwanza halafu uje kutuchosha hapa, hivi ni wapi rahisi pa kufikisha ujumbe haraka kati ya kumwambia mtu m ojakwamoja na kuja kulalamika hapa jamvini. Wewe siyo mchungaji ni mpiga majungu watu kama nyinyi ni hatali kwa Taifa.
 
Full kisukuma ndani maana du Kiswahili kumbe kigumu! Wee lazima utakuwa mtoto wa kike maana duu unaupepeta sana na wewe ulihongwa 50 elfu ukaenda kulala nae Victoria Palace?

Pole ndugu yangu kwa kupewa kiasi kidogo Kama Hiko! Next tym ataongeza Dau boresha mifumo yako tu!
 
Kama ulikuwa kwenye hicho kikao si ungemuuliza hayo maswali?kama sio unafiki ni nini..

mtu wenu ameumbuka mnamgombeza mleta mada. Tungeyajuaje kama angeyauliza kwenye kikao? Magamba huu ndo wakati wenu kuumbuka. Mlizoea kuwahonga watz wa miaka ile, si hii. Haooo....!
 
Back
Top Bottom