Ukiona umemwambia mwanaume pole maana yake amekukaza kisawasawa.
Halafu unamalizia na asante
Kwani mlikuwa Vitani???Mimi niliwahi kuulizwa bby umeumia?

Kwani mlikuwa Vitani???![]()
hata mimi sikujua kama ulikuwa ugomvi au mashambuliziWakuu habari za weekend!!!
Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa wote mtakaosoma ujumbe na wale mtakaonijibu na hao watakaopita kimya
Nimekuwa nikitatizwa na hili jambo pindi mwanaume anapomaliza kubanjuka mwanamke anatoa neno hili
"Pole pole sana mpenzi" huku mwanaume ukitokwa na jasho na mhemo wa juu kama ulikuwa unambio ndefu sana
Hivi hii inaashiria nini kwa mwanaume?
Na mwanamke anakuwa na maana gani kwa mume
Natanguliza shukrani
........................Nkolandoto.........kwanza nianze kwa kuipokea hiyo salamu uliyotanguliza....................................,mimi pia ni mmoja wao watakao kujibu................post yangu pamoja na kukupa LIKE............................... Na hivyo sasa nakujibu kama ifuatatvyo:-
.............kwanza kabisa na kwa taarifa yako si WOTE wanaopewa pole. Wewe kama unapewa pole ,...............tena nime soma sawia kuwa unapewa "Pole pole sana Mpenzi"..................basi hakika wewe ni kidume,.......................tena kidume kweli kweli................ nina kunukuu......................."Huku,ukitokwa na jasho na mhemo wa juu kama una mbio ndefu sana"........mwisho wa nukuu....................................Kitendo hicho kina ashiria kuwa uliyemgegeda ametosheka,amefurahi na umemfikisha........................Mwanamke anakuwa na maana kuwa ame ridhika,amefurahi na anauheshimu sana mgegedo huo....................................hakika sidhani kama wewe ni mmoja wa wavaa mlegezo,.........................sioni kuwa wewe umetoboa masikio,...................nakuona wewe unakula vyakula vyenye kuleta afya bora,..................nakuona wewe kama mtu wa mazoezi,.....................................,zaidi sana napata picha kuwa ni fundi,..................mtundu,............................mjanja,.........................hadi unapewa pole....................HONGERA SANA mkuu,...........................Nakushauri kuwa umwitikie mapema huyo aliyekupa POLE naye anaonekana kuwa fundi,.........kumbuka kuwa si wote pia wanaotoa pole,.................nimewahi kujaribu kwa kila namna hadi vidole lakini hakutoa pole,ziadi ya kupiga kelele na kutokwa na jsho jingi,Msalimie sana mtoa pole na nikuombe kuwa ............................leo jioni kama si mchana huu,UMGEGEDE TENA,..................................................na pole uipokee,Hongera sana Nkolandoto

Ha ha ha ha ha nilitaka kusema hivyo hivyo, huyo ni mwizi tu, Mara mia Aseme "Asante Mpenzi" kama yeye kafurahishwa na game au aisubiri "Asante toka kwa njemba" lakini kuambizana pole ni wizi.Simple sana mkuu hiyo pole maana yake jamaa anakaribia kupigwa kizinga muda sio mrefu
Mwenzetu
Nashukuru sana!! Tena sana.
Unajua ss watu wa miaka ya 70's
Hakuna mlegezo
Hakuna kutoboa masikio
Heshima zot kwa jamii si kwa wale niwajuao tu
Mazoezi siyo sana hufanya ninapopata nafasi ila zoezi la kutembea umbali wa saa moja angalau siku tano za week
Mara nyingi napenda kupika makande nikichanganya mbegu kama tatu nne mpaka tano
Uji wa karanga naupenda mno.
Ila tu mkuu wakati mwingine huwa naumia maana nkitoka na wife natangulizwa mbele hapendi tutembee pamoja huwa nakeleka nikimuuliza unamaana gan hatoagi jibu hili janga jingine
haah haah umeona?Ha ha ha ha ha nilitaka kusema hivyo hivyo, huyo ni mwizi tu, Mara mia Aseme "Asante Mpenzi" kama yeye kafurahishwa na game au aisubiri "Asante toka kwa njemba" lakini kuambizana pole ni wizi.
Wakuu habari za weekend!!!
Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa wote mtakaosoma ujumbe na wale mtakaonijibu na hao watakaopita kimya
Nimekuwa nikitatizwa na hili jambo pindi mwanaume anapomaliza kubanjuka mwanamke anatoa neno hili
"Pole pole sana mpenzi" huku mwanaume ukitokwa na jasho na mhemo wa juu kama ulikuwa unambio ndefu sana
Hivi hii inaashiria nini kwa mwanaume?
Na mwanamke anakuwa na maana gani kwa mume
Natanguliza shukrani
kaka badili avatar hiyo unatutisha mkuuHahahahaaaaa, ina maana kama ulitoa 5000, uongeze kidogo au?