Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,032
- Thread starter
- #61
Za nn mkuu?Ongeza juhudi
Za nn mkuu?Ongeza juhudi
Wakuu habari za weekend!!!
Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa wote mtakaosoma ujumbe na wale mtakaonijibu na hao watakaopita kimya
Nimekuwa nikitatizwa na hili jambo pindi mwanaume anapomaliza kubanjuka mwanamke anatoa neno hili
"Pole pole sana mpenzi" huku mwanaume ukitokwa na jasho na mhemo wa juu kama ulikuwa unambio ndefu sana
Hivi hii inaashiria nini kwa mwanaume?
Na mwanamke anakuwa na maana gani kwa mume
Natanguliza shukrani
Fasta ili akawah kichwa kingine, hahahahaaaa hatari sana mkuu

Hapa mkuu umenifanya nishike kichwa ghaflaIna maana zaidi ya moja.
1.Kazi uliyofanya ni nzito imeridhisha na hivyo itakuwa imekuchosha.(moyoni kwake wewe ni shujaa)
2.Umejihangaisha na ukajitahidi lakini kazi haijaridhisha,na kwa hiyo unapewa pole kwa udhaifu ulioonyesha. (inaambatana na huruma moyoni)
3.Ulipagawa ukawa kama kichaa mambo yakawa ni vululuvululu tu unapewa pole kwa ushamba wako (na kicheko cha dhihaka moyoni)
Wewe umenipa moyo!!!!namba moja imekaa powa kwa upande wangu hehehehe!!!
Mimi asante huwa zinakuja nyingi mno hasa kipindi bado nagegeda ila ninapokuja kushusha mzigoWangu huwa ananambia asante
Umefanya kazi ngumu lazima upewe hongera aiseeZa nn mkuu?
unao wangapi kaka,?Mimi asante huwa zinakuja nyingi mno hasa kipindi bado nagegeda ila ninapokuja kushusha mzigo
Pole huwa ya kwanza
Asante zinafuata lkn huwa chache kwa kuwa huwa wamechoka
Atasema pole huku akikipapasa kichwa changu licha ya jasho lkn hajali
Asante huwa nazipata nyingi tu mkuu labda kwa sababu wengi wao wanaweza piga bao mbili mpaka nne mi bado sijapiga baonachojua mara nyingi mwanamke ukimfikisha kileleni na kumridhisha haswa pale ushukapo kifuani kwakwe neno la kwanza kumtoka kinywani kwake ni "asante ...... wangu" hiyo pole sasa sijui ni inamtoka coz unaonekana umechoka sana ama vipi?
Wewe umenipa moyo!!!!
Yaani kwa avata yako tuKazi uliyofanya ni nzito imeridhisha na hivyo itakuwa imekuchosha.(moyoni kwake wewe ni shujaa) hili ndio jibu sahihi mleta maada upo hapo?
karibu kaka anguYaani kwa avata yako tu
CHEUPE DAWA
Umemaliza kila kitu yaan nimepata faraja kupita kawaida
Nakushukuru sana
Wapuuzi, wanadhani ile " AAAAAAAHAAA" wakati wa kuja ni ya maumivu kumbe ya raha!!Wakuu habari za weekend!!!
Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa wote mtakaosoma ujumbe na wale mtakaonijibu na hao watakaopita kimya
Nimekuwa nikitatizwa na hili jambo pindi mwanaume anapomaliza kubanjuka mwanamke anatoa neno hili
"Pole pole sana mpenzi" huku mwanaume ukitokwa na jasho na mhemo wa juu kama ulikuwa unambio ndefu sana
Hivi hii inaashiria nini kwa mwanaume?
Na mwanamke anakuwa na maana gani kwa mume
Natanguliza shukrani
Wawili mkuuunao wangapi kaka,?
jiulize kwa nini mtu akitoka kazini huambiwa pole na kazi? kwa hiyo ni dhahiri kwamba unafanya kazi nzuri wala usihofu.
