Mawaziri wa nchi za nje jumuiya ya kiarabu na waislamu kwenda China kuishtaki Israel kunatia huruma.

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,192
10,926
Mnamo Novemba 20 mwaka huu 2023 mawaziri wa nchi tano za kiarabu na kiislamu walifunga safari kwenda China ili kutoa malalamiko yao na kutafutwa kuungwa mkono na nchi hiyo kuhusiana na suala la vita vilivyokuwa vikiendelea katika namna ya kutisha huko Gaza.
Mawaziri hao walikuwa ni kutoka nchi za Saudi Arabia,Misri,Jordan,Mamlaka ya Palestina na Indonesia.Safari hiyo ilikuwa ni kutekeleza azimio la mkutano mkubwa uliofanyika tarehe 11 Novemba huko Riyadh nchini Saudi Arab na kuzikutanisha nchi zaidi ya 52 kujadili suala hilo la Gaza.
Safari hiyo ya mawaziri wa nchi hizo kwanza ilifanyika wakati vita vimeshika nguvu na wapalestina hasa akinamama,watoto na wazee wakiuliwa katika namna ya wazi ya kutisha.Walioumia zaidi na vita hivyo walionekana wakichukua hatua japo ndogo iliyokuwa katika uwezo wao.Mfano mzuri wa watu hao wenye huruma ni Hizbullah wa Lebanon na Houth wa Yemen.
Kwa upande mwengine kuonesha kutokuwepo na haja ya safari hiyo ni ukweli kwamba kwenda China kushtaki masuala yanayohusu waislamu ni kama tumbili kupeleleka kesi yake kwa ngedere.China kama ni kuuwa waislamu na kuwadhalilisha imefanya hivyo zaidi ya Israel japokuwa mtindo wa uuwaji na udhalilishaji unatafautiana kidogo.
Baada ya kuondoka China ujumbe huo uliondoka kuelekea mataifa mengine ya nchi za Ulaya kwa malengo hayo hayo ya kulalamika wanavyotendewa wapalestina kutoka Israel.
Hata China nayo haikuupa uzito mkubwa msafara huo kwani ulipokewa na maafisha wa chini ya serikali na kuishia kuonana na waziri wa mambo ya nchi za nje pekee.
Kwa ujumla mawaziri hao wa nchi za nje wameeleza udhaifu mkubwa wa kidiplomasia wa nchi za kiislamu na kiarabu ambao wana udugu na ukaribu sana na ndugu zao wa Palestina na wanaunganishwa na wito wa kiimani baina yao.
Maraisi na mawaziri wa nchi ambazo si za kiislamu akiwemo waziri mkuu wa Spain wameweza kufika ndani ya Israel na kuonana na waziri mkuu mhalidu wa Israel na kumpa maneno makali ana kwa ana juu ya unyama wake anaoufanya kwa watu wa Gaza.
Haijulikani ni kitu gani kinachowakosesha kujiamini kwa nchi za kiislamu na kiarabu kwend kuonana na kumpa maonyo waziri mkuu wa Israel na badala yake wanaishia kupita pembeni pembeni kama nyumbu na fisi wanaoshuhudia mwenzao akiliwa na wanyama wakali.
1700903958871.png
 
Hizo zinazojiita nchi za kiarabu zimeonyesha udhaifu mkubwa wakati huu.

Wakati ambao international solidarity ipo upande wa Palestine na sura halisi ya Israel kama muovu ilipowekwa wazi wao wakaamua kukaa kimya

Wakashindwa kuweka hata vikwazo vya kiuchumi, hata sie Africa na udhaifu wetu wote wa kiuongozi tumewazidi kwa umoja..

Halafu hili ni jibu kuwa dini haziunganishi watu ukiacha siku za sikukuu

Kwa China, mashariki ya kati yenye amani ni nzuri kwa ukuaji wao wa kiuchumi na kiushawishi

Tofauti na Marekani na wahuni wenzake wanaotegemea mizozo na vita kujiweka sawa kiuchumi na kiushawishi China inategemea biashara, hakuna biashara bila amani
 
China mwenyewe tu anaiogopa Israel.:D:D:D
Kama tuna modernize jeshi letu tu la anga sawa na wao.....na kukawa na sheria mbili tu kuwa 1. Hakuna matumizi ya Nuclear 2. Hakuna mtu kuingilia kati

JWTZ wanaweza ichukua Tel Aviv ndani ya wiki 2.

Hatuwezi lishindwa jeshi linalojivunia kuteka hospitali kiasi cha kutundika bendera ya taifa juu.
 
Hizo zinazojiita nchi za kiarabu zimeonyesha udhaifu mkubwa wakati huu.

Wakati ambao international solidarity ipo upande wa Palestine na sura halisi ya Israel kama muovu ilipowekwa wazi wao wakaamua kukaa kimya

Wakashindwa kuweka hata vikwazo vya kiuchumi, hata sie Africa na udhaifu wetu wote wa kiuongozi tumewazidi kwa umoja..

Halafu hili ni jibu kuwa dini haziunganishi watu ukiacha siku za sikukuu

Kwa China, mashariki ya kati yenye amani ni nzuri kwa ukuaji wao wa kiuchumi na kiushawishi

Tofauti na Marekani na wahuni wenzake wanaotegemea mizozo na vita kujiweka sawa kiuchumi na kiushawishi China inategemea biashara, hakuna biashara bila amani

Sio kila nchi za kiarabu inaunga mkono ugaidi wa Hamas dhidi ya Israeli…
 
Kama tuna modernize jeshi letu tu la anga sawa na wao.....na kukawa na sheria mbili tu kuwa 1. Hakuna matumizi ya Nuclear 2. Hakuna mtu kuingilia kati

JWTZ wanaweza ichukua Tel Aviv ndani ya wiki 2.

Hatuwezi lishindwa jeshi linalojivunia kuteka hospitali kiasi cha kutundika bendera ya taifa juu.
Hakika kabisa.IDF wamechoka sana.Hawana cha iron dome wala nini.
 
Hizo zinazojiita nchi za kiarabu zimeonyesha udhaifu mkubwa wakati huu.

Wakati ambao international solidarity ipo upande wa Palestine na sura halisi ya Israel kama muovu ilipowekwa wazi wao wakaamua kukaa kimya

Wakashindwa kuweka hata vikwazo vya kiuchumi, hata sie Africa na udhaifu wetu wote wa kiuongozi tumewazidi kwa umoja..

Halafu hili ni jibu kuwa dini haziunganishi watu ukiacha siku za sikukuu

Kwa China, mashariki ya kati yenye amani ni nzuri kwa ukuaji wao wa kiuchumi na kiushawishi

Tofauti na Marekani na wahuni wenzake wanaotegemea mizozo na vita kujiweka sawa kiuchumi na kiushawishi China inategemea biashara, hakuna biashara bila amani
Wanatia aibu sana.Imekuwa hata Spain na Belgium ni afadhali kuliko wao.
Bakora zao kutoka kwa muumba haziko mbali
 
Mnamo Novemba 20 mwaka huu 2023 mawaziri wa nchi tano za kiarabu na kiislamu walifunga safari kwenda China ili kutoa malalamiko yao na kutafutwa kuungwa mkono na nchi hiyo kuhusiana na suala la vita vilivyokuwa vikiendelea katika namna ya kutisha huko Gaza.
Mawaziri hao walikuwa ni kutoka nchi za Saudi Arabia,Misri,Jordan,Mamlaka ya Palestina na Indonesia.Safari hiyo ilikuwa ni kutekeleza azimio la mkutano mkubwa uliofanyika tarehe 11 Novemba huko Riyadh nchini Saudi Arab na kuzikutanisha nchi zaidi ya 52 kujadili suala hilo la Gaza.
Safari hiyo ya mawaziri wa nchi hizo kwanza ilifanyika wakati vita vimeshika nguvu na wapalestina hasa akinamama,watoto na wazee wakiuliwa katika namna ya wazi ya kutisha.Walioumia zaidi na vita hivyo walionekana wakichukua hatua japo ndogo iliyokuwa katika uwezo wao.Mfano mzuri wa watu hao wenye huruma ni Hizbullah wa Lebanon na Houth wa Yemen.
Kwa upande mwengine kuonesha kutokuwepo na haja ya safari hiyo ni ukweli kwamba kwenda China kushtaki masuala yanayohusu waislamu ni kama tumbili kupeleleka kesi yake kwa ngedere.China kama ni kuuwa waislamu na kuwadhalilisha imefanya hivyo zaidi ya Israel japokuwa mtindo wa uuwaji na udhalilishaji unatafautiana kidogo.
Baada ya kuondoka China ujumbe huo uliondoka kuelekea mataifa mengine ya nchi za Ulaya kwa malengo hayo hayo ya kulalamika wanavyotendewa wapalestina kutoka Israel.
Hata China nayo haikuupa uzito mkubwa msafara huo kwani ulipokewa na maafisha wa chini ya serikali na kuishia kuonana na waziri wa mambo ya nchi za nje pekee.
Kwa ujumla mawaziri hao wa nchi za nje wameeleza udhaifu mkubwa wa kidiplomasia wa nchi za kiislamu na kiarabu ambao wana udugu na ukaribu sana na ndugu zao wa Palestina na wanaunganishwa na wito wa kiimani baina yao.
Maraisi na mawaziri wa nchi ambazo si za kiislamu akiwemo waziri mkuu wa Spain wameweza kufika ndani ya Israel na kuonana na waziri mkuu mhalidu wa Israel na kumpa maneno makali ana kwa ana juu ya unyama wake anaoufanya kwa watu wa Gaza.
Haijulikani ni kitu gani kinachowakosesha kujiamini kwa nchi za kiislamu na kiarabu kwend kuonana na kumpa maonyo waziri mkuu wa Israel na badala yake wanaishia kupita pembeni pembeni kama nyumbu na fisi wanaoshuhudia mwenzao akiliwa na wanyama wakali.
View attachment 2824593
Arab league imeshakuwa compromised na US kitambo.

Wapalestina waitumie zaidi OIC kupaza sauti maana huko kuna kina Iran, Uturuki, Indonesia,n.k
 
Elewa kwamba waarabu ni wanafiki!
Usiwaamini kwamba ni watu ambao wanaweza kukutetea kwenye kitu.
 
Wanatia aibu sana.Imekuwa hata Spain na Belgium ni afadhali kuliko wao.
Bakora zao kutoka kwa muumba haziko mbali
Kama waliungana na kumfanyia figisu mwaarabu mwenzao Qatar na kumfungia mipaka kwa unafiki wao unashangaa kwa walichokifanya juu ya Palestina?
 
Arab league imeshakuwa compromised na US kitambo.

Wapalestina waitumie zaidi OIC kupaza sauti maana huko kuna kina Iran, Uturuki, Indonesia,n.k
Kila kushindwa kwa mwarabu lawama anapelekewa US, jamii ya kiarabu Israelphobia kutwaaa ni kulalama tuuuuu
 
Back
Top Bottom