Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,738
- 29,133
Mzuka wanajamvi.
Poland yadai na kujigamba kuwa hamna ubakaji, wizi na uhalifu ukilinganisha na mataifa jirani na mengine ulaya wenye waislam wengi wahamiaji.
Wanajisifu na kujigamba kwa kuzuia wimbi la wahamiaji hasa waislam ambao wenyewe wanadaiwa ni waalifu sana na kupeleka nchi yao uhalifu kutokuwepo ukilinganisha kwengine na kuishi bila hofu.
Tafiti zao zinathibitisha wahamiaji waislam katika nchi nyingi za ulaya wanaongoza kwa wizi na ubakaji.
Jela wanaongoza wao.
Lakini mashirika ya kutetea haki za binadamu wanapingana na hizi tafiti wakidai ni uchochezi wa kubaguzi hasa kutoka kwa vikundi vya mrengo wa kulia right wings.
Chuki dhidi ya waislam na raia kutoka nchi zinazoendelea ulaya zinazidi kila siku na kupelekea vyama vyenye mrengo wa kulia kutumia hii turufu kuingia madarakani.
Nchi za skendinevia zinaongoza kuwabagua sana raia wenye asili kutoka Somalia. Ambapo sasa hivi jamii hiyo inalalamika sana.
Poland imeweka uzio wa umeme wa kilomita kadhaa kwenye mpaka wake na Belarus kuzuia wimbi la wahamiaji haramu hasa kutoka mashariki ya kati, afrika kaskazini na subsahara.
Wahamiaji sasa hivi wanaosifiwa na kukaribishwa kwa wingi ulaya ni kutoka India. Wanasifiwa kwa kujituma kwao kufanya kazi kwa bidii kwa uadilifu na kutotegemea sana social services/benefits.
Pia wahindi wanasifiwa kujali maisha yao (minding their business) na kutolazimisha imani na mila zao kufuatwa .
Poland yadai na kujigamba kuwa hamna ubakaji, wizi na uhalifu ukilinganisha na mataifa jirani na mengine ulaya wenye waislam wengi wahamiaji.
Wanajisifu na kujigamba kwa kuzuia wimbi la wahamiaji hasa waislam ambao wenyewe wanadaiwa ni waalifu sana na kupeleka nchi yao uhalifu kutokuwepo ukilinganisha kwengine na kuishi bila hofu.
Tafiti zao zinathibitisha wahamiaji waislam katika nchi nyingi za ulaya wanaongoza kwa wizi na ubakaji.
Jela wanaongoza wao.
Lakini mashirika ya kutetea haki za binadamu wanapingana na hizi tafiti wakidai ni uchochezi wa kubaguzi hasa kutoka kwa vikundi vya mrengo wa kulia right wings.
Chuki dhidi ya waislam na raia kutoka nchi zinazoendelea ulaya zinazidi kila siku na kupelekea vyama vyenye mrengo wa kulia kutumia hii turufu kuingia madarakani.
Nchi za skendinevia zinaongoza kuwabagua sana raia wenye asili kutoka Somalia. Ambapo sasa hivi jamii hiyo inalalamika sana.
Poland imeweka uzio wa umeme wa kilomita kadhaa kwenye mpaka wake na Belarus kuzuia wimbi la wahamiaji haramu hasa kutoka mashariki ya kati, afrika kaskazini na subsahara.
Wahamiaji sasa hivi wanaosifiwa na kukaribishwa kwa wingi ulaya ni kutoka India. Wanasifiwa kwa kujituma kwao kufanya kazi kwa bidii kwa uadilifu na kutotegemea sana social services/benefits.
Pia wahindi wanasifiwa kujali maisha yao (minding their business) na kutolazimisha imani na mila zao kufuatwa .