Pole apewayo mwanaume baada ya kuduu inamaanisha nini?

Pole apewayo mwanaume baada ya kuduu inamaanisha nini?

Wakuu habari za weekend!!!
Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa wote mtakaosoma ujumbe na wale mtakaonijibu na hao watakaopita kimya

Nimekuwa nikitatizwa na hili jambo pindi mwanaume anapomaliza kubanjuka mwanamke anatoa neno hili

"Pole pole sana mpenzi" huku mwanaume ukitokwa na jasho na mhemo wa juu kama ulikuwa unambio ndefu sana

Hivi hii inaashiria nini kwa mwanaume?
Na mwanamke anakuwa na maana gani kwa mume
Natanguliza shukrani
Anakuonea huruma tu, mijasho hema sana na kujamba wakati hamna kitu. Akiwa ameridhika na ulichomfanyia mara nyingi husema "asante mpenzi"
 
Kama umechukua Malaya akakwambia pole basi kimbia haraka angaza ukacheck afya yako,
Kama ni mkeo basi ni njia ya kukufariji
 
Me najua unazania labda ukipew pole ndo unakuw umekanyaga waya ndo mana hyo kauli inakutesa
Ilinipa utata pale nilipoona dalili za kushindwa mechi mzunguko wa pili
Hivo mwanamke kuganda kusema siondoki mpaka uninaniiii
Na nilipohimili na kupiga bao pole ikafuata na akasema sasa naondoka
Ilinipa taaabu kidogo

Ndo maana nikaona niilete jamvini
 
Anakuonea huruma tu, mijasho hema sana na kujamba wakati hamna kitu. Akiwa ameridhika na ulichomfanyia mara nyingi husema "asante mpenzi"
Nadhani hujasoma post zingine za watu wangine mkuu

Jaribu kurudia maana nikikurudia kukujibu wakati nimeshayajibu haya
.
Nitaonekana ni mmoja kati ya wanne
 
NAWASHUKURU WOTE MLIOVHANGUIA NIMEJIFUNZA MENGINE AMBAYO NILIKUWA SIYAJUI


...

AKSANTENI SANA
 
Utapewa pole kama umefanya kazi kikamilifu.

Ukiparuaparua juu juu usitarajie pole yeyote.
 
Pale ulipogonga alafu ukapewa pole hapo ulitakiwa ndo uulize hapo utapata jibu la hakika zaidi
 
Asante huwa nazipata nyingi tu mkuu labda kwa sababu wengi wao wanaweza piga bao mbili mpaka nne mi bado sijapiga bao
Hizi asante nazipata wakati namkuna lkn ninapokuja kumaliza inatangulia pole
Pole inaambatana na kupapaswa kichwa ndevu shingo na baadae ndo anaweza kusema viasante kama viwili vitatu vya kivivu
Kwa kuwa huwa wanachoka sana
haya hongera fundi selamala kwa kujua kupugilia misumari vizuri mpaka mbao znaitikia ng"wiiii
 
haya hongera fundi selamala kwa kujua kupugilia misumari vizuri mpaka mbao znaitikia ng"wiiii
acha mashara
Mimi ilikuwa shida sana kwangu kwa sababu kisaikolojia lilinipa shida hata ujasiri ulipungua
 
Mie nasemaga asante
Siku umepigishwa kwata mpaka ukapiga bao mbili tatu hiv ndo jamaa anamaliza utaijua maana ya pole!!
Ila kama unapataga fasta fasta huwezi utagawa asante tu siku zote
 
Back
Top Bottom