Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,033
- Thread starter
- #101
We wasema!Ni ahsante bhana sio pole
We wasema!Ni ahsante bhana sio pole
Hawa viumbe siyo vyepesi kukuambia ukweliPale ulipogonga alafu ukapewa pole hapo ulitakiwa ndo uulize hapo utapata jibu la hakika zaidi
Ukiona umemwambia mwanaume pole maana yake amekukaza kisawasawa.
Halafu unamalizia na asante

Imenibidi nicheke tu maana jibu nilishapataUkiambiwa asante ina maana katika huwo mchezo wewe ndio mshindi, ila sasa ukiambiwa pole ina maana yeye amekushinda sasa anakupa pole kwa mchezo maana anakuwa amekukimbiza hadi jasho limekutoka kisawasawa, nimejaribu kutumia lugha ya nzuri natumaini angalau utakuwa umeelewa kwa sehemu.
NakutafutaRoho inamuuma...anakuonea huruma!Hela unampa nyingi lakini ile raha is inverse proportional to the money.Kama binadamu lazima aingiwe na ka imani kidogo.
Haijalishi 7 km au kilomita ngapi.Speed ya baiskeli ya miti ndio inayomata hapa.Boing hazitakiwi kabisa.Wanasemaga sijui eti ni kama mwanaume kakimbia sijui uwanja wa mpira mara ngapi sijui sasa lazima umpe mtu pole sio kazi ndogo
Anakuonea huruma tu, mijasho hema sana na kujamba wakati hamna kitu. Akiwa ameridhika na ulichomfanyia mara nyingi husema "asante mpenzi"