DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Kipondo Cha ugoko

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
655
1,042
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala. Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana

Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
 
Serikali wataangalia Mambo mangapi, ilo swala la kada ya uhamiaji tu, na uhamiaji ndo serikali nayo, maeneo hayo Kuna viongozi barozi, mwenyekiti, watendaji wanashindwa kwenda uhamiaji kuripot ilo swala?
Kwa ufahamu wako unadhani serikali au vyombo vya usalama vinapaswa kuangalia mambo yapi? Hivi ww huoni hilo tishio la kiusalama na kimaadili hapo? Sijasema yote lengo ni kutaka kuona how the government iko active!
 
Acha watu watafute maisha kijana. Kama wewe umeridhika na life la bongo ni wewe. Siamini kwamba wamalawi au the so called wahamiaji haramu ndo wanafanya maisha yako yawe magumu bongo. Ukiuliza wabongo ambao wameenda huko mambelezz kutafuta maisha. The story is the same or worse. Mimi naamini kila binadamu apewe fursa atafute maisha. Ilmradi ni raia mwema.

Na mara nyingi ukiangalia, the so called wahamiaji ndo wanachapa kazi maana wanajua wanatafuta nini. Sisi wabongo ni kulalamika tu. Itumie hii kama fursa. Hata kama ungefukuza wamalawi wote siamini kama itabadilisha maisha yako. Pambana kiume. Acha wamalawi watafute maisha. Life is tough bro!
 
Black on black hatred, unalalamikia Wamalawi wakati Wahindi, Waarabu, Wachina, wapersia wamejaa na hawana vibali vya kazi na siyo wa kwetu ni race nyingine kabisa tena chafu, angalau hao Wamalawi ni wetu, punguza kujichukia.
Nimejaribu kuongelea kitu ambacho nimekiona kwa macho yangu. Hao wachina sijui wahindi unawajua ww na matendo Yao mie sijawahi ishi.
Lkn sasa wewe huoni Kuna haja ya vyombo vya Dola kua makini kwa kudhibiti uingiaji haramu wa wageni? Unadhani Nini athari za matendo ya hao wageni kwa jamii yetu?

Tumia akili kidogo tu utajua nachozungumzia Wala sio ubaguzi.
 
Yaani watu mnakereka vipi na vitu visivyowahusu?eti wanalala sita wewe unapata ukakasi?how?wamekubana wewe?
Wewe utakua mmalawi sio Bure! Sasa ww unaona ni sawa watu kutomb....! Mchana kweupe Tena kwa makundi ilihali sehemu wanayoishi Kuna watoto,wazee,vijana,wanawake nk?

Unawafunza Nini watoto na vijana wanao barehe kwa mfano???
Ww kwako unatomb.....! Na watoto wakikushudia? Acheni kutetea ujinga wa hao wamalawi. Kama wamekuja kutafuta maisha basi tabia zao ss hatuzitaki, wasubili wakishalud kwao ndo wafanye hayo
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Uzuli wa hawa watu kibarua kazi wasizo zitaka wabongo au kuzifanya kwa bei kuwa wao ukusanyika na kufanya kazi hizo kwa malipo nafuu wengi wao wamejazana kwenye makampuni ya ulinzi
 
Back
Top Bottom