BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,510
Ukiachana na South Africa ambayo kwa sasa iko Oversupplied na Wahamiaji haramu kutoka pande zote za Dunia, Tanzania huenda ni kituo cha pili cha wahamiaji haramu kwa Africa ukiitoa hio South Africa, urahisi wa kuingia na kupata docoments unawavutia sana wahamiaji haramu kuja Tanzania.
Kumbuka kuna ambao wana vitambulisho vya Taifa vya Uraia, pamoja na uongeaji wao kuwatofauitisha, Kuna Mkenya mmoja hadi leo huwa nashindwa kujua alipatapata vipi kitambulisho make lafudhi tu inamkamata ila ndio hivyo anakitambulisho cha uraia.
Tanzania kuna wahamiaji haramu wengi sana kuliko tunavyo elewa. Hawa wamejaa hasa Arusha na Dar es salaam na kiasi miji mingine kama Mwanza, Hii miji miwili ndio kituo kikuu cha wahamiaji haramu.
Asilimia 99 yao wanajulikana na Uhamiaji na huko ndiko watu wa uhamiaji wanako tajirikia. Wapo ambao wanatoka usiku tu kutembea na mchana hutawaona kabisa.
Wapo walio kwenye viwanda vya wale Ndugu zetu.
Ukiachana na wahamiaji kutoka Africa, wapo kutoka Asia hasa India na Pakstani hawa wanajichanganya na wale Watanzania wenye asili ya Asia, na hata hivyo hawa Watanzania wenye asili ya Asia ndio wanao waleta nchini.
Wengi wa hawa wahamiaji ni wanafanya kazi,kwa kificho au wazi wazi.
Hii nimeandika kwa sababu nilikutana wiki iliopota na Mhamiaji mmoja kutoka moja ya nchi za west Africa tukapiha piga naye stories ndio akaniambia Tanzania kwetu ni pazuri sana hatusumbuliwi na Maaskari wenu wa uhamiaji kama ilivyo nchi zingine za Africa na pia kasema sisi Watanzania hatuna shida na wahamiaji.
Ile oparation Dudula ya Wazulu South Africa huenda wale Wahamiaji waka opti Tanzania kwa sababu hizo za urahisi wa kuishi bila kusumbuliwa.
Kumbuka kuna ambao wana vitambulisho vya Taifa vya Uraia, pamoja na uongeaji wao kuwatofauitisha, Kuna Mkenya mmoja hadi leo huwa nashindwa kujua alipatapata vipi kitambulisho make lafudhi tu inamkamata ila ndio hivyo anakitambulisho cha uraia.
Tanzania kuna wahamiaji haramu wengi sana kuliko tunavyo elewa. Hawa wamejaa hasa Arusha na Dar es salaam na kiasi miji mingine kama Mwanza, Hii miji miwili ndio kituo kikuu cha wahamiaji haramu.
Asilimia 99 yao wanajulikana na Uhamiaji na huko ndiko watu wa uhamiaji wanako tajirikia. Wapo ambao wanatoka usiku tu kutembea na mchana hutawaona kabisa.
Wapo walio kwenye viwanda vya wale Ndugu zetu.
Ukiachana na wahamiaji kutoka Africa, wapo kutoka Asia hasa India na Pakstani hawa wanajichanganya na wale Watanzania wenye asili ya Asia, na hata hivyo hawa Watanzania wenye asili ya Asia ndio wanao waleta nchini.
Wengi wa hawa wahamiaji ni wanafanya kazi,kwa kificho au wazi wazi.
Hii nimeandika kwa sababu nilikutana wiki iliopota na Mhamiaji mmoja kutoka moja ya nchi za west Africa tukapiha piga naye stories ndio akaniambia Tanzania kwetu ni pazuri sana hatusumbuliwi na Maaskari wenu wa uhamiaji kama ilivyo nchi zingine za Africa na pia kasema sisi Watanzania hatuna shida na wahamiaji.
Ile oparation Dudula ya Wazulu South Africa huenda wale Wahamiaji waka opti Tanzania kwa sababu hizo za urahisi wa kuishi bila kusumbuliwa.